Nani ametoa Kauli ya kukubali Kujiuzulu kwa Ndugai? Hajajiuzulu!!?

Nani ametoa Kauli ya kukubali Kujiuzulu kwa Ndugai? Hajajiuzulu!!?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Nauliza tu maana bila kuambiwa kama amekubaliwa kujiuzulu anaweza kutengua barua hiyo na hakutakuwa na la kumfanya. Unapojiuzulu mamlaka unayowajibika kwake inatakiwa iseme imekubali. Hii ndio sababu wakati mwingine mtu anaweza kukataliwa kujiuzulu (mifano ipo mingi).

Taarifa ya Katibu wa Bunge kuwa kapokda taarifa kutoka Katibu Mkuu wa CCM kuwa chama hicho kimeridhia ni potosí nq inabeba makosa ya kiutendaji. Hakujafanyika kikao chochote cha KK ya CCM kujadili tukio hilo. Haiwezekani KM akubali kujiuzulu kwa Spika.

Vipi kama Spika Ndugai ALISHIKIWA BUNDUKI na kulazimishwa kuandika barua hiyo (under duress) kutokana na sauti za kumtaka kujiuzulu? Yaani CCM haikuchukua hata dakika moja kumuuliza kana "hiari" ni "hiari" kweli.

Kujiuzulu kwa Spika hakuwezi kufanywa kiholela hivi kana kwamba aliyejiuzulu ni mpishi wa Mwenyekiti wa Kijiji cha Mkata...

Kinyume na wengine.. sijui kama Spika amejiuzulu kweli... ndio ufyatu wenyewe huu.

Kweli aende lakini aende kiukweli...akiibuka na kusema ametishiwa maisha... ? Yaani hata kukutana na KM hakujafanyika tunakubali tu?

Acheni ufyatu!!!
 
Mzee kazi ya Jobo imeshaisha, ingekuwa ni msiba angekuwa ameshafukiwa zamani, watu wangekuwa wanamalizia makombo ya Pilau tu sasa, Kelele za marehemu alikuwa hivi au vile ni za kawaida, baada ya siku kadhaa huwa zinapotea as if huyo marehemu hakuwahi kuishi
 
Nauliza tu maana bila kuambiwa kama amekubaliwa kujiuzulu anaweza kutengua barua hiyo na hakutakuwa na la kumfanya. Unapojiuzulu mamlaka unayowajibika kwake inatakiwa iseme imekubali. Hii ndio sababu wakati mwingine mtu anaweza kukataliwa kujiuzulu (mifano ipo mingi).

Taarifa ya Katibu wa Bunge kuwa kapokda taarifa kutoka Katibu Mkuu wa CCM kuwa chama hicho kimeridhia ni potosí nq inabeba makosa ya kiutendaji. Hakujafanyika kikao chochote cha KK ya CCM kujadili tukio hilo. Haiwezekani KM akubali kujiuzulu kwa Spika.

Vipi kama Spika Ndugai ALISHIKIWA BUNDUKI na kulazimishwa kuandika barua hiyo (under duress) kutokana na sauti za kumtaka kujiuzulu? Yaani CCM haikuchukua hata dakika moja kumuuliza kana "hiari" ni "hiari" kweli.

Kujiuzulu kwa Spika hakuwezi kufanywa kiholela hivi kana kwamba aliyejiuzulu ni mpishi wa Mwenyekiti wa Kijiji cha Mkata...

Kinyume na wengine.. sijui kama Spika amejiuzulu kweli... ndio ufyatu wenyewe huu.

Kweli aende lakini aende kiukweli...akiibuka na kusema ametishiwa maisha... ? Yaani hata kukutana na KM hakujafanyika tunakubali tu?

Acheni ufyatu!!!
naunga mkono hoja
p
 
Katibu wa bunge amekiri kupokea barua kutoka kwa Katibu Mkuu wa CCM. Hii maana yake CCM iko juu ya bunge ndio maana Ndugai baada ya kusutwa kule ikulu na mwenyekiti wake akaamua kujiuzulu.

Hapa naona hata kama taratibu hazikufuatwa, lakini kwasababu ya "uchama" uliotawala vichwa vyao, hasa yale mapambio yao ikulu wana imani na Samia.. Hili jambo kuna uwezekano mkubwa likaachwa lipite kimya kimya kwasababu ya mazoea.
 
Namnukuu Karibu mkuu wa CCMM" Ninakiri kupokea barua ya spika ndugu Ndugai ya kujiuzulu, nitamtaarifu Karibu mkuu wa bunge kwa hatua zinazofuata"

Kwa kauli hiyo ulitaka KM wa CCM ajibu moja kwa moja kwamba amekubali au amekataa? Hiyo kauli imeacha nafasi kwa taratibu kufuatwa na baada ya hapo ndio atamtaarifu KM wa bunge.
 
