Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Muulize zamaradi ana uzoefu.
Zamaradi ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize zamaradi ana uzoefu.
Labda anataka aonekane amesoma, ha ha ha. Kaboronga.Anaonyesha uchungu na hela aliyoisotea inavyotawanywa bila faida sahihi. Hata akiandika Kiha sawa tu.
Kwani Rwanda wanalipa sh ngapi kuitangaza nchi yao pale Arsenal?Kwa hiyo dak 3 ndiyo ulipe milioni 200?
una elimu gani samahaniTunatangazwa ili iweje?
Kwa akili yako mbovu wewe ndo unapendeza kuwa CCM.Huwezi kuuficha u CCM wako, uko dhahiri
Dubai na UN wapi ni destination kubwa ya utalii?Bendera ya Tanzania inapepea UN na kwenye balozi zetu duniani kote, Leo lipi jipya kuonesha bendera kwa dakika 3?
A beautifully one are not yet born=The beautyful ones are not yet born.Typing error mkuu
Nisahihishe
Au niandike kimakuwa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Siyo rahisi na ndiyo maana tunatafuta njia mbalimbali za kuyafikia.Maendeleo yangekuwa yanakuja kirahisi hivyo Africa ingekuwa zaidi ya URaya
Kama hatujatoa hata Mia huu msaada wa bure sisi tutawalipa nini warabu wa dubai?Umelipa wewe,
Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,
#HAKUNA KAMA SAMIA
Kweli mkuu kila kitu kina garama yake bc tuache kufanya uchagimuzi kwa maana unatumia pesa nyingi wakati tunajua ccm inashindaHii nchi Ina vijana wa hovyo Sana,kila kitu kina garama yake,na kila kitu kina nafasi yake kwa wakati Fulani...Ni sawa na kusema kwa sababu wewe Ni maskini Basi usile vizuri...Ni uzwazwa....au kwa kuwa wewe Ni maskini haina haja ya kununua nguo Ni anasa Bora ela ukanunue chakula... stupid
Kama mwenyekiti wao ni zao la sifuri unategemea wafuasi wake wawe vipi...hawa vijana hovyo kabisaKwa akili yako mbovu wewe ndo unapendeza kuwa CCM.
Hizi haziwezi kuwa akili za BAVICHA,wala BAZECHA wala BAWACHA.
Kama upo CHADEMA utakuwa umetumwa then baadaye uunge mkono juhudi.
Kwani Rwanda wanalipa sh ngapi kuitangaza nchi yao pale Arsenal?
Rwanda sasa hivi Inaonekana ni nchi ya maana duniani sababu ya propaganda na matangazo,wakati kiuhalisia Rwanda hamna kitu unaweza fananisha na matangazo.
Mi naaminI faida inayoweza patikana ni kubwa kuliko hiyo milioni 200.
I stand to be corrected.
Huna akili mjinga kabisa.Umelipa wewe,
Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "🤣🤣🤣
Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,
#HAKUNA KAMA SAMIA
hahahahauna elimu gani samahani
Dubai na UN wapi ni destination kubwa ya utalii?
Wapi panafuatiliwa sana na watu?
una elimu gani samahani