Nani aliwahi kuhoji haya kipindi cha Magufuli?

Nani aliwahi kuhoji haya kipindi cha Magufuli?

Ndugu zangu watanzania, wakati tunaendelea kujadili siasa za nchi yetu ni vema tuangalie serikali zilizopita na ya sasa kwa kuangalia namna ambavyo kumekuwa na tofauti katika utendaji wake wa mambo mbalimbali.


Leo hii napenda kuwauliza wenzetu wanaopenda kuweka ulimganyo wa utendaji wa serikali ya Magufuli n Samia. Labda tujiulize yafuatayo kuhusu serikali ya Magufuli ili tuilinganishe na hii iliyopo especially kwenye masuala ya mikopo inayolalamikiwa na mikataba;

Nani amewahi kuona mkataba wowote unajadiliwa Bungeni?

[emoji407]Nani amewahi kuona mkataba wa mkopo?

[emoji407]Nani amewahi kuona mkataba wa Stiegler’s Gorge, SGR, Bandari ya Bagamoyo?

[emoji407]Nani ameuona mkataba wa manunuzi ya Ndege?

[emoji406]Lini ripoti ya CAG imeongelea mikopo?

Tujihoji huku tukiangalia uwazi ambao umekuwepo sasa wakati wa kusainiwa hii mikataba.

I submit.
Mimi nadhani sio suala la kuona maana kuona hakuna maana kama hukushirikishwa katika kufikia uamuzi. Tunaona mambo mabovu yaliyoingiwa kwa vizazi vijavyo ambao watataabika na ulipaji wa mikopo hiyo. Kwa maoni yangu kabla ya jambo kuamuliwa na kuanza utejekezaji ushirikishwaji uwekwe wazi wananchi wajiamulie wenyewe kuliko kuletewa yaliyokwisha amuliwa na ambayo hata ukiona hakuna faida yoyote

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Namna hiyo basi tulikuwa kwenye hatari kubwa sana mtu mmoja kujiamulia bila hata kutaka ushauri wa mihimili mingine ya kikatiba iliyopewa jukumu Hilo la kushauri kabla ya kutenda.

Ni vema sasa tupitie Ile mikataba Kama ambavyo nae alipitia mikataba ya gesi na bandari ya Bagamoyo ili tupate ushauri wa kitaalamu zaidi maana yawezekana tunalipishwa madeni ambayo sio halisi.
[emoji871]Muipitie mikataba wewe na nani?

[emoji871]Una uhakika na unachokisema au unakariri kutoka KINONDONI?

[emoji871]Tupe kilichoboreshwa baada ya Magufuli kufariki zaidi ya mama yenu kuinadi nchi kwa shekeli za madarasa?

[emoji871]Ebu tuwekee mezani mkataba kati ya Chadema na wajerumani wa CDU!

[emoji871]Asilimia kubwa ya kazi zenye tija na miradi mikubwa ya kimkakati yote inayotekelezwa sasa ni ile iliyoasisiwa na JPM.

[emoji871]Mlidhani kwa kumuondoa JPM mtabadilika na kuwa Ikulu bila uchaguzi au?

[emoji871]Kwa taarifa yako hili genge lililoko sasa ni hatari kuliko mlivyofurahia.

[emoji871]Endeleeni kujifariji tu,ni furaha ya muda mfupi sana.

[emoji871]Time Will Tell
 
Yaani kwa miaka takribani sita report ya CAG Haikuwahi kuonyesha deni la taifa yaani mkopo wa taifa una hali gani!!?

Yaani Shughuli zote za ujenzi wa Stiegler's Gorge, SGR hatukuambiwa chochote kuhusu misingi ya utekelezaji wake!!? Ile kwamba inajengwa kwa fedha za ndani nayo hatukusikia walipaswa wasambaze na BOQ.kama.nakala za rasimu ya katiba[emoji23][emoji23] na kwamba mkataba wa ujenzi wa bagamoyo port una ukakasi pia hatuambiwa eti ndugu yangu?

Alafu ndege nazo hatukuambiwa chochote yaani walisema tu bei na kwamba zimelipwa full kwanini hawakutusambazia risiti tuone na user manual ya bombardier zetu jamn!!?

