Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Karata aliyokuwa nayo Samia ni uenyekiti wake wa CCM tu. Otherwise asingemfsnta kitu NdugaiNa Samia anataka kuonesha ukubwa wa taasisi ya RAIS.
Kwamba Mimi ndo RAIS
Wewe nimekuteuwa tu
BTW Samia (Rais) hakumteua Speaker