GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 Jun 1, 2022 #1 Ukiona Kiongozi wa Afrika unasifiwa sana na Wewe ukakubali Kusifiwa na Ukakenua Mimeno yako jua Umesanifiwa na Umedharaulika mno.
Ukiona Kiongozi wa Afrika unasifiwa sana na Wewe ukakubali Kusifiwa na Ukakenua Mimeno yako jua Umesanifiwa na Umedharaulika mno.
Mtukutu wa Nyaigela JF-Expert Member Joined Sep 4, 2018 Posts 8,013 Reaction score 14,263 Jun 1, 2022 #2 tunapoteza muda sana kuwasifia viongozi wetu, eti wanaupiga mwingi
mdudu JF-Expert Member Joined Feb 6, 2014 Posts 7,013 Reaction score 10,000 Jun 1, 2022 #3 GENTAMYCINE said: Ukiona Kiongozi wa Afrika unasifiwa sana na Wewe ukakubali Kusifiwa na Ukakenua Mimeno yako jua Umesanifiwa na Umedharaulika mno. Click to expand... Ndiyo kawaida ya CHAWA,anajua akisifia anaendelea kudumu kwenye nafasi yake,au anapata uteuzi.
GENTAMYCINE said: Ukiona Kiongozi wa Afrika unasifiwa sana na Wewe ukakubali Kusifiwa na Ukakenua Mimeno yako jua Umesanifiwa na Umedharaulika mno. Click to expand... Ndiyo kawaida ya CHAWA,anajua akisifia anaendelea kudumu kwenye nafasi yake,au anapata uteuzi.
Mpwayungu Village JF-Expert Member Joined Jul 21, 2021 Posts 14,540 Reaction score 30,875 Jun 1, 2022 #4 Kwahiyo
Njemba Soro. JF-Expert Member Joined Oct 5, 2013 Posts 3,732 Reaction score 6,561 Jun 1, 2022 #5 Jiwe lilijipendekeza kupiga simu hadi kwa Kenyata.
GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 Jun 1, 2022 Thread starter #6 mpwayungu village said: Kwahiyo Click to expand... Kapanuliwe.