Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?

Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?

Naona nawewe unanipangia wa kumjibu.
Nitakujibu ukereke kama mlivyotukera wakati wa mateso ya watanzania awamu iliyopita.
Sasa mzee unafikiri ukinijibu kwa lugha yoyote nitakereka.

Mimi nina uzoefu wa kudeal na watu wa aina mbali mbali na wengine wenye majibu mabaya kuliko hata unavyofikiri.

Unapoteza muda wako bure. Just mind your own business.
 
Umelipa wewe,

Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "🤣🤣🤣

Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,

#HAKUNA KAMA SAMIA

Kupitia kodi na tozo mbali mbali kalipa ebo acheni kuchezea kodi za waTanzania.
 
Sio kwa ubaya ila kuna kizazi cha wanaharakati wa sasahivi wanafanya propaganda kama wapo miaka ya 60.
 
Kupitia kodi na tozo mbali mbali kalipa ebo acheni kuchezea kodi za waTanzania.
Kenya walipotupiga bao kuhusu Kilimanjaro mlilalama

Rwanda walipojitangaza kwenye soka mlijitangaza

It is our time
 
Acha ujinga kijana, mnataka maendeleo ila kuumia hamtaki.

Hilo ni tangazo la muhimu kama ya nchi nyingine tu.

USIJE NIITA CCM, SIJAWAHI IPENDA CCM TOKA NIZALIWE lakini tusiwe wajinga wa kubisha tu hata jambo lenye manufaa kwa taifa kama hilo.
Manufaa yake ni yapi ?
 
Manufaa yake ni yapi ?
Kwani CHADEMA mlipokuwa mnatumia wakili Amsterdam na huyu bwana hapa chini manufaa yake ni yapi?!!!
IDU_David_McAllister-600x600(0).jpg
 
Mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burji Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya dola 67,000 hadi 87,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki Tshs. Milioni 157 hadi 200 hivi kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote la Burji Khalifa.

Fedha hii kwa nchi masikini kama hii bado ni kubwa na ingeweza kufanya jambo la maana. Jana Februari 28 jengo hilo limetangaza bendera ya Tanzania kwa dakika 3 na wenye Serikali yao wakatutangazia neema kwamba nasi tumeonekana Dubai.

Hebu tuzionee huruma fedha za walipa kodi wanaojikamua huku sisi viongozi tukiishi kwa anasa.

View attachment 2134765
kwani maza c alienda kwa wanaume wa dunia we tatizo liko wapi acha ufukunyuku
 
Faida ya kuonekana hapo ni kubwa kuliko hiyo hela iliyotoka,
Hongera sana kwa kuipaisha tanzania
 
Back
Top Bottom