Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?

Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?

Nchi hii mna mahaba ya kijinga sana...mmeanza kumsakama kwa kila kitu sababu mmekosa nafasi...ccm ni wanafiki sana.
Kuitangaza nchi haijawahi kuwa rahisi.
Unafikiri 200ml inatosha kuajiri watu wangapi?

Nchi ikitangazwa vizuri, tukaachana na siasa chafu za kuonea upinzani, tutavutia wawekezaji wengi na ajira zitakua nyingi.

Kuitangaza nchi ni sahihi...ushauri waachane na siasa chafu
Tatizo la Tanzania sio matangazo.

Tatizo letu ni usimamizi mzuri wa Rasilimali , kukusanya mapato na usimamizi mzuri wa miradi hilo tu.

Hayo mengine ndio tunaita matumizi mabaya ya fedha za uma.

Tumia akili na sio hisia.
 
2960219_IMG-20211010-WA0032.jpg
 
Nani aliyekwambia ni tangazo inaweza kuwa ni ishara tu ya umoja na mshikamoni baina ya nchi mbili.
 
Zimenisaidia Sana maishani maana sijawahi kujipendwkeza na kujikombakomba kama wewe. Nakula Kwa Jasho langu sitegemei Uchawa kama wewe.
Niwe chawa au nisiwe chawa lakini kikubwa ni kwamba akili zako za kijima unalazimisha zifanyekazi kwenye zama A teknolojia
 
WATANZANIA:
Rwanda inajitangaza sana sisi serikali yetu imelala tu Messi anavaa jezi imeandikwa visit Rwanda sis tumelala

WATANZANIA:
Nani amelipia milion 200 kutangaza nchi kwenye jengo refu zaidi duniani wakati mitaani ajira hakuna
 
Tatizo la Tanzania sio matangazo.

Tatizo letu ni usimamizi mzuri wa Rasilimali , kukusanya mapato na usimamizi mzuri wa miradi hilo tu.

Hayo mengine ndio tunaita matumizi mabaya ya fedha za uma.

Tumia akili na sio hisia.
Haya hamkuyasema wakati mkiliowa buku 7.
Puanguani waheed...sijui nini.

Mnapotolewa mezani mnajifanya zimewarudi.
Mwacheni Samia naye afurukute...tusubiri matokeo ili tumpongeze au tumlaumu.
Kwa muda huu ameona kuitangaza nchi ndio njia pekee ya kuvuna watalii na wawekezaji...tumsubirie ukingoni .
 
WATANZANIA:
Rwanda inajitangaza sana sisi serikali yetu imelala tu Messi anavaa jezi imeandikwa visit Rwanda sis tumelala

WATANZANIA:
Nani amelipia milion 200 kutangaza nchi kwenye jengo refu zaidi duniani wakati mitaani ajira hakuna
2991488_images_7.jpeg
 
Nenda shule kajifunze nini maana ya advertisement usiniulize mimi swali halina kichwa wala miguu. Nani duniani asiyejuwa Pepsi au Cocacola labda umezaliwa unazijuwa vizuri lakini umesikia hata siku wameacha kujitangaza? unataka kukuza utalii unadhani kila mtu anaijuwa Tanzania?
😍
 
Haya hamkuyasema wakati mkiliowa buku 7.
Puanguani waheed...sijui nini.

Mnapotolewa mezani mnajifanya zimewarudi.
Mwacheni Samia naye afurukute...tusubiri matokeo ili tumpongeze au tumlaumu.
Kwa muda huu ameona kuitangaza nchi ndio njia pekee ya kuvuna watalii na wawekezaji...tumsubirie ukingoni .
Sasa mkuu naona unataka kuanza kunipangia nini cha kufanya jambo ambalo sio sahihi.

Ninao uhuru wa kusema yale nayoona yanafaa kusemwa muda huo.

Sasa kama unaona nakukera sana. Acha kusoma tu comments zangu soma za wengine.
 
Bendera ya Taifa ipo kila mahali hata mitandoni ipo.

Sasa hii ya kuilipia milioni miambili kwa dakika tatu ni ufujaji tu wa fedha za uma.
 
Sasa mkuu naona unataka kuanza kunipangia nini cha kufanya jambo ambalo sio sahihi.

Ninao uhuru wa kusema yale nayoona yanafaa kusemwa muda huo.

Sasa kama unaona nakukera sana. Acha kusoma tu comments zangu soma za wengine.
Naona nawewe unanipangia wa kumjibu.
Nitakujibu ukereke kama mlivyotukera wakati wa mateso ya watanzania awamu iliyopita.
 
Back
Top Bottom