Nani aliyetulaani wana wa mkoa wa Mara?

Alafu wote uliowataja ni CCM, Maendeleo hakuna..

Huyo ndiyo Mchawi wenu badirikeni nyie watu ..

Zaidi ya miaka 50 ya uhuru bado mnalialia eti sijui..Mara hakuna Maendeleo na bado mnachagua CCM..
 



Hivi kweli wasomi kabisa tunapoteza muda kujadili ukabila! Nchi zingine wanatujua sisi ni watanzania. Ni ngumu kujua huyu Mkurya au Mzaramo. Tutajadili makabila lakini tutabaki kuwa watanzania. Na hakuna kabila zuri au lilo juu ya lingine. Wengine ni kwakuwa tu hatupendi kujadili makabila, lakini si kwamba hatujui udhaifu wa makabila mengine. Watanzania tunakoelekea siko. Kama watu mnataka kutambika si mkatambike. Kwanza Mleta mada kaongea kuhusu mkoa wa Mara si makabila watu wanaanza kujadili makabila. Mara inamakabila 24, wenyeji au waasili. Lakini bado kuna wahamiaji. Mkoa kupata maendeleo ni kwa wadau wote walioko hapo si uasilia wa kabila. Angalia Miji mikubwa kama Dar, Mwanza, Arusha na sasa hata Dodoma. Si kwamba imejengwa na makabila asili bali wadau waliopo katika mikoa hiyo. Tuache kuongelea ukabila tuangalie namna za kuendeleza maeneo yetu mbalimbali kwa fursa zilizopo.
 
Alafu wote uliowataja ni CCM, Maendeleo hakuna..

Huyo ndiyo Mchawi wenu badirikeni nyie watu ..

Zaidi ya miaka 50 ya uhuru bado mnalialia eti sijui..Mara hakuna Maendeleo na bado mnachagua CCM..
Hujui ulisemalo wewe, Tanzania hii ni mkoa wa Mara na Kilimanjaro tu ndio mikoa pekee iliyoonesha kwa vitendo kuikataa ccm labda unaweza kuiingiza na Kigoma humo, fuatilia historia kabla ya kubwabwaja.

Uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi mkoa mzima wa mara unajuwa Nccr Mageuzi ilizowa majimbo mangapi na ccm iliambulia jimbo gani?
 
Hii comment yako imeniumiza sana moyo. Nimejenga chuki na watu fulani.
 
Kuchukiana imetokana na divide and rule policy ya Nyerere baada ya jaribio la kuanzisha Jamhuri ya Chui. Aliwagawa wakurya baada kuona ni watu hatari sana kwa utawala wake. Mojawapo ni kuwachonganisha kwa kuvuruga mipaka ya vijiji. Fanya research utajionea
 
Wakurya wana wivu na majungu sana.
Get your fact right.
Usisukumwe na chuki. Wivu na majungu hayatokani na kabila la mtu bali malezi na mazingira. Unataka kusema makabila mengine hayana wivu na majungu? Yes wapo wenye wivu na majungu but sio wote kama ilivyo makabila mengine.
Acha haste generalization.
 
Kabisaaa.... kubwa kuliko yote ni wivu!! Anaweza kukukasirikia kisa tu unamzidi kitu fulani.... yupo tayari kukopa ili anunue kitu ashindane nawewe
Mbona umekazania kuhusu wivu? Unaweza kuthibitisha kwa hoja za kisomi?watu wachache wasikupe uhalali wa kuwanjia heshima wengine. Taja mkoa wako unaotokea ndipo tufanye ulinganishi.
Kwa haraka haraka nimehisi una chuki na mmoja wa watu wa Mara so unatafuta namna ya kujifariji.
Mara ni moja ya mikoa yenye makabila mengi, je inawezekanaje wote wakawa na wivu sawa kiasi unachodai?
 
Waulize je Mara ni mbovu kuliko Lindi? Au Singida? Au Shinyanga? Na Kigoma je?
Waambie waingie kwenye tovuti ya NBS waangalie takwimu za umasikini watajua mkoa wa Mara hauko vibaya interms of level of povert of people
 
Kwa hilo la kusingizia wanawake litawagharimu sana,mwanamke anasababisha vp ww usijenge kwenu?,hebu kuweni serious bhana...
 


Nafikiri laana kubwa waliyonayo ni kule kudhalilisha wanawake kwa kuwakeketa bila ridhaa yao. Mwanadamu anapokosa kiungo mwilini anakuwa si wa kawaida na anapolalamika kwa mwenyezi Mungu LAZIMA Mungu atalipizia tu. Waache kukeketa wanawake, ule ni upuuzi. Kilio cha mwanamke Mungu anakiitikia kwa kishindo.
 
Hivi Tarime ni Halmashauri ya Mji mdogo au ni Mji kamili?

Vv
 
yani kama ulikuwepo kichwan mwangu...
ni selfish
wajivuni
wajuaji
kunaaringo fulani hivi../kujisikia
wanajua kila kitu....
Hizo ni tabia za baadhi ya makabila ya huko ila sio wote, kwa hiyo msipende kujumuisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…