Nani amesema kuwa Freeman Mbowe atagombea tena uenyekiti CHADEMA?

Nani amesema kuwa Freeman Mbowe atagombea tena uenyekiti CHADEMA?

Tangu jana, mara baada ya Wakili Tundu A.M. Lissu kutangaza kugombea uenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, kumekuwa na 'kuwapambanisha' Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe na Lissu kwenye uchaguzi wa CHADEMA utakaofanyika mwakani.

Kuna siku nilimsikia Lissu akisema kuwa mtia-nia yeyote ndani ya CHADEMA huwasilisha nia yake hiyo kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA. Hadi hapo, taarifa rasmi za mtu fulani kugombea nafasi fulani ndani ya CHADEMA hutolewa na mgombea mwenyewe au Katibu Mkuu.

Sikuwahi kumsikia Mbowe au Katibu Mkuu Mnyika kutoa taarifa rasmi kuwa Mbowe atagombea tena uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwenye uchaguzi ujao. Sasa, nani hasa anatuaminisha kuwa Mbowe na Lissu watapambania uenyekiti wa CHADEMA?

Binafsi, naona kumeshakuwa na maridhiano na makubaliano baina ya Mbowe na Lissu kuachiana nafasi hiyo ya uenyekiti. Kama Mzee Mtei alivyomwachia Hayati Bob Nyange Makani; Makani alivyomwachia Mbowe ndivyo sasa Mbowe anavyomwachia Lissu.

Endapo Mbowe atagombea, mchuano utakuwa mkali na CHADEMA haitabaki salama baada ya uchaguzi huo. Kwa kauli za Lissu juu ya uchaguzi huru na haki na endapo atashindwa, namuona (kama nilivyomuona Mchungaji Msigwa) Lissu akiondoka CHADEMA.
Acha inyeshe zaidi au mnatupima imani afu mtuteke mazima..? Lakni lissu anastahili
 
Tangu jana, mara baada ya Wakili Tundu A.M. Lissu kutangaza kugombea uenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, kumekuwa na 'kuwapambanisha' Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe na Lissu kwenye uchaguzi wa CHADEMA utakaofanyika mwakani.

Kuna siku nilimsikia Lissu akisema kuwa mtia-nia yeyote ndani ya CHADEMA huwasilisha nia yake hiyo kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA. Hadi hapo, taarifa rasmi za mtu fulani kugombea nafasi fulani ndani ya CHADEMA hutolewa na mgombea mwenyewe au Katibu Mkuu.

Sikuwahi kumsikia Mbowe au Katibu Mkuu Mnyika kutoa taarifa rasmi kuwa Mbowe atagombea tena uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwenye uchaguzi ujao. Sasa, nani hasa anatuaminisha kuwa Mbowe na Lissu watapambania uenyekiti wa CHADEMA?

Binafsi, naona kumeshakuwa na maridhiano na makubaliano baina ya Mbowe na Lissu kuachiana nafasi hiyo ya uenyekiti. Kama Mzee Mtei alivyomwachia Hayati Bob Nyange Makani; Makani alivyomwachia Mbowe ndivyo sasa Mbowe anavyomwachia Lissu.

Endapo Mbowe atagombea, mchuano utakuwa mkali na CHADEMA haitabaki salama baada ya uchaguzi huo. Kwa kauli za Lissu juu ya uchaguzi huru na haki na endapo atashindwa, namuona (kama nilivyomuona Mchungaji Msigwa) Lissu akiondoka CHADEMA.
Mbona hotuba yote ya Tundu Antipas Lisu iko Wazi kabisa 😀
 
Maridhiani gani hayo yakusemana, eti hela za Chama zinaishia mifukoni mwa watu!!
 
CHADEMA inahitaji Viongozi wapya wote. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu na Naibu Katibu both bara na visiwani. Halafu atafutwe Kijana mwenye influence awe Mkurugenzi wa sera, bunge na mawasiliano.
 
Tangu jana, mara baada ya Wakili Tundu A.M. Lissu kutangaza kugombea uenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, kumekuwa na 'kuwapambanisha' Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe na Lissu kwenye uchaguzi wa CHADEMA utakaofanyika mwakani.

Kuna siku nilimsikia Lissu akisema kuwa mtia-nia yeyote ndani ya CHADEMA huwasilisha nia yake hiyo kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA. Hadi hapo, taarifa rasmi za mtu fulani kugombea nafasi fulani ndani ya CHADEMA hutolewa na mgombea mwenyewe au Katibu Mkuu.

Sikuwahi kumsikia Mbowe au Katibu Mkuu Mnyika kutoa taarifa rasmi kuwa Mbowe atagombea tena uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwenye uchaguzi ujao. Sasa, nani hasa anatuaminisha kuwa Mbowe na Lissu watapambania uenyekiti wa CHADEMA?

Binafsi, naona kumeshakuwa na maridhiano na makubaliano baina ya Mbowe na Lissu kuachiana nafasi hiyo ya uenyekiti. Kama Mzee Mtei alivyomwachia Hayati Bob Nyange Makani; Makani alivyomwachia Mbowe ndivyo sasa Mbowe anavyomwachia Lissu.

Endapo Mbowe atagombea, mchuano utakuwa mkali na CHADEMA haitabaki salama baada ya uchaguzi huo. Kwa kauli za Lissu juu ya uchaguzi huru na haki na endapo atashindwa, namuona (kama nilivyomuona Mchungaji Msigwa) Lissu akiondoka CHADEMA.
Kwamba cdm hawatakuwa wamoja kwasababu ya uchaguzi? Hii dhana ya upotoshaji huwa mnaitoa wapi? Cha muhimu ni kuwa na uchaguzi wa mfano, kura zihesabiwe kwa haki, na mshindi halali atangazwe. Huu upuuzi wa ccm wa kuingiza kura fake ubaki huko huko ccm.
 
Ni hawa akina mama wa UWT ndiyo wanashadadia mambo ya CHADEMA huku CCM hakujawahi kufanyika uchaguzi wa Mwenyekiti hata siku moja, kuhusu Lissu kuondoka CDM haiwezi kufa aliondoka Zitto, Slaa, Halima na haijafa sembuse Lissu? Lissu siyo tishio kama watu wanavyodhani isipokuwa ni tishio sababu anapata support ya CHADEMA.
Lisu alikwishasema kuwa yeye ana akili timamu, hawezi kuondoka CHADEMA.

Wasio na akili timamu ndio hao wanaokazania kuwa eti Lisu akishindwa kwenye ushindani wa nafasi ya Mwenyekiti anaondoka CHADEMA.

Lisu ataondoka CHADEMA kama CHADEMA itaondoka kwenye misingi yake, siyo kwa sababu ya kushindwa kwenye uchaguzi.
 
Lisu alikwishasema kuwa yeye ana akili timamu, hawezi kuondoka CHADEMA.

Wasio na akili timamu ndio hao wanaokazania kuwa eti Lisu akishindwa kwenye ushindani wa nafasi ya Mwenyekiti anaondoka CHADEMA.

Lisu ataondoka CHADEMA kama CHADEMA itaondoka kwenye misingi yake, siyo kwa sababu ya kushindwa kwenye uchaguzi.
Ngoja tuone
 
Back
Top Bottom