Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Nauliza tu maana bila kuambiwa kama amekubaliwa kujiuzulu anaweza kutengua barua hiyo na hakutakuwa na la kumfanya. Unapojiuzulu mamlaka unayowajibika kwake inatakiwa iseme imekubali. Hii ndio sababu wakati mwingine mtu anaweza kukataliwa kujiuzulu (mifano ipo mingi).
Taarifa ya Katibu wa Bunge kuwa kapokda taarifa kutoka Katibu Mkuu wa CCM kuwa chama hicho kimeridhia ni potosí nq inabeba makosa ya kiutendaji. Hakujafanyika kikao chochote cha KK ya CCM kujadili tukio hilo. Haiwezekani KM akubali kujiuzulu kwa Spika.
Vipi kama Spika Ndugai ALISHIKIWA BUNDUKI na kulazimishwa kuandika barua hiyo (under duress) kutokana na sauti za kumtaka kujiuzulu? Yaani CCM haikuchukua hata dakika moja kumuuliza kana "hiari" ni "hiari" kweli.
Kujiuzulu kwa Spika hakuwezi kufanywa kiholela hivi kana kwamba aliyejiuzulu ni mpishi wa Mwenyekiti wa Kijiji cha Mkata...
Kinyume na wengine.. sijui kama Spika amejiuzulu kweli... ndio ufyatu wenyewe huu.
Kweli aende lakini aende kiukweli...akiibuka na kusema ametishiwa maisha... ? Yaani hata kukutana na KM hakujafanyika tunakubali tu?
Acheni ufyatu!!!
Taarifa ya Katibu wa Bunge kuwa kapokda taarifa kutoka Katibu Mkuu wa CCM kuwa chama hicho kimeridhia ni potosí nq inabeba makosa ya kiutendaji. Hakujafanyika kikao chochote cha KK ya CCM kujadili tukio hilo. Haiwezekani KM akubali kujiuzulu kwa Spika.
Vipi kama Spika Ndugai ALISHIKIWA BUNDUKI na kulazimishwa kuandika barua hiyo (under duress) kutokana na sauti za kumtaka kujiuzulu? Yaani CCM haikuchukua hata dakika moja kumuuliza kana "hiari" ni "hiari" kweli.
Kujiuzulu kwa Spika hakuwezi kufanywa kiholela hivi kana kwamba aliyejiuzulu ni mpishi wa Mwenyekiti wa Kijiji cha Mkata...
Kinyume na wengine.. sijui kama Spika amejiuzulu kweli... ndio ufyatu wenyewe huu.
Kweli aende lakini aende kiukweli...akiibuka na kusema ametishiwa maisha... ? Yaani hata kukutana na KM hakujafanyika tunakubali tu?
Acheni ufyatu!!!