Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mzee unafikiri ukinijibu kwa lugha yoyote nitakereka.Naona nawewe unanipangia wa kumjibu.
Nitakujibu ukereke kama mlivyotukera wakati wa mateso ya watanzania awamu iliyopita.
Umelipa wewe,
Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "🤣🤣🤣
Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,
#HAKUNA KAMA SAMIA
Faida ipi mliyopata ?Umelipa wewe,
Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,
#HAKUNA KAMA SAMIA
Kenya walipotupiga bao kuhusu Kilimanjaro mlilalamaKupitia kodi na tozo mbali mbali kalipa ebo acheni kuchezea kodi za waTanzania.
Ungemsaidia zaidi kama ungemwambia nani kalipiaUmelipa wewe,
Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "🤣🤣🤣
Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,
#HAKUNA KAMA SAMIA
Manufaa yake ni yapi ?Acha ujinga kijana, mnataka maendeleo ila kuumia hamtaki.
Hilo ni tangazo la muhimu kama ya nchi nyingine tu.
USIJE NIITA CCM, SIJAWAHI IPENDA CCM TOKA NIZALIWE lakini tusiwe wajinga wa kubisha tu hata jambo lenye manufaa kwa taifa kama hilo.
Nani kalipa huo mpunga ?Ila Chadema mna gubu aisee
Chanzo cha TAARIFA kuhusu charges za hiyo pesa?
Kwani CHADEMA mlipokuwa mnatumia wakili Amsterdam na huyu bwana hapa chini manufaa yake ni yapi?!!!Manufaa yake ni yapi ?
Atakuwa Sa100 ndio kalipa, si unajua kila kitu siku hizi unasikia Sa100 kafanya hivi mara kafanys vile, inaelekea ni tajiri kama Bill Gates.Nani kalipa huo mpunga ?
Umtanie nani wewe mamluki ?[emoji1787][emoji1787]Ok mkuu nimewatania watani zangu
kwani maza c alienda kwa wanaume wa dunia we tatizo liko wapi acha ufukunyukuMamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burji Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya dola 67,000 hadi 87,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki Tshs. Milioni 157 hadi 200 hivi kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote la Burji Khalifa.
Fedha hii kwa nchi masikini kama hii bado ni kubwa na ingeweza kufanya jambo la maana. Jana Februari 28 jengo hilo limetangaza bendera ya Tanzania kwa dakika 3 na wenye Serikali yao wakatutangazia neema kwamba nasi tumeonekana Dubai.
Hebu tuzionee huruma fedha za walipa kodi wanaojikamua huku sisi viongozi tukiishi kwa anasa.
View attachment 2134765
Hata wamasai wa Kenya wanaijua bendera ya Tanzania sembuse waarabu wa GULF?!!
Ujinga mzigo
MkulimaNani kalipa huo mpunga ?
Hata wamasai wa Kenya wanaijua bendera ya Tanzania sembuse waarabu wa GULF?!!
Ujinga mzigo