Nani amesema kuwa Freeman Mbowe atagombea tena uenyekiti CHADEMA?

Nani amesema kuwa Freeman Mbowe atagombea tena uenyekiti CHADEMA?

Endapo Mbowe atagombea, mchuano utakuwa mkali na CHADEMA haitabaki salama baada ya uchaguzi huo. Kwa kauli za Lissu juu ya uchaguzi huru na haki na endapo atashindwa, namuona (kama nilivyomuona Mchungaji Msigwa) Lissu akiondoka CHADEMA.
Mimi pia niataachana na siasa kabisa endapo Mbowe atachukuwa fomu ya kugombea uenyekiti.

Natarajia kumuona Mbowe akiwa mstari wa mbele wa mapambano kama mwanachama na kama mshauri.
 
Tangu jana, mara baada ya Wakili Tundu A.M. Lissu kutangaza kugombea uenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, kumekuwa na 'kuwapambanisha' Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe na Lissu kwenye uchaguzi wa CHADEMA utakaofanyika mwakani.

Kuna siku nilimsikia Lissu akisema kuwa mtia-nia yeyote ndani ya CHADEMA huwasilisha nia yake hiyo kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA. Hadi hapo, taarifa rasmi za mtu fulani kugombea nafasi fulani ndani ya CHADEMA hutolewa na mgombea mwenyewe au Katibu Mkuu.

Sikuwahi kumsikia Mbowe au Katibu Mkuu Mnyika kutoa taarifa rasmi kuwa Mbowe atagombea tena uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwenye uchaguzi ujao. Sasa, nani hasa anatuaminisha kuwa Mbowe na Lissu watapambania uenyekiti wa CHADEMA?

Binafsi, naona kumeshakuwa na maridhiano na makubaliano baina ya Mbowe na Lissu kuachiana nafasi hiyo ya uenyekiti. Kama Mzee Mtei alivyomwachia Hayati Bob Nyange Makani; Makani alivyomwachia Mbowe ndivyo sasa Mbowe anavyomwachia Lissu.

Endapo Mbowe atagombea, mchuano utakuwa mkali na CHADEMA haitabaki salama baada ya uchaguzi huo. Kwa kauli za Lissu juu ya uchaguzi huru na haki na endapo atashindwa, namuona (kama nilivyomuona Mchungaji Msigwa) Lissu akiondoka CHADEMA.
Alipokosea Lissu ni nini? Kusema chama kina mapungufu au kuna lingine?
Lissu hanunuliki ndio dhambi kuu?
Upinzani unahitaji mapinduzi makubwa sio mazoea.

Lissu ni sahihi
Mbowe Akubali mabadiliko asilete um7 wake
Covid19 ni mbowe na mbowe ni covid19
 
Sasa asipogombea atafanya kazi gan ambayo itamkutanisha na watu wakubwa,wazito na mashuhuri najua ni tajiri ndio,.

Ila ata uwe tajir vp kuna watu huwez kua nao krb km sio mtu wa system
 
Alipokosea Lissu ni nini? Kusema chama kina mapungufu au kuna lingine?
Lissu hanunuliki ndio dhambi kuu?
Upinzani unahitaji mapinduzi makubwa sio mazoea.

Lissu ni sahihi
Mbowe Akubali mabadiliko asilete um7 wake
Covid19 ni mbowe na mbowe ni covid19
Mkuu, kuna mahali popote niliposema kuwa Lissu amekosea?
 
Mimi pia niataachana na siasa kabisa endapo Mbowe atachukuwa fomu ya kugombea uenyekiti.

Natarajia kumuona Mbowe akiwa mstari wa mbele wa mapambano kama mwanachama na kama mshauri.
Msiowe waoga, Lisu anaweza kujieleza, kujenga hoja, na anao ushawishi.

Hivyo ni vyema akagombea na Mbowe, amabaye hana ushawisi, asiyejua kujenga hoja, na dhaifu, ili kuthibitisha hayo amshinde kwa kishindo.

Huwezi kuwa mpenda haki halafu hutaki watu wagombee nafasi za uongozi.

Mbowe asipogombea Lisu atagombea na nani, au ndio atapita bila kupingwa?

Na kutakuwa na tofauti gani yeye na CCM? Mbowe agombee ili ashindwe na Lisu ndiyo italeta heshima ndani ya CHADEMA, tuache kutafuta namna za Lisu kupita bila kupingwa itakuwa haileti maana, ikiwa nafasi inapaswa kugombewa.
 
Tangu jana, mara baada ya Wakili Tundu A.M. Lissu kutangaza kugombea uenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, kumekuwa na 'kuwapambanisha' Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe na Lissu kwenye uchaguzi wa CHADEMA utakaofanyika mwakani.

Kuna siku nilimsikia Lissu akisema kuwa mtia-nia yeyote ndani ya CHADEMA huwasilisha nia yake hiyo kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA. Hadi hapo, taarifa rasmi za mtu fulani kugombea nafasi fulani ndani ya CHADEMA hutolewa na mgombea mwenyewe au Katibu Mkuu.

Sikuwahi kumsikia Mbowe au Katibu Mkuu Mnyika kutoa taarifa rasmi kuwa Mbowe atagombea tena uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwenye uchaguzi ujao. Sasa, nani hasa anatuaminisha kuwa Mbowe na Lissu watapambania uenyekiti wa CHADEMA?

Binafsi, naona kumeshakuwa na maridhiano na makubaliano baina ya Mbowe na Lissu kuachiana nafasi hiyo ya uenyekiti. Kama Mzee Mtei alivyomwachia Hayati Bob Nyange Makani; Makani alivyomwachia Mbowe ndivyo sasa Mbowe anavyomwachia Lissu.

Endapo Mbowe atagombea, mchuano utakuwa mkali na CHADEMA haitabaki salama baada ya uchaguzi huo. Kwa kauli za Lissu juu ya uchaguzi huru na haki na endapo atashindwa, namuona (kama nilivyomuona Mchungaji Msigwa) Lissu akiondoka CHADEMA.
Mkuu petro ungizatia kibonzo hiki hutapata shida
images (1).jpeg
 
Back
Top Bottom