Nani aliruhusu Hii picha ipigwe hadharani namna hii?

Nani aliruhusu Hii picha ipigwe hadharani namna hii?

Kikubwa hapa mkuu kuwe kuna operesheni ya kimya kimya kutokomeza haya magenge nikimaanisha mpaka wanaowanunua nao kamata finya kimya kimya mpaka waje kushtuka hawana mwanachama hai tena kwenye nchi ya Tanzania

Na hilo linawezekana kabisa
kudos
 
Fact sana ila kwenye dini hapo me sioni point maana hata hao wenye dini ndo wale wale sema tu malezi bora na kumcha mungu basi.
Ikizungumzwa dini wengi mawazo yao huishia kwa Masheikh, ma ustadh, wachungaji, maaskofu na ma padri
Kwa mfano kwny Uislam Mtume wakati anaondoka Duniani Duniani aliulizwa unawaachia nini Umma ( wafuasi) wako…akajibu anawaachia Qur an na hadithi ( mafundisho ) hakuna sehemu alisema anatuachia ma Ustadh wala ma Sheikh …alisisitiza tushikamane na Teachings sio wasomi wa dini

ukiambiwa fundisha watoto wako dini haimaanishi uwafundishe tabia za ma Sheikh wala wachungaji nina maana wafundishe maadili mema ambayo msingi wake ni dini au utamaduni wako unaoamini ni sahihi
 
Ikizungumzwa dini wengi mawazo yao huishia kwa Masheikh, ma ustadh, wachungaji, maaskofu na ma padri
Kwa mfano kwny Uislam Mtume wakati anaondoka Duniani Duniani aliulizwa unawaachia nini Umma ( wafuasi) wako…akajibu anawaachia Qur an na hadithi ( mafundisho ) hakuna sehemu alisema anatuachia ma Ustadh wala ma Sheikh …alisisitiza tushikamane na Teachings sio wasomi wa dini

ukiambiwa fundisha watoto wako dini haimaanishi uwafundishe tabia za ma Sheikh wala wachungaji nina maana wafundishe maadili mema ambayo msingi wake ni dini au utamaduni wako unaoamini ni sahihi
Imeeleweka 🙏
 
Hao nao sijui watakuwa kwenye shirika gani kati ya yale yalotajwa na mwakyembe!
 
Kikubwa hapa mkuu kuwe kuna operesheni ya kimya kimya kutokomeza haya magenge nikimaanisha mpaka wanaowanunua nao kamata finya kimya kimya mpaka waje kushtuka hawana mwanachama hai tena kwenye nchi ya Tanzania

Na hilo linawezekana kabisa
toka mda nilitoa hilo wazo tena liwe na intellegency kali ili wasielewe nini kinachoendelea najua watahama tuh ao kujirekebisha au kupunguza kujionyesha wakatafute nchi yao mpya ya mashoga wawe na taifa lao mbona safi tu dunia kubwa sana marekani wawape eneo hao ndugu zao
 
Kikubwa hapa mkuu kuwe kuna operesheni ya kimya kimya kutokomeza haya magenge nikimaanisha mpaka wanaowanunua nao kamata finya kimya kimya mpaka waje kushtuka hawana mwanachama hai tena kwenye nchi ya Tanzania

Na hilo linawezekana kabisa
Hii operation ifanyike kwa haki na weledi, sio kila unaye muhisi ndo mumfinye kimya kimya, hii sio sawa.
 
ashura wa manzese huyo, akikupitia mita 30 , unasikia stench ya kwapa hii hapa
hao ndiyo wale unagonga ukiwa na masks 3, ndom 6
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zamani upinde rangi hizo ukiona angani unakimbia kutafuta maficho.
Maana radi mvua za mawe vinafuata siku hizi ni mapunga yanatetea haki zao.
Tumekwisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
toka mda nilitoa hilo wazo tena liwe na intellegency kali ili wasielewe nini kinachoendelea najua watahama tuh ao kujirekebisha au kupunguza kujionyesha wakatafute nchi yao mpya ya mashoga wawe na taifa lao mbona safi tu dunia kubwa sana marekani wawape eneo hao ndugu zao
Unachokiongea unakijua lakini??
 
Stage ya kwanza ilikuwa ni ku create awareness na tukawasaidia kutangaza nembo zao bila ya Malipo

sasa hivi wakipiga picha wanatutumia tunaanza tena kusambaza …tena wamechagua Manzese Manzese uswahili

hata ukiwakamata unawashtaki kwa sheria gani na kwa kosa gani?

Jamaa wako kimkakati na sie tupo kimihemko hemko

kwny World cup ya Qatar waliweka lengo la kutambulisha nembo zao na hilo wakafanikiwa sana

Dege la Ujerumani lenye nembo zao lingetua pale na kushusha wachezaji isingekuwa story lakini ile kuzuiwa kutua na kurudishwa kwao kubadili ndege ilifanya lila mtu atamani kuona na kujifunza hizo alama

Wale Jamaa waliokuwa wanavaa tishert zenye alama zao wangeachiwa kutazama mpira na kuondoka isingekuwa ishu ila walivaa zile ili wazuiwe watengeneze story na wakafanikiwa


Komaa fundisha watoto wako na watu wako wa karibu maadili na misingi bora ya maisha na omba Mungu

mie nimezaliwa na kukulia kwny vijumba vya bhangi na Mirungi na mipombe lakini sijawahi kuonja Mimi binafsi wala Ndugu wala watoto wangu kutokana na malezi bora pamoja barka zake Maulana

kuna Mabinti wamekulia katikati ya uwanja wa fisi lakini waliweka stara usichana wao hadi wakaolewa

pambania zaid maadili kwny jamii yako kwa kuwafundisha logic ya kila wanachopaswa kufanya na wanachotakiwa kuacha …wakielewa na kutii hata walalie bendera zenye rangi hizo hawawezi kuwa Team liwati
Wengi hawajui hili.
 
Back
Top Bottom