Nani alithibitisha kuwa Mdee na wenzake wamegushi sahihi? Kughushi ni jinai walishawahi kufunguliwa jalada Polisi ili uchunguzi ufanyike?

Kikao cha nini? Majina ya viti maalumu huwa yanajulikana kwa kuwa yanashindanishwa majimboni na orodha hiyo inaanza juu mpk chini

Orodha ilishapelekwa na kikao walishakaa na barua iliandikwa
Una kichaa wewe ,

Kwahiyo Halima mdee Jina lake la Viti Maalumu lilishinanishwa Jimboni wakati aligombea Bunge Jimbo La KAWE ? Au unajitia ukichaa?

Hivi kwanini vijana wa Tanzania mmekuwa wajinga Sana namna hii

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Bana wewe

Uwapeleke polisi ipi??

Hii ya Tanzania??

Make hapo ncheke kwanza

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…