Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,336
Japo umembeza, ila kiuhalisia mkuu wewe ndio unahitaji elimu.TATIZO HUNA AKILI.
LENGO Lakuaandaa Ngao ya Jamii.
1. Kuziandaa mapema kiushindanina vizuri timu zinazoshiriki mashindano ya kimataifa Simba, yanga, Azam na singida.
Kuziandaa kucheza MICHEZO migumu,
Kujua madhaifu Yao nk.
2. Kuongeza mapato ya hisani kwaajili ya kusaidia WATU WENYE nahitaji .
Ongezeko la Mapato linaweza kupelekea hata ujezni WA Hospital kubwa nk
3. Kuongeza Kutanua zaidi mpira, kwa kuwa na Mashindano Mengi.
WAJINGA KAMA NYIE HAMUWEZI KUONA FAIDA ZA NGAO YA JAMII.
ELIMU, ELIMU, ELIMU
Huu ni utaratibu wa kijinga sana, hakuna ngao ya jamii ya team 4. Man City na Arsenal ngoma imeisha jana, week hii league zinaanza.
Tukubali tukatae, TFF watu wa mpira ni wachache sana. Ngumu sana kwao kwenda na mabadiliko kadhaa ya mpira wa kisasa.