Nani aliwadanganya Wanawake wa Kiafrika kuwa weupe ndiyo urembo?

Nani aliwadanganya Wanawake wa Kiafrika kuwa weupe ndiyo urembo?

Kweli kabisa, alafu mbaya ni pale mwanamke mweupe wa asili anapoanza kujichubua tena ili aongeze mng'ao, mbaya zaidi ni mwanamke mweusi anapoanza kujichubua ,vidole,viwiko na visigino utaona tu rangi haishabihiani na sehem zinginezo.


Napenda mwanamke na ngozi ya asili, kama ni black awe black kama ni white awe white wa asili.
Umesema uhalisia😍😍😍
 
Weupe asili wa kiafrika una kamn'gao flani hivi kakuvutia achana na ule wa kupakaa kemikali
Dah! Umenivuruga ghafla akili yangu. 😫 Yaani huniambii kitu kwa mwanamke mwenye weupe wa asili! Yaani mafuta yake makuu ni babycare, au family!

Ila kwa bahati mbaya ni wachache kweli.
 
Pole sana, anaweza kua mweusi usoni lakini mweupe kwenye vilivyofichwa...
 
Kwenye biashara yangu

85% ya wateja wanataka kung’aa

Wananipa mpaka order za vidonge vile vya kutakatisha mwili mzima

Hawawazi miaka 10 mbeleni.

Ila wanaume na nyingi mnachangia, akipita mdada mweupe mwenye hips mnasifia, tukipita sisi blacks Kama moja mnacheka live live kabisa.
 
Kuna hii product ndio imeshika chati kwa sasa.... Hatariz😅😂
f5065903cb43489793475d5424dbf0ea.jpg


Zingatia bei
 
Sasa leo katika mizunguko yangu nimekutana naye live. Eee bwana ni mweusi tena ana chunusi.

Nimem-block sipendi ujinga
Meaning ungekuta ni mweupe kama Mchina ungempenda na usingem-block!!!
Wanaume kama wewe ndo mnasababisha huo ujinga..
Kwa kawaida, kitu kinachotakiwa zaidi sokoni ndo huzalishwa kwa wingi!
 
Yaani siku hizi imekuwa too much sasa

Kuna mwanamke mmoja hivi nilikuwa na-chat naye yaani yeye kila picha yake akiweka status yaani ni Mzungu tu

Sasa leo katika mizunguko yangu nimekutana naye live. Eee bwana ni mweusi tena ana chunusi.

Nimem-block sipendi ujinga

Hivi ninyi wanawake wetu kwanini msijikubali na weusi wenu uo kama wanawake wa Burundi na Soudan?
She can’t be ugly online and offline😊
 
Back
Top Bottom