Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
MaigizoGari ya Lissu tuliiona, na matundu ya risasi tuliyaona, vipi gari ya Mzee Ole Sendeka iliyoshambuliwa kwa mvua ya "mirisasi" mmeiona?
Naomba picha nilione na mie
Acha uongo, wamesema 18 na hakuna hata moja iliyompataIna Tundu 4 za risasi ๐ผ
Nimeuliza kwa wema tuMleta mada unafukua makaburi
Nimeuliza kwa wemaMleta mada unafukua makaburi
Maigizo Gani sasa? Hahahaha unacheza na mvua ya risasi? Omba usikutwe na Bwana PepsiMaigizo
Usichanganye na gari ya Tundu Lisu aliyeshambuliwa na majambaziAcha uongo, wamesema 18 na hakuna hata moja iliyompata
Kwamba Ole Sendeka nashambuliwa na Nani?Usichanganye na gari ya Tundu Lisu aliyeshambuliwa na majambazi
Hajashambuliwa na Serikali ya CCM ๐Kwamba Ole Sendeka nashambuliwa na Nani?
Unampango wa kuvuruga intelijensia ya polisiNimeuliza kwa wema
Ujanja wa kupooza shambulizi la tundu lissu! Amejishambulia! Ameshajitabiria kuwa SSH hahusiki wakati AK47 ni mali ya Jeshi la samiaGari ya Lissu tuliiona, na matundu ya risasi tuliyaona, vipi gari ya Mzee Ole Sendeka iliyoshambuliwa kwa mvua ya "mirisasi" mmeiona?
Naomba picha nilione na mie
Pia soma > Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana
Waandishi wa wapi hao unaowaulizia?๐๐hili nalo lina mashiko ebu tulione bana kwani waandishi wa habari hawakufika kwa tukio?
Arusha & manyaraWaandishi wa wapi hao unaowaulizia?