sure pia anaonekana hana βtactisβ kwani haez mwambia amtumie picha isiyo na filter??Meaning ungekuta ni mweupe kama Mchina ungempenda na usingem-block!!!
Wanaume kama wewe ndo mnasababisha huo ujinga..
Kwa kawaida, kitu kinachotakiwa zaidi sokoni ndo huzalishwa kwa wingi!
Ah wee achana na hiyo rangi ...alafu ukute mrembo amebarikia pia upaja thickUlimpendea huo weupe nawe khaaa!
Jamii mkuu.Yaani siku hizi imekuwa too much sasa
Kuna mwanamke mmoja hivi nilikuwa na-chat naye yaani yeye kila picha yake akiweka status yaani ni Mzungu tu
Sasa leo katika mizunguko yangu nimekutana naye live. Eee bwana ni mweusi tena ana chunusi.
Nimem-block sipendi ujinga
Hivi ninyi wanawake wetu kwanini msijikubali na weusi wenu uo kama wanawake wa Burundi na Soudan?
Ni wanaume ndio wamewadanganya mpaka mnasababisha watoto wa watu wanajichubua, cha ajabu wanaume nao siku hizi wanajichubua wakiamini ndio uremboYaani siku hizi imekuwa too much sasa
Kuna mwanamke mmoja hivi nilikuwa na-chat naye yaani yeye kila picha yake akiweka status yaani ni Mzungu tu
Sasa leo katika mizunguko yangu nimekutana naye live. Eee bwana ni mweusi tena ana chunusi.
Nimem-block sipendi ujinga
Hivi ninyi wanawake wetu kwanini msijikubali na weusi wenu uo kama wanawake wa Burundi na Soudan?
Eti eeh wacha we utakuwa msukuma tu,, ninayo hiyo hiyo sio weupe wa kuzidiDah! Umenivuruga ghafla akili yangu. π« Yaani hiniambii kitu kwa mwanamke mwenye weupe wa asili! Yaani mafuta yake makuu ni babycare, au family!
Ila kwa bahati mbaya ni wachache kweli.
Mimi ni Mthambaa wa Tanga bhana. Ila ndiyo hivyo tena. Kipenda roho kula nyama mbichi. πEti eeh wacha we utakuwa msukuma tu,, ninayo hiyo hiyo sio weupe wa kuzidi
Haya bhana vizuri sanaMimi ni Mthambaa wa Tanga bhana. Ila ndiyo hivyo tena. Kipenda roho kula nyama mbichi. π
Sehemu zilizojificha ni nyeupe...Naridhika na weusi wangu S
πππππKuna hii product ndio imeshika chati kwa sasa.... Hatarizπ π
Hapana ...hizo ndo nyeusi tii kiwi ijipangeSehemu zilizojificha ni nyeupe...
Toa muongozo, maneno matupu hayavunji mfupa...Hapana ...hizo ndo nyeusi tii kiwi ijipange
Ngoja nijiselfie ....unataka ionekane VP.....katerero au kavu....nataka ninywe maji mengi maana katerero inahitaji jitihadaToa muongozo, maneno matupu hayavunji mfupa...
Yesu na Maria... Hapana naogopa dhambi...Ngoja nijiselfie ....unataka ionekane VP.....katerero au kavu....nataka ninywe maji mengi maana katerero inahitaji jitihada
Haya bhana vizuri sana