Ungejua usingenipinga ,hana ubavu wa kukimbia nchi ,weka ushahidi na mm niweke wanguKakimbia nchi acha Kunibishia GENTAMYCINE sawa? Narudia tena kukuambia kuwa Kiboko ya Wachawi hayupo Nchini.
Kuanzia viongozi na watu wenye kipato kikubwa baadhi ni wapumbavu pia.Hakuna nchi yenye wapmbv kama tz
Ova
Tatizo unakuta hadi viongozi wakubwa kuanzia gavana wa mkoa ndio mashabiki wakubwa. Hivyo taarifa nyeti mnazozitoa nyie whistleblowers zinapuuzwa tu.Huna Akili kuna Uzi wangu hapa JamiiForums na hata Moderator waliuweka kama Taarifa rejea katika Uzi wa Member mwingine ambapo ndiyo nilikuwa wa Kwanza katika kutoa ANGALIZO juu ya huyu Juha Kiboko ya Wachawi. Utafute ili uone kuwa GENTAMYCINE ni HABARI nyingine ni ZAWADI yenu ya Kitaarifa na Maono hapa JamiiForums.
Nimemaliza.
Kwani ukisema ni Mipumbavu ( japo siyo Wote ) utapungukiwa na nini Mkuu?Mtanzania kiumbe Cha hovyo SANA ndio maana miccm inatawala itakavyo
Inasikitisha SANA mukuuKwani ukisema ni Mipumbavu ( japo siyo Wote ) utapungukiwa na nini Mkuu?
Hili ni tatizo jengine kamanda, yani kirahisi tu una-nullfy uwepo wa Mungu kwa failure ya kile ulichokitumainia mwanzo?Kwa hali hii, bora kuwa mpagani tu
Hata mimi ni mpagani na ninamuamini Mungu wa kweli. Kanisani siendi wala nyumba yoyote ya ibada. Kiukweli wapagani ni watu walio na imani iliyo kinyume na imani ya hizi dini kubwa.Hili ni tatizo jengine kamanda, yani kirahisi tu una-nullfy uwepo wa Mungu kwa failure ya kile ulichokitumainia mwanzo?
Yani ni kama kukana ukweli wa sayansi just kwa kuwa mwalimu wako alikuwa kilaza.
Siku si nyingi nami naweza kukuiga Wewe Mkuu katika kuwa Mpagani kwani kwa sasa naona hizi Dini ni Biashara tupu.Hata mimi ni mpagani na ninamuamini Mungu wa kweli. Kanisani siendi wala nyumba yoyote ya ibada. Kiukweli wapagani ni watu walio na imani iliyo kinyume na imani ya hizi dini kubwa.
Tatizo la hao wafuasi ni kumuamini mtu baki na kumkabidhi akili na fikra zao zote, yaani anawaamulia cha kufanya.
Anza kula madini hayo kwanza, hizi ndizo wenzetu waliziita upagani kwa kuwa kinyume na imani na taratibu zaoSiku si nyingi nami naweza kukuiga Wewe Mkuu katika kuwa Mpagani kwani kwa sasa naona hizi Dini ni Biashara tupu.
Na hili ndilo tatizo kubwa sana hapa bongo. Vyombo vya usalama vyenye jukumu la kuhakikisha wananchi wako salama vimewatelekeza wananchi, yaani hapa ni kupigwa kote kote kama ni mtu asiyejitambua vyema.Nisichoelewa, serikali ipo wapi hadi watanzania wanaandamana kwa ajili ya maslahi ya mcongo, manake wapo tayari hadi kufanya fujo kwa ajili ya mcongo, ina maana mcongo angeweza hata kuinfluence hata wapiga kura wampigie nani kama ameshika masikio raia namna hiyo.
Naanzaje kutoa 500k? Kwa lipi!!Dah laki tano yangu😭😭😭😭😭😭
Mwarabu Fighter na Team yake imekula kwao.Na yale mabaunsa yake nayo yamekimbia?
Unajua imani nyingi zililetwa kiujanja ujanja, lengo kuu likiwa ni kutawala watu, pili ilikuwa kupunguza unyama/ukatili uliokuwa ukifanyika miaka hiyo kwa kuwapa imani ya kusadikika.Hili ni tatizo jengine kamanda, yani kirahisi tu una-nullfy uwepo wa Mungu kwa failure ya kile ulichokitumainia mwanzo?
Yani ni kama kukana ukweli wa sayansi just kwa kuwa mwalimu wako alikuwa kilaza.
AahaaaaaNADILIKI KUSEMA ADHARANI KUWA WAKRISTO HAWANA AKILI KABISA YAANI NI WAPUMBAVU HASWA ....NDIYO MAANA WANAWAFUATA MITUME FEKI KINA KAKOBE MWAMPOSA GAMANYWA NK NA INJILI ZAO FEKI ZA SHETANI MWENYE NAFSI TATU.
Acha tu..... atakuwa aliwashikisha ukuta na hela zao kala.Wpmbv sana tena wa kutupwa
Na jamaa inaelekea wadada kawapelekea sana moto
Oca
F.,,,them if that is trueVipi kama system ndio imemtonya asepe?
Lawrence Kego MashaTaarifa za uhakika ni kwamba Kakimbia nchini baada ya kuambiwa kuwa angeweza Kukamatwa hasa baada ya baadhi ya Waumini waliokuwa Wakisali pale Kwake kulalamika kuwa Wametapeliwa nae sana huku Wengine wakitaka Kumshtaki kwa kusababisha Ndoa zao Kuvunjika na Familia zao kuwa katika Uadui na Chuki kubwa kutokana na Mahubiri yake ya Chuki na Fitina.
Na GENTAMYCINE nauliza kwanini System ya nchi haraka sana haikuamua Kumchunga ili asikimbie kama alivyofanya?