Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?

Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?

Mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burji Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya dola 67,000 hadi 87,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki Tshs. Milioni 157 hadi 200 hivi kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote la Burji Khalifa.

Fedha hii kwa nchi masikini kama hii bado ni kubwa na ingeweza kufanya jambo la maana. Jana Februari 28 jengo hilo limetangaza bendera ya Tanzania kwa dakika 3 na wenye Serikali yao wakatutangazia neema kwamba nasi tumeonekana Dubai.

Hebu tuzionee huruma fedha za walipa kodi wanaojikamua huku sisi viongozi tukiishi kwa anasa.

View attachment 2134765
Hivi wewe Mbuzi unaongelea Milioni 200 Kwa Taifa kama Tanzania? Masikini ni wewe na Ukoo wenu. Milioni 200 hata Mkulima Mmoja wa Mahindi anaweza kuilipa
 
Unakuwa mvivu hata kwa mambo ambayo yako wazi duniani? Ingia google halafu endelea kubishana. Mimi nauliza nani kalipa kama hela zetu tujulishwe faida tuliyopata kwa dakika 3 au tumelipiwa tujiandae?
Ujulishwe wewe kama nani? Unachotakiwa kujulishwa wewe ni taarifa za Udaku Tu
 
Unakuwa mvivu hata kwa mambo ambayo yako wazi duniani? Ingia google halafu endelea kubishana. Mimi nauliza nani kalipa kama hela zetu tujulishwe faida tuliyopata kwa dakika 3 au tumelipiwa tujiandae?
Sitafuti ubishi ila ndugu mbona naona kama unajipiga gwala mwenyewe kwa mwenyewe? Unamshauri awache uvivu na aingie google kupata taarifa alizokuuliza, sasa ni kwa nini nawe mwenyewe huendi kuuliza huko huko kwa uncle google ni nani alielipa hizo hela?
 
Tuacheni ushamba mambo mengine mnayatunga vibaya,hayaendani ,hizo data za kulipa mmezipata wapi ? Wacheni kututilisha aibu kwa madai ya uwongo,mkishitakiwa mlete ushahidi mtasema mnaonewa.
 
Acha fikra za kimasikini 160m ni nyingi sana kuwekeza kwenye utalii wewe unajua tunakusanya shilling ngapi kwa siku uku bugani kwa watalii,...........tabia zakujiliza jiliza eti wanyonge masikini ziende na mwenda zake, Rwanda unatoa $30m (64bn kwa shilling za Tz) kwa arsenal kulipia tangazo la tu arm budge la vist Rwanda
Kwani Tanzania ni sawa na Rwanda?
Yani sisi tuige kitaifa kidogo masikini cha kidekteta? Mko serious?!
 
Sijamtukana mtu nimejibu kuhusu hao waarabu kutokuijua bendera ya Tanzania....wao si watu?!!!

Matusi hayauzwi....nawaheshimu wazazi wako......

Hongera mkuu[emoji106]

Umeniita mjinga
Humu kuna watu wa kila aina na heshima ni jambo la maana sana

Uwe na heshima kwa kila mmoja
Tunachangia na tunaeleweshana
Wewe unazijua bendera zote za Africa na ndio continent lako

Tunatofautiana mawazo ila kumuita mtu mjinga ni kosa kubwa sana hapo umeamua kutukanwa tu
Next time watch your mouth
 
Tuacheni ushamba mambo mengine mnayatunga vibaya,hayaendani ,hizo data za kulipa mmezipata wapi ? Wacheni kututilisha aibu kwa madai ya uwongo,mkishitakiwa mlete ushahidi mtasema mnaonewa.
Hukalazimishwa kuja kuchangia hapa. Kwa kiwango chako cha akili umevuka mipaka mpaka umefika hapa. Rudi kwenye timu yako ya washangiliaji mkaandae jubilee!
 
Acha fikra za kimasikini 160m ni nyingi sana kuwekeza kwenye utalii wewe unajua tunakusanya shilling ngapi kwa siku uku bugani kwa watalii,...........tabia zakujiliza jiliza eti wanyonge masikini ziende na mwenda zake, Rwanda unatoa $30m (64bn kwa shilling za Tz) kwa arsenal kulipia tangazo la tu arm budge la vist Rwanda
£ 30 m kwa miaka mitatu au 42M us dollars kwa 3 years
So ni 10 M british per year
 
Wewe punguani Kila siku unapiga picha daraja la uhuru huku ukikenua meno yote selathini na mbili huoni hayo ni maendeleo? Sikumpenda magufuli lakini Kuna mambo makubwa amefanya ambayo Bado hutajayona Kwa mama japo twasikia kwamba mnaandaa birthday ya mwaka mmoja tangu aingie madarakani
😁 32 kama hayo? Safi sana, Wewe ni mkali wa kuona maendeleo na kutokukenua meno 32!
 
Point Hapa ni kuwa fedha za kufanya mambo yasiyokuwa na tija zipo ila kwa mambo ya msingi hakuna.
Unaweza kuendelea kunywa Pepsi baridi Kwa starehe maana umeiona concept kubwa ya huu Uzi. Lakini Mtu anaibuka na Point za sijui mbona Rwanda imetangaza Asernal?
 
Back
Top Bottom