Ndio upo sahihi. Ameandika under pressure ndio maana barua imekua addressed kwa katibu wa chama badala ya katibu wa bunge alipata kiwewe. Waliompa shinikizo ni watu wa Chama so far

Au kwa mtazamo mwengine, Labda imekosewa maksudi kwa ajiri ya mpango mkakati furani.
 
Namnukuu Karibu mkuu wa CCMM" Ninakiri kupokea barua ya spika ndugu Ndugai ya kujiuzulu, nitamtaarifu Karibu mkuu wa bunge kwa hatua zinazofuata"

Kwa kauli hiyo ulitaka KM wa CCM ajibu moja kwa moja kwamba amekubali au amekataa? Hiyo kauli imeacha nafasi kwa taratibu kufuatwa na baada ya hapo ndio atamtaarifu KM wa bunge.
CCM wanaweza vipi kukataa jambo ambalo mwenyekiti wao alishaonesha dalili ya kutaka litokee? hawakuwa wanaimba kule ikulu wana imani na fulani bila sababu, hakuna jipya hapo.
 
Nauliza tu maana bila kuambiwa kama amekubaliwa kujiuzulu anaweza kutengua barua hiyo na hakutakuwa na la kumfanya. Unapojiuzulu mamlaka unayowajibika kwake inatakiwa iseme imekubali. Hii ndio sababu wakati mwingine mtu anaweza kukataliwa kujiuzulu (mifano ipo mingi).

Taarifa ya Katibu wa Bunge kuwa kapokda taarifa kutoka Katibu Mkuu wa CCM kuwa chama hicho kimeridhia ni potosí nq inabeba makosa ya kiutendaji. Hakujafanyika kikao chochote cha KK ya CCM kujadili tukio hilo. Haiwezekani KM akubali kujiuzulu kwa Spika.

Vipi kama Spika Ndugai ALISHIKIWA BUNDUKI na kulazimishwa kuandika barua hiyo (under duress) kutokana na sauti za kumtaka kujiuzulu? Yaani CCM haikuchukua hata dakika moja kumuuliza kana "hiari" ni "hiari" kweli.

Kujiuzulu kwa Spika hakuwezi kufanywa kiholela hivi kana kwamba aliyejiuzulu ni mpishi wa Mwenyekiti wa Kijiji cha Mkata...

Kinyume na wengine.. sijui kama Spika amejiuzulu kweli... ndio ufyatu wenyewe huu.

Kweli aende lakini aende kiukweli...akiibuka na kusema ametishiwa maisha... ? Yaani hata kukutana na KM hakujafanyika tunakubali tu?

Acheni ufyatu!!!
Mkuu maswali yako hamna mwenye jibu.

Anajiuzuluje kwa KM wa CCM?
 
Hivi hatuna mambo mengine yenye tija ya kujadili?
Ameshaachia ngazi akwende zake huko sie tusonge mbele ya mambo yenye tija kwa Taifa letu.
Kila mmoja apambane na 'laana na dhuluma' alizotengeneza mwenyewe
 
Nauliza tu maana bila kuambiwa kama amekubaliwa kujiuzulu anaweza kutengua barua hiyo na hakutakuwa na la kumfanya. Unapojiuzulu mamlaka unayowajibika kwake inatakiwa iseme imekubali. Hii ndio sababu wakati mwingine mtu anaweza kukataliwa kujiuzulu (mifano ipo mingi).

Taarifa ya Katibu wa Bunge kuwa kapokda taarifa kutoka Katibu Mkuu wa CCM kuwa chama hicho kimeridhia ni potosí nq inabeba makosa ya kiutendaji. Hakujafanyika kikao chochote cha KK ya CCM kujadili tukio hilo. Haiwezekani KM akubali kujiuzulu kwa Spika.

Vipi kama Spika Ndugai ALISHIKIWA BUNDUKI na kulazimishwa kuandika barua hiyo (under duress) kutokana na sauti za kumtaka kujiuzulu? Yaani CCM haikuchukua hata dakika moja kumuuliza kana "hiari" ni "hiari" kweli.

Kujiuzulu kwa Spika hakuwezi kufanywa kiholela hivi kana kwamba aliyejiuzulu ni mpishi wa Mwenyekiti wa Kijiji cha Mkata...

Kinyume na wengine.. sijui kama Spika amejiuzulu kweli... ndio ufyatu wenyewe huu.

Kweli aende lakini aende kiukweli...akiibuka na kusema ametishiwa maisha... ? Yaani hata kukutana na KM hakujafanyika tunakubali tu?

Acheni ufyatu!!!

Kasome taarifa ya katibu was bunge Jana. Mchakato wa kumpata spika mpya unaendelea na shughulika zote za bunge zimesimama.
 
Mzee kazi ya Jobo imeshaisha, ingekuwa ni msiba angekuwa ameshafukiwa zamani, watu wangekuwa wanamalizia makombo ya Pilau tu sasa, Kelele za marehemu alikuwa hivi au vile ni za kawaida, baada ya siku kadhaa huwa zinapotea as if huyo marehemu hakuwahi kuishi
Ishu ni mchakato tu
 
Back
Top Bottom