Chanzo cha ujinga huu ni hizi dini za kuletewa.....tumedanganywa sana na waliotuletea hizi dini. Kijana wa kiislam aliye na uwezo anajiona hajakamilika kama hajaoa mwanamke wa kiarab na anaona ufahari.Yaani siku hizi imekuwa too much sasa
Kuna mwanamke mmoja hivi nilikuwa na chat naye yaani yeye kila picha yake akiweka status yaani ni Mzungu tu
Sasa leo katika mizunguko yangu nimekutana naye live
Eee bwana ni mweusi tena ana chunusi
Nime mblock sipendi ujinga
Hivi Ninyi wanawake wetu kwanini msijikubali na weusi wenu uo kama wanawake wa Burundi na soudan ?
Kumbe ndo habari ya mjini?Kuna hii product ndio imeshika chati kwa sasa.... Hatariz😅😂
Kwa hiyo umemblock kwa kuwa ni mweusi!Yaani siku hizi imekuwa too much sasa
Kuna mwanamke mmoja hivi nilikuwa na chat naye yaani yeye kila picha yake akiweka status yaani ni Mzungu tu
Sasa leo katika mizunguko yangu nimekutana naye live
Eee bwana ni mweusi tena ana chunusi
Nime mblock sipendi ujinga
Hivi Ninyi wanawake wetu kwanini msijikubali na weusi wenu uo kama wanawake wa Burundi na soudan ?
mabinti wengi wa siku hizi walishauza utu wakaaamua kubusu barutiYaani siku hizi imekuwa too much sasa
Kuna mwanamke mmoja hivi nilikuwa na chat naye yaani yeye kila picha yake akiweka status yaani ni Mzungu tu
Sasa leo katika mizunguko yangu nimekutana naye live
Eee bwana ni mweusi tena ana chunusi
Nime mblock sipendi ujinga
Hivi Ninyi wanawake wetu kwanini msijikubali na weusi wenu uo kama wanawake wa Burundi na soudan ?
Kweli kabisa, alafu mbaya ni pale mwanamke mweupe wa asili anapoanza kujichubua tena ili aongeze mng'ao, mbaya zaidi ni mwanamke mweusi anapoanza kujichubua ,vidole,viwiko na visigino utaona tu rangi haishabihiani na sehem zinginezo.Weupe asili wa kiafrika una kamn'gao flani hivi kakuvutia achana na ule wa kupakaa kemikali
21300000??au nimesikia vibaya😂😂...wanawadanganya wadada wa watu wakati wao weupe wao wamezaliwa nao🤣🤣🤣Kuna hii product ndio imeshika chati kwa sasa.... Hatariz😅😂