Nani aliyewashauri TFF na Bodi ya Ligi kuingiza timu nne kwenye michuano ya Ngao ya Jamii?

Ngedere wewe


Mpira unatanuliwa Kwa kuwekeza kwenye ligi za chini. Yanga kafika fainali bila kuwa na hayo Mashindano ya kipumbavu. Simba anatinga robo bila huo ujinga.


Wewe ni kubwa jinga


Asante kwa Kutumia Lugha chafu.

NIMEFUNDISHWA.

Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye.
Mithali 26:4


Kuipeleka mpira sehemu ambazo ni adimu, hakuna League Wala Mashindano makubwa ndio kuutanua zaidi mpira.
kuusogeza kwa WATU ambao walikuwa wanaangalia KUPITIA TV Na kuona MICHEZO live

Kuipeleka Mechi ya Simba na Yanga Tanga.
Mikoa ya JIRANI, Arusha, Kirimanjaro(Moshi), Mara,
Itanufaika na uwepo wa Mchezo huo.


WATU watasafiri.
Wataoana faida ya kuwa na timu LIGI KUU.
SELIKALI kuongeza mapato.
Hotel, chakula, usafiri nk.
 
Wenyewe wamejiona wabunifuuu!
 
Yaani we mjukuu wa KARIA unaona UMEANDIKA pointi kumbe ni ujuha tu Sasa katika mfumo wa kukopi huu wa kispaniola ndiyo umeona Mali??

Kweli wewe ni mbumbumbu kabisa.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
we ni moja ya watu wapumbavu kuwahi kutokea nchi hii
 
Ndio maana nakwambia wewe ni ngedere hujui hata historia ya mkoa kama Tanga kwenye Soka la Tanzania. Kuwapelekea mechi za Simba na yanga sio njia pekee sahihi ya kukuza mpira wao. Wekeza kwenye ligi za chini maana hizo ndio feeders wa ligi kuu. Ndio majiko ya kuandaa wachezaji wa ligi kuu.


Huna unalojua zaidi ya kuongea ujinga tu
 
Naunga mkono hoja
 


Sasa Simba na yanga zikicheza Tanga
Mikoa JIRANI kama.

ARUSHA.
KILIMANJARO.
MUSOMA.
MANYARA.

yote inavutika kwenda kuangalia mchezo.

Baada ya hapo NAO wanaanza kutamani kuwa na mpira kwenye Mikoa Yao.

Wanaanza kuweka strategies za kucheza LIGI KUU.

Either.
1. Kuwa na timu za vijana..

2. Kujenga Academy.

3. Kuinunua timu ya champion league mfano pamba, DTB nk.

4. Kujenga viwanja vya MICHEZO nk.



NB
HUWEZI UKASHINDANA NA MIMI KWA HOJA SI RAIS MTU YOYOTE KUNIZIDI AKILI HAPA JF. NA TZ.
 
Wewe ni mpumbavu huna unalojua.


Eti hayo Mashindano ya wiki Moja ndio yahamasishe watu kujenga viwanja vyao. Una akili tumamu kweli wewe.


Halafu eti una hoja ng'ombe wa mayele wewe
 
Yaani wabongo kila kitu wanataka kiwe km epl

Hongera tff hii tunaiita soka letu kivyetu vyetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…