Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Umeona Bora utoe la rohoniMnatuharibia biashara ya Vipako jamani 😩😩😩😩
Ndo nini hicho?Mlemhala?
Ndo nini hicho?
Sawa wapenda vyeupeBasi sawa kumbe wewe sio msukuma, kabila kubwa Tanzania.....
Sawa wapenda vyeupe
Hahahahaha au na harufu ya vingineeIla hao wanawake wanaojichubua hua wananuka Sana,yaani Ile harufu sijui niifananishe na Nini?
Wanaume nao ambao ni wajinga wajinga wameanza kujichubua baada ya kusikia mnawawinda wazungu.Ni wanaume ndio wamewadanganya mpaka mnasababisha watoto wa watu wanajichubua, cha ajabu wanaume nao siku hizi wanajichubua wakiamini ndio urembo
Ha ha haaa....na ubarikiwe sana.Yesu na Maria... Hapana naogopa dhambi...
Hahahaha
🤣🤣🤣🤣Wanaume nao ambao ni wajinga wajinga wameanza kujichubua baada ya kusikia mnawawinda wazungu.
Wakasema tabu iko wapi ngoja na sisi twende sawa
Kwa hiyo ngoma droo🤣🤣Wanaume nao ambao ni wajinga wajinga wameanza kujichubua baada ya kusikia mnawawinda wazungu.
Wakasema tabu iko wapi ngoja na sisi twende sawa
Wafanyeje wakati wanaskia mnawawinda mpaka mnapewa mwongozo.Kwa hiyo ngoma droo🤣🤣
Kuna ambao ni watu wazima ambao walikuwa wanajichubua usichana wao wooote, ngozi ya uso inakuwa kama imeoza kabisa ....Ila hao wanawake wanaojichubua hua wananuka Sana,yaani Ile harufu sijui niifananishe na Nini?
Ke wanaojichubua huwa wananuka vibaya sana kama kuku wa kizungu vile [emoji87]Ila hao wanawake wanaojichubua hua wananuka Sana,yaani Ile harufu sijui niifananishe na Nini?
HahahaWafanyeje wakati wanaskia mnawawinda mpaka mnapewa mwongozo.
Yaani wanataka tukale wapi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umeona Bora utoe la rohoni