Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha zimiminwe tu!Jiwe mlimuita shetani nyinyiMwigulu Nchemba huyo, hii awamu pesa zinapigwa kama mvua
Sio lazima kila kitu upinge,kama tuu kutangaza hapo ni nongwa,ungeweza kutangaza matangazo ya kwenye mechi kama Kagame?Mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burji Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya dola 67,000 hadi 87,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki Tshs. Milioni 157 hadi 200 hivi kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote la Burji Khalifa.
Fedha hii kwa nchi masikini kama hii bado ni kubwa na ingeweza kufanya jambo la maana. Jana Februari 28 jengo hilo limetangaza bendera ya Tanzania kwa dakika 3 na wenye Serikali yao wakatutangazia neema kwamba nasi tumeonekana Dubai.
Hebu tuzionee huruma fedha za walipa kodi wanaojikamua huku sisi viongozi tukiishi kwa anasa.
View attachment 2134765
Umeanza vzri ila umemaliza vibaya ...... hilo neno la mwisho nimeona aibu hata kulitaja ... hatakamq tangazo limekiln hapo bqdo ni faida kwa nchi yetu pia nipesa za wavuja jasho ... na unga mkono kutangaza nch yetu ila neno hakuna kama bla.... bla ....huo ni uzwazwa utumwa wa kifikra ulio pitiliza ...naomba niishie hapoUmelipa wewe,
Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,
#HAKUNA KAMA SAMIA
Ni kweli kabisa tumelipa "sisi" ndiyo maana Tutailinda 'mipaka' ya Tanzania kwa gharama yoyote ile. Mwenge wa Uhuru umulike duniani kote.Umelipa wewe,
Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "🤣🤣🤣
Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,
#HAKUNA KAMA SAMIA
Una akili za kijinga kabisa.Mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burji Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya dola 67,000 hadi 87,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki Tshs. Milioni 157 hadi 200 hivi kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote la Burji Khalifa.
Fedha hii kwa nchi masikini kama hii bado ni kubwa na ingeweza kufanya jambo la maana. Jana Februari 28 jengo hilo limetangaza bendera ya Tanzania kwa dakika 3 na wenye Serikali yao wakatutangazia neema kwamba nasi tumeonekana Dubai.
Hebu tuzionee huruma fedha za walipa kodi wanaojikamua huku sisi viongozi tukiishi kwa anasa.
View attachment 2134765
Na wabongo wanawasifia Rwanda kwa hii move yao ya Arsenal na PSG..lakini tukifanya kidogo wanaanza tena kulalamika.Kila kitu kina gharama zake tulimponda Sana Kigwangala kuwatumia kina Steve Nyerere kutangaza vivutio vyetu tukataka tuwe kama Rwanda sasa piga hesabu ile visit Rwanda Arsenal au ile visit Rwanda PSG yaani Neymar, Mbape, Messi, Ramos etc wanaivaa unadhani ni mpunga kiasi gani Rwanda wameweka pale??? Tukitaka kula lazima tukubali kuliwa period.
Kausikilize wimbo wa Lucky Dube, Crazy world utapata kitu Nani anafaidika na hayo matangazo ya Rwanda. Ni nchi au ni Kagame?Na wabongo wanawasifia Rwanda kwa hii move yao ya Arsenal na PSG..lakini tukifanya kidogo wanaanza tena kulalamika.
Huenda wewe ni dr slaaKwa akili yako mbovu wewe ndo unapendeza kuwa CCM.
Hizi haziwezi kuwa akili za BAVICHA,wala BAZECHA wala BAWACHA.
Kama upo CHADEMA utakuwa umetumwa then baadaye uunge mkono juhudi.
Umeulizwa nani kalipia lile tangazo unabwabwaja tu unafikiri kila mtu pale anaweka tangazo bure.Umelipa wewe,
Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "🤣🤣🤣
Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,
#HAKUNA KAMA SAMIA
Super LinkKufukuzwa Kwa Wamasai Ngorongoro na Ziara Kwa Wanunuzi.
Mtu ana kampuni ya kamari alafu unamweka kwenye hazina.Mwigulu Nchemba huyo, hii awamu pesa zinapigwa kama mvua