Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Wanazingua sanaHi
HUyo bwege hawezi kukutajia hata barabara moja. Aliyejenga barabara nchi hii ni JK Magu akiwa kiranja tu wa kusimamia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanazingua sanaHi
HUyo bwege hawezi kukutajia hata barabara moja. Aliyejenga barabara nchi hii ni JK Magu akiwa kiranja tu wa kusimamia.
Nitakuwa nimekufa tayari. Biashara yangu inategemea umeme, maji.sasa si ndivyo siasa ilivyo kila moja anakua na kipaumbele chake 🐒
kufanikiwa au kafeli kwenye hizo interestes , hilo linabaki kwenye mtazamo na maoni yako ndrugo mchambuzi 🐒
🤣 sasa interests za Dr.SSH unaniuliza mimi tena...
wait next yr utaona interestes za DR SSH dhahiri shahiri ...
na for sure utafurahi na hivi vilio vya umeme sijui garama za maisha zitakua kimya bila tashwishwi yeyote 🐒
kwa kipindi hiki kifupi tumia umeme mbadala solar system au generator.Nitakuwa nimekufa tayari. Biashara yangu inategemea umeme, maji.
Shida iko wapi kunipa umeme leo, maji, kupunguza bei leo?
Sina uwezo, pesa. Nafanyaje? Biashara yangu inakufa, nagombana na mke wangu sababu ya kipato, nakuwa kichaa.kwa kipindi hiki kifupi tumia umeme mbadala solar system au generator.
hata hivyo ni kwa muda mfup tu...
R.I.P Laigwanan comrade EL
Nchi yoyote inayojitambua inatakiwa kuwa na vipaumbele vinavyoeleweka, vilivyo wazi, vinavyogusa maisha ya wengi.sasa si ndivyo siasa ilivyo kila moja anakua na kipaumbele chake 🐒
kufanikiwa au kafeli kwenye hizo interestes , hilo linabaki kwenye mtazamo na maoni yako ndrugo mchambuzi 🐒
🤣 sasa interests za Dr.SSH unaniuliza mimi tena...
wait next yr utaona interestes za DR SSH dhahiri shahiri ...
na for sure utafurahi na hivi vilio vya umeme sijui garama za maisha zitakua kimya bila tashwishwi yeyote 🐒
..Mafisadi pia hawapendi KATIBA BORA inayodhibiti madaraka yao.
..Pia hawapendi BUNGE na MAHAKAMA zinazofanya maamuzi bila kuingiliwa.
..Zaidi hawapendi TUME HURU ya uchaguzi.
hahaha. Lakana nao tubu. Waakuiriwita tubu iwa!
Masembo awarumu aleechi urika kwi luchenda nafohahaha. Lakana nao tubu. Waakuiriwita tubu iwa!