Nani aliyewashauri TFF na Bodi ya Ligi kuingiza timu nne kwenye michuano ya Ngao ya Jamii?

Ngao ya hisani inatakiwa mechi moja tu mengine ni mauzauza ya watu.
 
Uo mfumo wa kispaniola sio wa ku copy niwa kipuuzi tu. Ndio maana timu zina cheza mechi za maandalizi.
Ilitakiwa ichezwe mechi moja tu kama ni Yanga vs Simba ligi ianze.


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Alie waambia msisajiri ni nani, kwa Simba hii lazima utopolo mtetemeke MT Ngoma ni danger
 
Alie waambia msisajiri ni nani, kwa Simba hii lazima utopolo mtetemeke MT Ngoma ni danger
Yanga yupo kwenye daraja la pekeyake kwasasa, unaweza kwasasa usinielewe ila baada ya muda utanielewa.
Yanga imecheza na Simba ikiwa na mshambuliaji kiongozi Ditram Nchimbi na imeidhibu Simba kwaiyo ishu si kuogopana maana ki uhalisia Simba ndio timu iliyofungwa na Yanga maranyingi zaidi kuliko timu yoyote.

Tunaongelea mpira, Mfumo wa ngao ya jammii kuwa na timu nne haufai. Mechi iwe moja ligi ianze.
Kama wanahitaji kuchangia jamii, yale mapato yao ya mgao wa Tff wawe wanatoa asilimia flani ili ichangie jammii.

Baadhi ya vilabu vimesha weka utaratibu wao wa kurudisha kwa jamii kwa muda mrefu sasa, kwaiyo tusichoshane.



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Una shupaza mishipa ya shingo Kama unaongea point kumbe HAKUNA kitu kichwani.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mm hapa.
 
Yani TFF hii hii waandae mechi halafu 100% ya mapato watowe sadaka?

Wewe utakuwa hujui kwa nini Rage alifungwa jela na Wambura alikuwa na kesi ya uhujumu uchumi.

Kama WAKIFUNGWA na MAMLAKA ni sawa.

Hata Hawa akina Karia wakiiba wakiwa na hatia ya WIZI watafungwa.

AKINA KARIA WANA LA KUJIFUNZA KWA AKINA MALINZI.
Sasa unataka nini zaidi?????
 
Nijuavyo Mimi katika ngao ya jamii ilipaswa mshindi wa kombe la ligi na mshindi wa kombe la FA ndiyo wakutane tofauti na hapo Mshindi wa ligi atakutana na mshindi wa pili.
Ujuavyo wewe, ila hujasema umejuaje. Bodi ya Ligi inayoundwa na vilabu vya ligi kuu nchini ikiwemo Yanga, ilamua mwaka huu iwe hivyo. Sasa sijajua wewe ulijua kitu gani. Kama wewe ni mshabiki wa soka na klabu yako ni mojawapo ya timu zinazoshiriki Ligi Kuu nchini, basi inabidi umuulize mwakilishi wa klabu yako katika Bodi hiyo, kwa nini aliamua hivyo
 
Una shupaza mishipa ya shingo Kama unaongea point kumbe HAKUNA kitu kichwani.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Jibu hoja kaka.

Mimi hunifahamu na sikufahamu?

HIYO mishipa ya shingo umeitoa wapi???
UNAKUWA MBEA KAMA MTOTO WA KIKE, AU WEWE SI MWANAUME.

NINAWASIWASI NA JESHINI WALIVYOKUFANYA
 
Na ndiyo utaratibu hata kwenye nchi za wenzetu tunaowaangalia kimaendeleo kuhusu mpira.

Kuwa na wakilishi hiyo siyo hoja wanaweza kulazishwa kuunga hoja

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…