Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #41
Anasema alishuka akafyatua risasi juu wakakimbiaLabda wakati wanapiga risasi walimwomba ashuke kwanza kwenye gari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasema alishuka akafyatua risasi juu wakakimbiaLabda wakati wanapiga risasi walimwomba ashuke kwanza kwenye gari
wa wapi huyo 🐒Ila ya Lissu mnaitaka
Mimi nilishangaa unamiminiwa ridasi 18 ghafla , Halafu update nafasi ya wewe kujibu mapigo Kwa kuchomoa Bunduku uanze Kitusha hewani n wasiojulikana wakimbie! Kama ndivyo basi Ole Sendeka ni Komandoo!Nimeuliza kwa wema
Maigizo Gani sasa? Hahahaha unacheza na mvua ya risasi? Omba usikutwe na Bwana Pepsi
Kwani huyu ameshambuliwa na UVCCM?Usichanganye na gari ya Tundu Lisu aliyeshambuliwa na majambazi
Ina Tundu 4 za risasi 🐼
Siasa mchezo mchafu, wanachafuka waaminio!Gari ya Lissu tuliiona, na matundu ya risasi tuliyaona, vipi gari ya Mzee Ole Sendeka iliyoshambuliwa kwa mvua ya "mirisasi" mmeiona?
Naomba picha nilione na mie
Pia soma > Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana
Tena eti alishuka chini wakati anashambuliwa kwa risasi, yeye kwa kujibu mapigo akafyatua risasi hewani. Ya kweli hayo?Mimi nilishangaa unamiminiwa ridasi 18 ghafla , Halafu update nafasi ya wewe kujibu mapigo Kwa kuchomoa Bunduku uanze Kitusha hewani n wasiojulikana wakimbie! Kama ndivyo basi Ole Sendeka ni Komandoo!
Hutaki? Huamini? HahahahaTena eti alishuka chini wakati anashambuliwa kwa risasi, yeye kwa kujibu mapigo akafyatua risasi hewani. Ya kweli hayo?
Yaani Acha tuKwani huyu ameshambuliwa na UVCCM?
Kumbe nyie munajua Bashite ni JambaziUsichanganye na gari ya Tundu Lisu aliyeshambuliwa na majambazi
Ameipongeza awamu ya 6 ya Mama kisha akasema haihusiki na chochote kuhusu hilo "igizo".GARI iko kituo Gani cha Polisi?
Hahahahahaha hadi rahaAmeipongeza awamu ya 6 ya Mama kisha akasema haihusiki na chochote kuhusu hilo "igizo".