Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hapa 👇Wewe unayeunga mkono, tupe faida tunayopata Kwa kutangaza bendera dakika 3 Kwa mil.200.
We naye, acha kuabudu sanamu, pumbafu! Nyie ndo mnaosababisha viongozi wafe kwa corona!Umelipa wewe,
Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "🤣🤣🤣
Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,
#HAKUNA KAMA SAMIA
Wewe unahoji mambo ya CHADEMA kama nani?Kwani CHADEMA mlipokuwa mnatumia wakili Amsterdam na huyu bwana hapa chini manufaa yake ni yapi?!!!View attachment 2134920
Alafu amekaa meza moja na Mo?! Hii dhambi kabisa!Nakuona shaka mzee wa mkorogo,nawe umekaa na mabilioneaView attachment 2134777
Kwani hujamwona katibu mwenezi wetu mwenye Sura nzuri hapo mbele mbele?!Kama hatujatoa hata Mia huu msaada wa bure sisi tutawalipa nini warabu wa dubai?
Kwani zilipoacha kupigwa wakati wa jiwe, kuna maendeleo gani nchi ilipata?!Acha zimiminwe tu!Jiwe mlimuita shetani nyinyi
+ Mabasi ya EsterMtu ana kampuni ya kamari alafu unamweka kwenye hazina.
Kama hukuyaona ww poteaKwani zilipoacha kupigwa wakati wa jiwe, kuna maendeleo gani nchi ilipata?!
Madilu huyu huyu, anatubetisha?! Utunusuru yarabi!!Mtu ana kampuni ya kamari alafu unamweka kwenye hazina.
Watafune wachache mkuuAcha zimiminwe tu!Jiwe mlimuita shetani nyinyi
Mimi napoteaje sasa? Jiwe ndo limepotea na maisha yanaendelea!Kama hukuyaona ww potea
Acha watu wapige pesa vizuri
Wewe jamaa nawe uwe unajibu maswali kwa logic basi.
Unatuaibisha hatari humu JF.
Wewe unazani kuseti hiyo mitambo ni bure?. Sabasaba tu hapo unalipia sembuse na hiyo mitambo?.
Afu bora wanetangaza utalii na utamaduni, na uwekezaji?.. Wao wanatangaza bendera.
Khaaaaa
Tumeshindwa kuweka vitu vinavyodumu hadi tutumie tangazo la dakika 3?
New York inatembelewa na watalii hadi milion 40 kwa mwaka wakati Dubai hawazidi milioni 4 kwa mwaka, hembu fanya hesabu rahisi za kuzidisha.
Hawajui kuwa mama Anaupiga mwingi. Si kila kitu lazima ulipe toka mfukoni kwako. Zungumza vizuri na watu utapata vingi.Umelipa wewe,
Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "🤣🤣🤣
Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,
#HAKUNA KAMA SAMIA