Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?

Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?

Kila kitu kina gharama zake tulimponda Sana Kigwangala kuwatumia kina Steve Nyerere kutangaza vivutio vyetu tukataka tuwe kama Rwanda sasa piga hesabu ile visit Rwanda Arsenal au ile visit Rwanda PSG yaani Neymar, Mbape, Messi, Ramos etc wanaivaa unadhani ni mpunga kiasi gani Rwanda wameweka pale??? Tukitaka kula lazima tukubali kuliwa period.
 
Kila kitu kina gharama zake tulimponda Sana kigwangala kuwatumia kina Steve Nyerere kutangaza vivutio vyetu tukataka tuwe km Rwanda sasa piga hesabu ile visit Rwanda Arsenal au ile visit Rwanda PSG yani Neymar,Mbape,messi,Ramos etc wanaivaa unadhan ni mpunga kiasi gn Rwanda wameweka pale??? Tukitaka kula lazima tukubali kuliwa period.
Tumeshindwa kuweka vitu vinavyodumu hadi tutumie tangazo la dakika 3?
 
Kwa hiyo dak 3 ndiyo ulipe milioni 200?
Sasa wapi matangazo ni bure? Ronaldo post moja anapata 1.7 Million sembuse hiyo dola alfu 67. Nyingi kwetu sisi lakini sio nyingi kwa wengine na hasa serikali
 
Hii nchi Ina vijana wa hovyo Sana,kila kitu kina garama yake,na kila kitu kina nafasi yake kwa wakati Fulani...Ni sawa na kusema kwa sababu wewe Ni maskini Basi usile vizuri...Ni uzwazwa....au kwa kuwa wewe Ni maskini haina haja ya kununua nguo Ni anasa Bora ela ukanunue chakula... stupid
 
Sasa wapi matangazo ni bure? Ronaldo post moja anapata 1.7 Million sembuse hiyo dola alfu 67. Nyingi kwetu sisi lakini sio nyingi kwa wengine na hasa serikali
Siyo nyingi kwa serikali kwa sababu hawana uchungu nazo. Zinaingia tu hata hawajui uchungu wa kutafuta.
 
Mmeashaanza kutuibia. Tunamkumbuka magufuli kwa kweli. Lazima utetee kwa sababu Ni mnufaika.
Umelipa wewe,

Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "🤣🤣🤣

Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,

#HAKUNA KAMA SAMIA
 
Umelipa wewe,

Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,

#HAKUNA KAMA SAMIA
Nakuona shaka mzee wa mkorogo,nawe umekaa na mabilionea
Screenshot_20220228-212732_Twitter.jpeg
 
Umelipa wewe,

Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "🤣🤣🤣

Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,

#HAKUNA KAMA SAMIA
Kwa hiyo ni sawa kulipia milioni 200 za wanyonge kwa ajili ya tangazo la dakika tatu?

Hiyo faida unayohoji hapo ni kwamba Tanzania imepata baada ya kuuza bidhaa zake ama ndio unashangalia Tanzania yatima kutembeza bakuli kila siku?
 
Siyo nyingi kwa serikali kwa sababu hawana uchungu nazo. Zinaingia tu hata hawajui uchungu wa kutafuta.
Sasa swali wapi utatangazwa bure? wakati Rwanda wamelipa mamilion kwa Arsnal kuna watu humu wanatushinda kwenye matangazo sisi tunawalipa tu hawa bongo movie nani anawajuwa sasa watu wameenda Burj Khaleefa ohh pesa nyingi alfu 67 kuna wakati hata hujui nchi hii wanataka nini. Matangazo ni gharama bwana nenda tu hapo katangaze kwenye Radio ndio utajuwa hakuna bure.
 
Maendeleo yangekuwa yanakuja kirahisi hivyo Africa ingekuwa zaidi ya URaya
Acha ujinga kijana, mnataka maendeleo ila kuumia hamtaki.
Hilo ni tangazo la muhimu kama ya nchi nyingine tu.

USIJE NIITA CCM, SIJAWAHI IPENDA CCM TOKA NIZALIWE lakini tusiwe wajinga wa kubisha tu hata jambo lenye manufaa kwa taifa kama hilo.
 
Wewe jamaa nawe uwe unajibu maswali kwa logic basi.

Unatuaibisha hatari humu JF.

Wewe unazani kuseti hiyo mitambo ni bure?. Sabasaba tu hapo unalipia sembuse na hiyo mitambo?.

Afu bora wanetangaza utalii na utamaduni, na uwekezaji?.. Wao wanatangaza bendera.

Khaaaaa
Huyo jamaa ni wa ajabu sana hana hata akili moja unaweza kukuta unabishana na Swila ama Kingai. Hakuna hata logic ya kuweka hiyo bendera hapo.
 
Tunatangazwa ili iweje?
Sasa swali wapi utatangazwa bure? wakati Rwanda wamelipa mamilion kwa Arsnal kuna watu humu wanatushinda kwenye matangazo sisi tunawalipa tu hawa bongo movie nani anawajuwa sasa watu wameenda Burj Khaleefa ohh pesa nyingi alfu 67 kuna wakati hata hujui nchi hii wanataka nini. Matangazo ni gharama bwana nenda tu hapo katangaze kwenye Radio ndio utajuwa hakuna bure.
 
Mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burji Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya dola 67,000 hadi 87,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki Tshs. Milioni 157 hadi 200 hivi kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote la Burji Khalifa.

Fedha hii kwa nchi masikini kama hii bado ni kubwa na ingeweza kufanya jambo la maana. Jana Februari 28 jengo hilo limetangaza bendera ya Tanzania kwa dakika 3 na wenye Serikali yao wakatutangazia neema kwamba nasi tumeonekana Dubai.

Hebu tuzionee huruma fedha za walipa kodi wanaojikamua huku sisi viongozi tukiishi kwa anasa.

View attachment 2134765
Acha fikra za kimasikini 160m ni nyingi sana kuwekeza kwenye utalii wewe unajua tunakusanya shilling ngapi kwa siku uku bugani kwa watalii,...........tabia zakujiliza jiliza eti wanyonge masikini ziende na mwenda zake, Rwanda unatoa $30m (64bn kwa shilling za Tz) kwa arsenal kulipia tangazo la tu arm budge la vist Rwanda
 
Back
Top Bottom