Nani amelitendea haki Jukwaa la Michezo kwa Mwaka 2024?

Nani amelitendea haki Jukwaa la Michezo kwa Mwaka 2024?

BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
 
Bila shaka ni OKW BOBAN SUNZU 😀

mimi kura yangu nampa Kalpana a.k.a Simba jike🤸🤸🤸
Mimi ni nani nikupinge hata nikipata ya kwako tuu inatosha....mimi ni wa kukoment tuu labda muwape wale waanzisha nyuziii aka mapopo mtu anaanzisha uzi saa 00..01am kisa anataka awe wa kwanza kuandika thread ya mechi siku hyo..hahaah
 
Back
Top Bottom