Tunashukuru uongozi wa awamu ya tano na nusu (5.5) chini ya aliyekuwa makamu wa Raisi kwenye awamu ya tano kamili kwa kuwa na uwazi mkubwa hayo hayapo tena kwakweli mama anaupiga mwingi sana yaani haijawahi kutokea kiongozi wetu jasiri na mbunifu mzalendo wa kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
YAANI MIJITU MINGINE NI YA HOVYO HADI INAKERA UNAFIKI TU
Unafiki mbaya sana unakutoa ufahamu na uwezo wa kufiriki kabisa kama huwezi kuuacha at least upunguze
Awamu ya Tano ilifanya mengi sana makubwa na yasiyoweza kudhihakiwa na yeyote mwenye fikra timamu
[emoji871]Mkuu!
Humu ndani tunayo majitu yanateseka na matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2020.

[emoji871]Umewaweka vijiweni na hawaamini kilichotokea.Hao ndio hawa unaona Post zao zikitafuta mchawi kila uchao.

[emoji871]Kwa ujumla wanateseka na machungu ya kijiweni kwa next 5Years to Go....2025.
 
Kabla ya kutia sahihi mkataba inatanguliwa majadiliano kwa pande zote zitakazohusika.
Kama kuna mapungufu yanaanzia kwenye majadiliano. Ukiona serikali inatumia nguvu nyingi kutotaka mikataba kuwekwa wazi ni dalili ya mapungufu yaliyomo.
Wakati mwingine yawezekana sio hongo lakini wakashindwa au wakazidiwa ufundi wa kujadili.
Wapo wengine wako inferior kwa mtu mweupe nayo ina impact kubwa.
Mkuu hivi hii mikataba haipelekwi mbungeni ili wawakilishi wa Watanzania nao waipitie na wajiridhishe na maudhui yaliyomo ndani ya mkataba?
 
Namna hiyo basi tulikuwa kwenye hatari kubwa sana mtu mmoja kujiamulia bila hata kutaka ushauri wa mihimili mingine ya kikatiba iliyopewa jukumu Hilo la kushauri kabla ya kutenda.

Ni vema sasa tupitie Ile mikataba Kama ambavyo nae alipitia mikataba ya gesi na bandari ya Bagamoyo ili tupate ushauri wa kitaalamu zaidi maana yawezekana tunalipishwa madeni ambayo sio halisi.
Bora hatari hile ya mtu mmoja kufanya maamuzi magumu kuliko kuwa na wapumbavu zaidi ya miatano wasiokuwa na maamuzi ya pamoja wengine wakipinga kwa msalahi yao binafsi na wengine hawajui ata ninkwanino wanapinga. Mfano bila maamuzi magumu ya mtu mmoja mpaka leo hii tusingejenga bwawa la nyerere au daraja la tanzanite.
 
Ndugu zangu watanzania, wakati tunaendelea kujadili siasa za nchi yetu ni vema tuangalie serikali zilizopita na ya sasa kwa kuangalia namna ambavyo kumekuwa na tofauti katika utendaji wake wa mambo mbalimbali.


Leo hii napenda kuwauliza wenzetu wanaopenda kuweka ulimganyo wa utendaji wa serikali ya Magufuli n Samia. Labda tujiulize yafuatayo kuhusu serikali ya Magufuli ili tuilinganishe na hii iliyopo especially kwenye masuala ya mikopo inayolalamikiwa na mikataba;

Nani amewahi kuona mkataba wowote unajadiliwa Bungeni?

[emoji407]Nani amewahi kuona mkataba wa mkopo?

[emoji407]Nani amewahi kuona mkataba wa Stiegler’s Gorge, SGR, Bandari ya Bagamoyo?

[emoji407]Nani ameuona mkataba wa manunuzi ya Ndege?

[emoji406]Lini ripoti ya CAG imeongelea mikopo?

Tujihoji huku tukiangalia uwazi ambao umekuwepo sasa wakati wa kusainiwa hii mikataba.

I submit.
Bandari ya bagamoyo!
 
Bado haujajadili hoja bwana mzee, hapa Kuna hoja na viroja. Kuhusu mikataba unasema alikuwa zaidi ya Rais naelewa wengine mlimuita Mungu nk hicho ni koroja.

Kuhusu kumuacha hapana tutamjadili matendo yake maana hata wanaomsapoti wanalilia legacy yake iendelee kuwepo otherwise wasingeililia legacy.

So no heri ujibu hoja au ukae kimya tu kwakuwa unaweza kukuta umegutuka .
Wewe umeona mikataba sasahivi? Imewekwa hadharani?

