Nani aliwahi kuhoji haya kipindi cha Magufuli?

Nani aliwahi kuhoji haya kipindi cha Magufuli?

Wewe ndio mwehu na pumbavu!

Naimbie kipi kimebadirika sasa hivi?
Huoni kilichobadilika eti? Huoni Uhuru wa habari kiasi ambacho hakuna anayeogopa Tena kutoa habari kwa kivezo Cha wasiojulikana walioota mizizi kipindi Cha jpm.
 
Magufuli hayupo Hata mumchukie vipi Hayupo
Chukizenu hazita wasaidia Kitu
Mtatafuta kila Baya dhidi yake
lakini Yule Alikuwa Zaidi ya Rais kwa Tanzania muacheni Apumzike
Hahahaha Mungu wenu kafa mmebaki wakiwa. Nawapa pole sana wanyonge
 
Tundu Lisu alikua akipaza sauti juu ya usiri na upigwaji hela kwenye hayo manunuzi na mikataba
 
Huoni kilichobadilika eti? Huoni Uhuru wa habari kiasi ambacho hakuna anayeogopa Tena kutoa habari kwa kivezo Cha wasiojulikana walioota mizizi kipindi Cha jpm.
Mwehu kweli

Niambie ni habari ipi iliyotoka inayoweza kusababisha mtu kuingia matatani?
 
Ndugu zangu watanzania, wakati tunaendelea kujadili siasa za nchi yetu ni vema tuangalie serikali zilizopita na ya sasa kwa kuangalia namna ambavyo kumekuwa na tofauti katika utendaji wake wa mambo mbalimbali.


Leo hii napenda kuwauliza wenzetu wanaopenda kuweka ulimganyo wa utendaji wa serikali ya Magufuli n Samia. Labda tujiulize yafuatayo kuhusu serikali ya Magufuli ili tuilinganishe na hii iliyopo especially kwenye masuala ya mikopo inayolalamikiwa na mikataba;

Nani amewahi kuona mkataba wowote unajadiliwa Bungeni?

📑Nani amewahi kuona mkataba wa mkopo?

📑Nani amewahi kuona mkataba wa Stiegler’s Gorge, SGR, Bandari ya Bagamoyo?

📑Nani ameuona mkataba wa manunuzi ya Ndege?

📃Lini ripoti ya CAG imeongelea mikopo?

Tujihoji huku tukiangalia uwazi ambao umekuwepo sasa wakati wa kusainiwa hii mikataba.

I submit.
Kuna vitu ambavyo havihitaji kuona mkataba; kwa mfano bei ya ndege inajulikana duniani kote na hahihitaji mkataba. Siyo kwamba Tanzania inauziwa kwa bei tofauti na wateja wengine. Kwa vile gharama za manunuzi yale zilipitishwa na Bunge, wewe linganisha hesabu pesa zilizopitishwa na bei za ndege kutoka kiwandani ndipo ulete conclusion yako hapa tuione. Makampuni yameweka wazi bei za bidhaa zao kwa wateja wote siyo kwa serikali tu. Njia nyingine ya kujua hilo, angalia bei iliyotumiwa na makampuni mengine ya ndege kununua ndege zao ulinganishe za bei tuliyotumia sisi watanzania.Angalia KQ walitumia dola kiasi gani kwa kununua Boeing zao.

1644767328179.png
 
Back
Top Bottom