Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
[emoji23][emoji23]Usikutana na mwanamke kajikoroga na kuungua harafu anauza vitumbua uwiiiiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Usikutana na mwanamke kajikoroga na kuungua harafu anauza vitumbua uwiiiiiii
D wa Vina.mabinti wengi wa siku hizi walishauza utu wakaaamua kubusu baruti
Hata uchagani sikujuiHahhaaa, Noelia wewe ni mchagga sio!🤣
Bei ya bidhaa moja nyumba moja
Basi sawa 😊Hta
Hata uchagani sikujui
Mimi vitumbua vyake sinunui[emoji23][emoji23]
Kuna wale wako na nyuso kama nyama mbichi hadi huruma yaan. Weupe mzuri ni ule wa asili vinginevyo ni hovyo tu.Mimi vitumbua vyake sinunui
Ila kiukweli uzuri wa mtu hauko kwenye rangi maana kuna watu WEUPE ILA uzuri hawana kabisa [emoji23][emoji23][emoji23] tuanze tu na wahindi wachina sijui wajapan utagundua tu kua uzur wa mtu sio rangiKuna wale wako na nyuso kama nyama mbichi hadi huruma yaan. Weupe mzuri ni ule wa asili vinginevyo ni hovyo tu.
Imebidi niangalie mara mbili mbili hizo bei. Aisee turidhike tu na rangi zetu. Wanawake tujiamini kila mtu ana chaguo lake.
Tena utaskia "jeusi kama pua ya mbwa."Jamii mkuu.
Utaskia jamani amezaa katoto kazuri keupee. Yani ana litoto libaya jeusi.
Utasikia demu mkali ana rangi white ya mtume. Kwanza demu lenyewe jeusiii.
Mie nachoona uzuri wa mtu upo machoni pa muangaliaji. Kuna watu kwa ngozi nyeupe huwaambii kitu uwe weupe mzuri ama wa hovyo yeye humuambii kitu [emoji23][emoji23][emoji23]Ila kiukweli uzuri wa mtu hauko kwenye rangi maana kuna watu WEUPE ILA uzuri hawana kabisa [emoji23][emoji23][emoji23] tuanze tu na wahindi wachina sijui wajapan utagundua tu kua uzur wa mtu sio rangi
Ila kiukweli uzuri wa mtu hauko kwenye rangi maana kuna watu WEUPE ILA uzuri hawana kabisa [emoji23][emoji23][emoji23] tuanze tu na wahindi wachina sijui wajapan utagundua tu kua uzur wa mtu sio rangi
KWA kwakweli maana wengine wanapenda WEUPE yaani kiasi kwamba wakiona hata nguruwe [emoji241][emoji241]wanadata[emoji23][emoji23][emoji23]Mie nachoona uzuri wa mtu upo machoni pa muangaliaji. Kuna watu kwa ngozi nyeupe huwaambii kitu uwe weupe mzuri ama wa hovyo yeye humuambii kitu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata sijui labda watu wa sudani huko[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Jamii gani inaongoza kwa uzuri?
[emoji23][emoji23][emoji23]KWA kwakweli maana wengine wanapenda WEUPE yaani kiasi kwamba wakiona hata nguruwe [emoji241][emoji241]wanadata[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata sijui labda watu wa sudani huko[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Imebidi niangalie mara mbili mbili hizo bei. Aisee turidhike tu na rangi zetu. Wanawake tujiamini kila mtu ana chaguo lake.