Nani aliruhusu Hii picha ipigwe hadharani namna hii?

Kikubwa hapa mkuu kuwe kuna operesheni ya kimya kimya kutokomeza haya magenge nikimaanisha mpaka wanaowanunua nao kamata finya kimya kimya mpaka waje kushtuka hawana mwanachama hai tena kwenye nchi ya Tanzania

Na hilo linawezekana kabisa
kudos
 
Fact sana ila kwenye dini hapo me sioni point maana hata hao wenye dini ndo wale wale sema tu malezi bora na kumcha mungu basi.
Ikizungumzwa dini wengi mawazo yao huishia kwa Masheikh, ma ustadh, wachungaji, maaskofu na ma padri
Kwa mfano kwny Uislam Mtume wakati anaondoka Duniani Duniani aliulizwa unawaachia nini Umma ( wafuasi) wako…akajibu anawaachia Qur an na hadithi ( mafundisho ) hakuna sehemu alisema anatuachia ma Ustadh wala ma Sheikh …alisisitiza tushikamane na Teachings sio wasomi wa dini

ukiambiwa fundisha watoto wako dini haimaanishi uwafundishe tabia za ma Sheikh wala wachungaji nina maana wafundishe maadili mema ambayo msingi wake ni dini au utamaduni wako unaoamini ni sahihi
 
Imeeleweka 🙏
 
Hao nao sijui watakuwa kwenye shirika gani kati ya yale yalotajwa na mwakyembe!
 
Kikubwa hapa mkuu kuwe kuna operesheni ya kimya kimya kutokomeza haya magenge nikimaanisha mpaka wanaowanunua nao kamata finya kimya kimya mpaka waje kushtuka hawana mwanachama hai tena kwenye nchi ya Tanzania

Na hilo linawezekana kabisa
toka mda nilitoa hilo wazo tena liwe na intellegency kali ili wasielewe nini kinachoendelea najua watahama tuh ao kujirekebisha au kupunguza kujionyesha wakatafute nchi yao mpya ya mashoga wawe na taifa lao mbona safi tu dunia kubwa sana marekani wawape eneo hao ndugu zao
 
Kikubwa hapa mkuu kuwe kuna operesheni ya kimya kimya kutokomeza haya magenge nikimaanisha mpaka wanaowanunua nao kamata finya kimya kimya mpaka waje kushtuka hawana mwanachama hai tena kwenye nchi ya Tanzania

Na hilo linawezekana kabisa
Hii operation ifanyike kwa haki na weledi, sio kila unaye muhisi ndo mumfinye kimya kimya, hii sio sawa.
 
ashura wa manzese huyo, akikupitia mita 30 , unasikia stench ya kwapa hii hapa
hao ndiyo wale unagonga ukiwa na masks 3, ndom 6
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zamani upinde rangi hizo ukiona angani unakimbia kutafuta maficho.
Maana radi mvua za mawe vinafuata siku hizi ni mapunga yanatetea haki zao.
Tumekwisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unachokiongea unakijua lakini??
 
Wengi hawajui hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…