Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimehakiki mara mia moja kabla sijapost. Ayi Kwei Armah alikosea wapi?Mkuu,, hariri marekebisho yako kabla hujapost...
Huko Lumumba wanasemaje kuhusu hilo tangazo?
Nimechukua kutoka kwenye kitabu cha Ayi Kwei Armah. The Beautyful Ones Are Not Yet Born. Acha kujifanya mjuaji.….beautiful….
No free lunch , jihadhariNani kalipa au tumelipiwaaa?
Si Bora hiyo visit Rwanda ina make sense sasa kuonyeshwa bendera tu kisha unalipa mipesa yote hiyo si uwendawazimu?Kila kitu kina gharama zake tulimponda Sana Kigwangala kuwatumia kina Steve Nyerere kutangaza vivutio vyetu tukataka tuwe kama Rwanda sasa piga hesabu ile visit Rwanda Arsenal au ile visit Rwanda PSG yaani Neymar, Mbape, Messi, Ramos etc wanaivaa unadhani ni mpunga kiasi gani Rwanda wameweka pale??? Tukitaka kula lazima tukubali kuliwa period.
Sasa kuonyesha bendera umetangaza kitu ganiKwa dunia ya leo kama hawezi kujua umuhimu wa kujitangaza au kutangaza ulichonacho ili kivutia wateja na wawekezaji basi una shida mahali
Hivi unajua gharama ya tangazo la voda dk 1 tu kwenye television
Mimi natamani tungeweka utaratibu wa kutangaza hata kila mwenzi angalau kivutio kimoja watu waone fursa, siku nyingine waweke mountain Kilimanjaro nk
Tusijifunge na fikra za kujifungia ndani
Ushahidi leta, otherwise wewe ni CHAWA tu.Umelipa wewe,
Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,
#HAKUNA KAMA SAMIA
Wewe umenifaika na nini kwenye hela yako uliyochangia hapo?!Acha ujinga kijana, mnataka maendeleo ila kuumia hamtaki.
Hilo ni tangazo la muhimu kama ya nchi nyingine tu.
USIJE NIITA CCM, SIJAWAHI IPENDA CCM TOKA NIZALIWE lakini tusiwe wajinga wa kubisha tu hata jambo lenye manufaa kwa taifa kama hilo.
Acha ushamba ww bata mzinga Kalipa HangayaUmelipa wewe,
Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,
#HAKUNA KAMA SAMIA
Nimechukua kutoka kwenye kitabu cha Ayi Kwei Armah. The Beautyful Ones Are Not Yet Born. Acha kujifanya mjuaji.
Baadhi ya watanzania,kazi yao kulalamika,fursa za kupata kipato,zikija anabakia kulalamika.Wageni wanazitumia hizo fursa,mpaka wao wanashangaa wanasema watanzania ni watu wa ajabu,wakati nchi ina fursa nyingi za kufuatilia ofisi zinazohusika,wao ni kulalamika.Leo mgeni,anakuja Tanzania anazifuatilia fursa,na kuzifanyia kazi.Utamkuta mgeni ndio anasafirisha bidhaa kadhaa nje,madini,mazao kama katani,leo katani inakwenda falme za kiarabu,wamegundua katani ya Tanzania ndio nzuri,kutengeneza jipsum,wasafirishaji wa hiyo katani,ni wageni sio watanzania,sisi ni kulalamika tu,kwa jambo hata mtu hana ushahidi nalo.
Nilijua tu utasema hivyo. Lione kwanza; unajifanya unajua Kiingereza kuliko waingereza wenyewe waliochapisha kitabu. Ha ha ha unakuwa kama wakenya?Ulidhani kilaza ni wewe peke yako, hata huyo unayemrejea ni kilaza tu…. mpo wengi tu usijione spesho.