Tunaomba tutumie nasi humu tusome hiyo mikataba .
 
Namna hiyo basi tulikuwa kwenye hatari kubwa sana mtu mmoja kujiamulia bila hata kutaka ushauri wa mihimili mingine ya kikatiba iliyopewa jukumu Hilo la kushauri kabla ya kutenda.

Ni vema sasa tupitie Ile mikataba Kama ambavyo nae alipitia mikataba ya gesi na bandari ya Bagamoyo ili tupate ushauri wa kitaalamu zaidi maana yawezekana tunalipishwa madeni ambayo sio halisi.
Ndugu ,ili kuongoza nchi,Rais Magufuli hakuwa peke yake.Alikuwa na wasaidizi wake.Alikuwa na makamu wa Rais ambae kwa Sasa ni Rais.Alikuwa na wazir mkuu ,bado yupo . A likiwa na wazir wa fedha ,Sasa ni makamu wa Rais.Hao wote walimsaidia.Hakuongoza nchi na mama Janeti na wanawe pekee.Sasa ili tupate jibu sahihi ,hao wote wanabidi wapishe nafasi zao ili uchunguzi ufanyike Kama ulivyoomba ndugu yetu.
 
Unanunua ndege afu huna vibali vya kurusha long haulage,inakusaidia nini?

Madaraja hayajaanza kujengwa leo na hayatakaa yaishe kujengwa.

Nchi ilikuwa kwenye mkwamo mkubwa kiuchumi miaka yote 6 iliyopita na idadi ya maskini iliongezeka.
Mkuu ndege zinaruka dunia nzima kwa sasa, labda hufuatilii.

Kujengwa madaraja ni kujinyima kwa kuondokana na anasa na matanuzi, halikuwa jambo dogo kuzipata pesa.

Mkwamo wa kiuchumi upo hata dunia ya kwanza, ni masuala ya kipindi fulani cha mpito.

Maskini mmoja mmoja kuongozekana ni tatizo jingine la kidunia, sio hapa tu.
 
nani amewai kuona mkstaba wa gase ya mtwala wewe umewai kuona mkataba wa ggm,buzwagi nk?
 
Ndege nane mpya hakuna tuliposogea?. Kupata chetu kwenye madini yetu hakuna tuliposogea?.

Madaraja yanayolipamba jiji la Dar kutokea hewani, hakuna tuliposogea?. SGR na busisi hakuna tuliposogea?.

Unaweza kuwa unamkufuru Mungu kwa kulalamika bila ya hoja za msingi.
Hakuna tuliposogea popote,hizo ndege zinaingiza faida kiasi gani. Kama madaraja hata Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete waliyajenga.
 
Sawa haijajadiliwa Bungeni lkn Je haionekani? JPM hakutaka propaganda alikua ni mtu wa strategies.
 
Ndugu zangu watanzania, wakati tunaendelea kujadili siasa za nchi yetu ni vema tuangalie serikali zilizopita na ya sasa kwa kuangalia namna ambavyo kumekuwa na tofauti katika utendaji wake wa mambo mbalimbali.


Leo hii napenda kuwauliza wenzetu wanaopenda kuweka ulimganyo wa utendaji wa serikali ya Magufuli n Samia. Labda tujiulize yafuatayo kuhusu serikali ya Magufuli ili tuilinganishe na hii iliyopo especially kwenye masuala ya mikopo inayolalamikiwa na mikataba;

Nani amewahi kuona mkataba wowote unajadiliwa Bungeni?

📑Nani amewahi kuona mkataba wa mkopo?

📑Nani amewahi kuona mkataba wa Stiegler’s Gorge, SGR, Bandari ya Bagamoyo?

📑Nani ameuona mkataba wa manunuzi ya Ndege?

📃Lini ripoti ya CAG imeongelea mikopo?

Tujihoji huku tukiangalia uwazi ambao umekuwepo sasa wakati wa kusainiwa hii mikataba.

I submit.

Report ya CAG husomi afu Leo unalinganisha vitu kwa kejeli
 
Report ya CAG husomi afu Leo unalinganisha vitu kwa kejeli
Ripoti ilisomwa na kuonyesha among the things kwamba Kuna upotevu wa 1.5 trillion aliitwa akaedit lakini ilishasomwa na akafukuzwa na ikawa mwisho wa mjadala.

I think wanasema uungwana ni kuchutama ukifumwa uchi
 
Back
Top Bottom