Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?

Umesahau eeh Magufuli alichezeachezea hela za wanyonge kununua wapinzani.
Ushahidi u wapi? Upinzani walimuelewa ndio maana walijivua magamba na kuja kumuunga mkono achana na habari za vijiweni ndugu
 
Tuacheni ushamba mambo mengine mnayatunga vibaya,hayaendani ,hizo data za kulipa mmezipata wapi ? Wacheni kututilisha aibu kwa madai ya uwongo,mkishitakiwa mlete ushahidi mtasema mnaonewa.

Ova!
 
Ushahidi u wapi? Upinzani walimuelewa ndio maana walijivua magamba na kuja kumuunga mkono achana na habari za vijiweni ndugu
Na umesahau eeh Magufuli alikuwa anadokoa hela za wanyonge Hazina na kuzitapanya tapanya na kugawa kama njugu kwa mahawara zake uchwara?
 
Na umesahau eeh Magufuli alikuwa anadokoa hela za wanyonge Hazina na kuzitapanya tapanya na kugawa kama njugu kwa mahawara zake uchwara?
Kachote taarifa huko ulipokuwa unazichukua urudi tena hapa kama hujui ule ulikuwa mshahara wake binafsi
 
Kachote taarifa huko ulipokuwa unazichukua urudi tena hapa kama hujui ule ulikuwa mshahara wake binafsi
Umesahau Magufuli alielekea kuupiromosha uchumi wetu kwa kukwapua na kulamba hela za wanyonge hazina na kuzichezea chezea hovyo hovyo?
 
Kwa hiyo dak 3 ndiyo ulipe milioni 200?
 
Bora miezi 6 hii ni dak 3 tu
 
Umenitukania wazazi wangu bado tu unaniandama?!!

Basi mkuu wewe umetembea sana🙏

Chukua 5 hizi 👊
 
Mkuu hebu kuwa mkweli....wapi nimekuita mjinga?!!!

Hebu rudia hizo comments tena....

Wameitwa wajinga waarabu kwa kuwa wanakaa majangwani na hawazijui bendera nami nikawataja wamasai kuwa pamoja na kuishi kwao porini bado wanazifahamu bendera za nchi...
Did you take it personal?!!!

Umenitukania wazazi wangu na bado unang'ang'ana tu....mbona nimewaheshimu wazazi wako?!!!

Matusi yanauzwa?!!

Ujinga si tusi bali upumbavu ndio matusi nami nimejihadhari nao nisiwataje wazazi wako WASIOKUWEPO HAPA.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…