Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,551
- 9,522
sure pia anaonekana hana “tactis” kwani haez mwambia amtumie picha isiyo na filter??Meaning ungekuta ni mweupe kama Mchina ungempenda na usingem-block!!!
Wanaume kama wewe ndo mnasababisha huo ujinga..
Kwa kawaida, kitu kinachotakiwa zaidi sokoni ndo huzalishwa kwa wingi!
Atakua mvulana huyu asww