Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Serikali ya ccm haihusiki na hizo risasi....ila huyu mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasema eti baada ya ya wale watu walikuwa na bunduki zao kumshambulia kwa risasi nyingi na yeye akajibu kwa kupiga risasi hewani , jamaa wakakimbia halafu yeye akashuka na kuanza kuhesabu na kuokota risasi.Gari ya Lissu tuliiona, na matundu ya risasi tuliyaona, vipi gari ya Mzee Ole Sendeka iliyoshambuliwa kwa mvua ya "mirisasi" mmeiona?
Naomba picha nilione na mie
Pia soma > Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana
Halafu anasema eti na yeye ni mwenzao sababu anahusika kuiweka madarakani serikali ya rais Samia. Sasa sijui ana maanisha serikali ndiyo imemshambulia?Serikali ya ccm haihusiki na hizo risasi....ila huyu mzee
Mzee anaandaa sarakasi za 2025 possible kanusa nusa harufu ya kuchomolewaHalafu anasema eti na yeye ni mwenzaonsababu anahusika kuiweka madarakani serikali ya rais Samia
Mzee kazingua pakubwa sana huyu. Hapo anapambania nafasi yake.Mzee anaandaa sarakasi za 2025 possible kanusa nusa harufu ya kuchomolewa
haina haja na wala si muhimu 🐒Gari ya Lissu tuliiona, na matundu ya risasi tuliyaona, vipi gari ya Mzee Ole Sendeka iliyoshambuliwa kwa mvua ya "mirisasi" mmeiona?
Naomba picha nilione na mie
Pia soma > Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana
Picha mkuuIna Tundu 4 za risasi 🐼
Inaweza kuwa alirushiwa mawe akadhani risasi.Ina Tundu 4 za risasi 🐼
😆😆😆😆Gari ya Lissu tuliiona, na matundu ya risasi tuliyaona, vipi gari ya Mzee Ole Sendeka iliyoshambuliwa kwa mvua ya "mirisasi" mmeiona?
Naomba picha nilione na mie
Pia soma > Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana
Hao watakuletea za machalii wanakimbiza pikipiki zao huku wamenyanyua matairi ya mbele juujuu.Waandishi wengi siyo inquisitives wala wajanjawajanja.Arusha & manyara
GARI iko kituo Gani cha Polisi?Inaweza kuwa alirushiwa mawe akadhani risasi.
Imekaa kama igizo la CCM.
Hizo tundu 4 kama kweli zipo, kazipiga mwenyewe kutafuta kikiIna Tundu 4 za risasi [emoji209]
Ila ya Lissu mnaitakahaina haja na wala si muhimu 🐒
NaaaaaamAna impact gani kwa sasa hadi wamshambulie kwa risasi? asituwekee ukungu hapa. Tuongee kuhusu madudu ya ripoti ya CAG
Labda wakati wanapiga risasi walimwomba ashuke kwanza kwenye gariAcha uongo, wamesema 18 na hakuna hata moja iliyompata