Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Nyamaza endelea kuishi kwa wifi akoNaona bado hujui kinachoendelea duniani, kasaidie kuosha vyombo jikoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyamaza endelea kuishi kwa wifi akoNaona bado hujui kinachoendelea duniani, kasaidie kuosha vyombo jikoni.
Ushahidi u wapi? Upinzani walimuelewa ndio maana walijivua magamba na kuja kumuunga mkono achana na habari za vijiweni nduguUmesahau eeh Magufuli alichezeachezea hela za wanyonge kununua wapinzani.
Tuacheni ushamba mambo mengine mnayatunga vibaya,hayaendani ,hizo data za kulipa mmezipata wapi ? Wacheni kututilisha aibu kwa madai ya uwongo,mkishitakiwa mlete ushahidi mtasema mnaonewa.
Na umesahau eeh Magufuli alikuwa anadokoa hela za wanyonge Hazina na kuzitapanya tapanya na kugawa kama njugu kwa mahawara zake uchwara?Ushahidi u wapi? Upinzani walimuelewa ndio maana walijivua magamba na kuja kumuunga mkono achana na habari za vijiweni ndugu
Shule hata vyoo tunaomba msaada, halafu hela inatumika kuangalia bendera ya taifa kwa dk3!Siyo nyingi kwa serikali kwa sababu hawana uchungu nazo. Zinaingia tu hata hawajui uchungu wa kutafuta.
Kachote taarifa huko ulipokuwa unazichukua urudi tena hapa kama hujui ule ulikuwa mshahara wake binafsiNa umesahau eeh Magufuli alikuwa anadokoa hela za wanyonge Hazina na kuzitapanya tapanya na kugawa kama njugu kwa mahawara zake uchwara?
Umesahau Magufuli alielekea kuupiromosha uchumi wetu kwa kukwapua na kulamba hela za wanyonge hazina na kuzichezea chezea hovyo hovyo?Kachote taarifa huko ulipokuwa unazichukua urudi tena hapa kama hujui ule ulikuwa mshahara wake binafsi
Kwa hiyo dak 3 ndiyo ulipe milioni 200?
Bora miezi 6 hii ni dak 3 tuTangazo la TANZANIA CNN Marekani Limekamilika..?
Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni amezindua Tanagazo mjini New York kutangaza vivutio vya Utalii vilivyoko nchini Tanzania jamani kwa wale walio liona tusaidiane ushauri tangazo hilo limegarimu pesa za walipa kodi, dollar za kimarekani laki saba na nusu kwa miezi sita tu,$750,000...www.jamiiforums.com
Muulize zamaradi ana uzoefu.
Hio ni 2007 leo ni 2022, miaka 15 imeshapitaBora miezi 6 hii ni dak 3 tu
Hatari snHio ni 2007 leo ni 2022, miaka 15 imeshapita
Sidhani kama thamanani yake inaweza kuwa vilevile
Hivi kwa nini OKW BOBAN SUNZU msikague hiyo Vote 20!!??Samia ndio kalipa kupitia Vote 20
Umenitukania wazazi wangu bado tu unaniandama?!!Asietembea anajulikana kwa majibu yake tu
Inaonekana hujatembea wewe kwa majibu yako mepesi
Ila humu kuna watu mnatafuta ugomvi wa bure while others are looking for opportunities and have good relationships with others
Sasa wewe endelea kutafuta enemies
🤣🤣Kwa nini wewe CCM uhoji mambo ya CDM katikati ya mjadala unaohusu mambo ya nchi?
Hii si ndio ile jiwe anaita kuwashwashwa!
Mkuu hebu kuwa mkweli....wapi nimekuita mjinga?!!!Umeniita mjinga
Humu kuna watu wa kila aina na heshima ni jambo la maana sana
Uwe na heshima kwa kila mmoja
Tunachangia na tunaeleweshana
Wewe unazijua bendera zote za Africa na ndio continent lako
Tunatofautiana mawazo ila kumuita mtu mjinga ni kosa kubwa sana hapo umeamua kutukanwa tu
Next time watch your mouth