CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Wameshasahau kuwa majuzi tu walikuwa wanamuita Nkurunzinza. Na yajayo ndiyo yatawashangaza zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameshasahau kuwa majuzi tu walikuwa wanamuita Nkurunzinza. Na yajayo ndiyo yatawashangaza zaidi.
Acha inyeshe zaidi au mnatupima imani afu mtuteke mazima..? Lakni lissu anastahiliTangu jana, mara baada ya Wakili Tundu A.M. Lissu kutangaza kugombea uenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, kumekuwa na 'kuwapambanisha' Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe na Lissu kwenye uchaguzi wa CHADEMA utakaofanyika mwakani.
Kuna siku nilimsikia Lissu akisema kuwa mtia-nia yeyote ndani ya CHADEMA huwasilisha nia yake hiyo kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA. Hadi hapo, taarifa rasmi za mtu fulani kugombea nafasi fulani ndani ya CHADEMA hutolewa na mgombea mwenyewe au Katibu Mkuu.
Sikuwahi kumsikia Mbowe au Katibu Mkuu Mnyika kutoa taarifa rasmi kuwa Mbowe atagombea tena uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwenye uchaguzi ujao. Sasa, nani hasa anatuaminisha kuwa Mbowe na Lissu watapambania uenyekiti wa CHADEMA?
Binafsi, naona kumeshakuwa na maridhiano na makubaliano baina ya Mbowe na Lissu kuachiana nafasi hiyo ya uenyekiti. Kama Mzee Mtei alivyomwachia Hayati Bob Nyange Makani; Makani alivyomwachia Mbowe ndivyo sasa Mbowe anavyomwachia Lissu.
Endapo Mbowe atagombea, mchuano utakuwa mkali na CHADEMA haitabaki salama baada ya uchaguzi huo. Kwa kauli za Lissu juu ya uchaguzi huru na haki na endapo atashindwa, namuona (kama nilivyomuona Mchungaji Msigwa) Lissu akiondoka CHADEMA.
UWT mpo upande gani?Hivi wale vibaka ya CDM bawacha watakuwa wapo upande gani ?
Heche anafit kuwa KMNamuona pia J. Heche akiwa makamu mwenyekiti.
Dah! Kwahiyo hagombei?Lini alikuambia kuwa atagombea?
Wewe amekuambia anagombea?Dah! Kwahiyo hagombei?
Wewe amekwambia hagombei?Wewe amekuambia anagombea?
Alishasema tango 2019 kuwa hatagombea tena na hajawahi kusema kama ametengua kauli yake hiyo.Wewe amekwambia hagombei?
Yapu nakuuunga mkono Toka mwako huo jamaa alishasema ndiyo term yake ya wishoAlishasema tango 2019 kuwa hatagombea tena na hajawahi kusema kama ametengua kauli yake hiyo.
Mbona hotuba yote ya Tundu Antipas Lisu iko Wazi kabisa 😀Tangu jana, mara baada ya Wakili Tundu A.M. Lissu kutangaza kugombea uenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, kumekuwa na 'kuwapambanisha' Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe na Lissu kwenye uchaguzi wa CHADEMA utakaofanyika mwakani.
Kuna siku nilimsikia Lissu akisema kuwa mtia-nia yeyote ndani ya CHADEMA huwasilisha nia yake hiyo kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA. Hadi hapo, taarifa rasmi za mtu fulani kugombea nafasi fulani ndani ya CHADEMA hutolewa na mgombea mwenyewe au Katibu Mkuu.
Sikuwahi kumsikia Mbowe au Katibu Mkuu Mnyika kutoa taarifa rasmi kuwa Mbowe atagombea tena uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwenye uchaguzi ujao. Sasa, nani hasa anatuaminisha kuwa Mbowe na Lissu watapambania uenyekiti wa CHADEMA?
Binafsi, naona kumeshakuwa na maridhiano na makubaliano baina ya Mbowe na Lissu kuachiana nafasi hiyo ya uenyekiti. Kama Mzee Mtei alivyomwachia Hayati Bob Nyange Makani; Makani alivyomwachia Mbowe ndivyo sasa Mbowe anavyomwachia Lissu.
