Nani aliyetulaani wana wa mkoa wa Mara?

Mbunga huwa sielewi

Sent from my HTC Desire 526G dual sim using JamiiForums mobile app
 
I pity that guy, he had a very terrible partner!

No wonder your relationship was a roller coaster!
Naona unawashwawashwa na mm mkuu,au ni ww nn?[emoji23]
Watu wa mara badilikeni na muache kusingizia et maendeleo yanazuiliwa na wanawake(shame on you) na sikuzote mabadiliko yanaanzia nyumbani,sasa nyie endelezeni command kwa wanawake mtegemee maendeleo,
Pia acheni ubinafsi usiokuwa na maana
 
Oh come on, it can't be me!

I don't go out with random girls!

Ninachoona hapa ni kwamba umeamua kutoa frustrations zako za kupigwa kibuti.

Sasa bahati mbaya umepigwa kibuti na jamaa mmoja, then umechukia mkoa mzima wa Mara.

Women put emotions before facts, I can feel your pain!
 
Sina maumivu yeyote coz sikuwa deep kiivyo unavyodhani ww,na ningekuwa na tabia unazosema nisingekuwa nafunga ndoa next month kaka,nilijaribu tu kuwaelezea kuwa watu wa Mara badilikeni kila sector mpo hovyo,na muache kutafuta mchawi wa maendeleo yenu ni nyie wenyewe,
 
Ungekuwa unanifahamu kiundani wala usingedhubutu kutamka hayo maneno,but kutokana na ww ni mtu wa Mara wala sishangai..
 
Nice, ulifaa kutoa ushauri generally. Tatizo ni pale uliipoanza kutuelezea matatizo ya ex wako, alafu bado unalalamika kwamba yeye hana siri.

Hongera kwa kuolewa, nikaribishe nije kupiga ubwabwa!

Watu wa Mara tunapenda pilau pia!

[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
[emoji23] [emoji23] utapata kadi isijali
 
Jaribuni pia kupunguza command kitandani[emoji6]
 
Jaribuni pia kupunguza command kitandani[emoji6]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Bado hujaelewa, inawezekana ulikutana na jamaa mmoja akaharibu kazi. Ila haimaanishi watu wa Mara wote wako hivyo!

wakurya tuko romantic as f@ck!

[emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Kila la kheri, ila mkigombana usije kumsema kama ulivyomsema ndugu yangu wa Mara!

[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]

Huyo alizidi,halafu anjisikia as if ni milionaire,kumbe hamna kitu,nilijaribu kwenda vile anavyotaka but nilikuja kujua habadiliki kamwe
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Bado hujaelewa, inawezekana ulikutana na jamaa mmoja akaharibu kazi. Ila haimaanishi watu wa Mara wote wako hivyo!

wakurya tuko romantic as f@ck!

[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Yupo hovyo kabisa kitandani,kwanza nilidhani ni mzaramo(joke)jins alivyo mlegevu
 
Nyie mnaotusema vibaya.... hahahaha Nyamongo mojaaaa. Lete vijiji vyako unavyovijua nilinganishe na vijiji vyangu viwili vya Nyangoto na Kewanja. Kwa wakurya wenzangu.


Picha kwa picha.

Lete vijiji tu tuone nyie mnaodai hakuna development.
 
pole kwa kibuti Toto zuri..
 
Sasa kama ndugu zake ndio wanampa furaha kwanini asiongee nao??

Wewe ulikua kwa ajili ya matumizi tu
 
Hahahaha wanaume waliteka chemba zima, watoto wa kike mkabaki mnalialia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…