Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?

Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?

Acha ujinga kijana, mnataka maendeleo ila kuumia hamtaki.

Hilo ni tangazo la muhimu kama ya nchi nyingine tu.

USIJE NIITA CCM, SIJAWAHI IPENDA CCM TOKA NIZALIWE lakini tusiwe wajinga wa kubisha tu hata jambo lenye manufaa kwa taifa kama hilo.
Bora wangeandika tanzania kuliko kuqeka bendera mwarabu akiona hayo marangirangi hawezi kuekewa kitu
 
Umelipa wewe,

Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,

#HAKUNA KAMA SAMIA
Eleza sasa ueleweke. Nani amelipia?. Hakuna kama Samia ndio iliyolipa. Hakuna hata mia kwa nini itangazwe sehemu ya matamgazo,halafu kusiwe hata mia? Fafanua
 
Hii nchi inatafunwa sana

Yaani zipo milioni 200 za kulipia tangazo la dakika 3 lakini ajira kwa vijana hakuna na tunakopa fedha za kujenga vyoo.
 
Tunatangazwa ili iweje?
Nenda shule kajifunze nini maana ya advertisement usiniulize mimi swali halina kichwa wala miguu. Nani duniani asiyejuwa Pepsi au Cocacola labda umezaliwa unazijuwa vizuri lakini umesikia hata siku wameacha kujitangaza? unataka kukuza utalii unadhani kila mtu anaijuwa Tanzania?
 
Mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burji Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya dola 67,000 hadi 87,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki Tshs. Milioni 157 hadi 200 hivi kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote la Burji Khalifa.

Fedha hii kwa nchi masikini kama hii bado ni kubwa na ingeweza kufanya jambo la maana. Jana Februari 28 jengo hilo limetangaza bendera ya Tanzania kwa dakika 3 na wenye Serikali yao wakatutangazia neema kwamba nasi tumeonekana Dubai.

Hebu tuzionee huruma fedha za walipa kodi wanaojikamua huku sisi viongozi tukiishi kwa anasa.

View attachment 2134765
HIVI UNAJUWA HIZO ZILIZO LIPIA HILO TANGAZO ZIMETOKA WAPI? NDIVYO ZINAVYOTAFUTWA KAKA HAPO ZITAKUJA ZINGINE HIZO NA FAIDA JUU KIBAO
 
Mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burji Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya dola 67,000 hadi 87,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki Tshs. Milioni 157 hadi 200 hivi kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote la Burji Khalifa.

Fedha hii kwa nchi masikini kama hii bado ni kubwa na ingeweza kufanya jambo la maana. Jana Februari 28 jengo hilo limetangaza bendera ya Tanzania kwa dakika 3 na wenye Serikali yao wakatutangazia neema kwamba nasi tumeonekana Dubai.

Hebu tuzionee huruma fedha za walipa kodi wanaojikamua huku sisi viongozi tukiishi kwa anasa.

View attachment 2134765
Hahahaha.
Nchi hii ina watu wajuaji lakini wajinga na maskini kichwani.

Pesa huleta pesa.
Rwanda inajitangaza kwa mabilioni ya pesa na haijutii kwani inalipa.
Unapoona Ulaya hasa viwanja vya mipira kuna tangazo "visit Rwanda" unafikiri ni bure?

Unafikiri 200ml zinalipwa?

Tuache kulalamikia kila upuuzi.

Wenye roho kama yako waliiuwepo tangu enzi za Yesu.

Yuda alimkemea mwanamke akiyemmiminia yesu perfume/marhamu ya thamani akisingizia kuwa ingeuzwa ili maskini wapewe.
Yesu alijibu kuwa maskini mnao siku zote lakini mimi hamtakuwa nami siku zote..


Nini maana yake?
Shida za nchi hii haziwezi kuisha leo wala kesho.
Iwapo kupoteza 200ml leo kutawwza kuleta Billions of money baadae hakuna tatizo.

Biashara ni matangazo...nchi na vivutio vitangazwe kwa gharama yoyote....iwapo tu matangazo yana malengo stahiki.
 
Wakati milioni mia mbili zikiteketezwa bila huruma kwa dakika tatu tu, mtandao wa ajira portal unaonekana hivi leo tarehe 1/03/2022.
Screenshot_20220301-102544.png
 
Halafu watu wanaona Psg wakiandika Visit Rwanda wanaisifia unataka uwekezaji watu wakufate ausio kiongozi ….Unaanzisha duka wateja watakufata ausio?….Kwaio Pepsi kuna kiongozi wao anafanya ufisadi hela anayolipwa diamond pale si ndio?
 
Wakati milioni mia mbili zikiteketezwa bila huruma kwa dakika tatu tu, mtandao wa ajira portal unaonekana hivi leo tarehe 1/03/2022.View attachment 2134860
Nchi hii mna mahaba ya kijinga sana...mmeanza kumsakama kwa kila kitu sababu mmekosa nafasi...ccm ni wanafiki sana.
Kuitangaza nchi haijawahi kuwa rahisi.
Unafikiri 200ml inatosha kuajiri watu wangapi?

Nchi ikitangazwa vizuri, tukaachana na siasa chafu za kuonea upinzani, tutavutia wawekezaji wengi na ajira zitakua nyingi.

Kuitangaza nchi ni sahihi...ushauri waachane na siasa chafu
 
Tunaposema mama anaifungua nchi TUNAMAANISHA💪

Kongole kwa serikali ya awamu ya 6... Tanzania si kisiwa.....

#Siempre JMT🙏
 
Umelipa wewe,

Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "🤣🤣🤣

Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,

#HAKUNA KAMA SAMIA
Acha ujinga wewe ... Faida gani iliyopatikana hapo...!!?
 
Gharama za kuitangaza nchi KIUWEKEZAJI si ndogo...

Tuache ujinga wa KUPINGAPINGA kila kitu......

#Siempre JMT🙏
 
Back
Top Bottom