Endapo Mbowe atagombea, mchuano utakuwa mkali na CHADEMA haitabaki salama baada ya uchaguzi huo. Kwa kauli za Lissu juu ya uchaguzi huru na haki na endapo atashindwa, namuona (kama nilivyomuona Mchungaji Msigwa) Lissu akiondoka CHADEMA.
Na alisema mrithi wake atatoka Bawacha yaani Halima James MdeeAlishasema tango 2019 kuwa hatagombea tena na hajawahi kusema kama ametengua kauli yake hiyo.
Ni sisi wapiga kura ndiyo tutaamua.Na alisema mrithi wake atatoka Bawacha yaani Halima James Mdee
Kwamba cdm hawatakuwa wamoja kwasababu ya uchaguzi? Hii dhana ya upotoshaji huwa mnaitoa wapi? Cha muhimu ni kuwa na uchaguzi wa mfano, kura zihesabiwe kwa haki, na mshindi halali atangazwe. Huu upuuzi wa ccm wa kuingiza kura fake ubaki huko huko ccm.Tangu jana, mara baada ya Wakili Tundu A.M. Lissu kutangaza kugombea uenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, kumekuwa na 'kuwapambanisha' Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe na Lissu kwenye uchaguzi wa CHADEMA utakaofanyika mwakani.
Kuna siku nilimsikia Lissu akisema kuwa mtia-nia yeyote ndani ya CHADEMA huwasilisha nia yake hiyo kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA. Hadi hapo, taarifa rasmi za mtu fulani kugombea nafasi fulani ndani ya CHADEMA hutolewa na mgombea mwenyewe au Katibu Mkuu.
Sikuwahi kumsikia Mbowe au Katibu Mkuu Mnyika kutoa taarifa rasmi kuwa Mbowe atagombea tena uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwenye uchaguzi ujao. Sasa, nani hasa anatuaminisha kuwa Mbowe na Lissu watapambania uenyekiti wa CHADEMA?
Binafsi, naona kumeshakuwa na maridhiano na makubaliano baina ya Mbowe na Lissu kuachiana nafasi hiyo ya uenyekiti. Kama Mzee Mtei alivyomwachia Hayati Bob Nyange Makani; Makani alivyomwachia Mbowe ndivyo sasa Mbowe anavyomwachia Lissu.
Endapo Mbowe atagombea, mchuano utakuwa mkali na CHADEMA haitabaki salama baada ya uchaguzi huo. Kwa kauli za Lissu juu ya uchaguzi huru na haki na endapo atashindwa, namuona (kama nilivyomuona Mchungaji Msigwa) Lissu akiondoka CHADEMA.
Ngoja tusubiri.Alishasema tango 2019 kuwa hatagombea tena na hajawahi kusema kama ametengua kauli yake hiyo.
Hilo ndiyo neno.Ngoja tusubiri.
Lisu alikwishasema kuwa yeye ana akili timamu, hawezi kuondoka CHADEMA.Ni hawa akina mama wa UWT ndiyo wanashadadia mambo ya CHADEMA huku CCM hakujawahi kufanyika uchaguzi wa Mwenyekiti hata siku moja, kuhusu Lissu kuondoka CDM haiwezi kufa aliondoka Zitto, Slaa, Halima na haijafa sembuse Lissu? Lissu siyo tishio kama watu wanavyodhani isipokuwa ni tishio sababu anapata support ya CHADEMA.
Ngoja tuoneLisu alikwishasema kuwa yeye ana akili timamu, hawezi kuondoka CHADEMA.
Wasio na akili timamu ndio hao wanaokazania kuwa eti Lisu akishindwa kwenye ushindani wa nafasi ya Mwenyekiti anaondoka CHADEMA.
Lisu ataondoka CHADEMA kama CHADEMA itaondoka kwenye misingi yake, siyo kwa sababu ya kushindwa kwenye uchaguzi.
Ntobi: Ubwabwa wa kushiba Huonekana kwenye SiniaNi sisi wapiga kura ndiyo tutaamua.