Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama DWajameni nina swali.
Who is the smartest person on JF?
Yani genius, akili mingi, great thinker..kuliko wote.
Nataka nimjue kipanga wetu.
Mkuu hivi waweza kuwa na maarifa usiwe na akili??? Ufafanuz kidogo hapaHizo wewe unaongelea maarifa.
Unaweza kuwa na maarifa ila huna akili.
Mimi naongelea akili sio maarifa.
Mmh! Hadi wewe unaamini ushirikina?! Kweli third world hakuna kitu.
Usije ukawa unamzungumzia mtu fulani..Kuna akili na umaarufu. Jifunzeni kutofautisha.
Kuna ma Homo Universalis tumetuliaga tu tunawachora ma genius wa mchongo. Mtu anaandika mashudu JF anakuwa maarufu kwakuwa watu wengi wanapenda ujinga halafu anatajwa kuwa ana akili, asee. 😂
Huyu ndo mwamba sasa
Alipotea? Miaka ya nyuma kwenye 2007 ivi au kwenye 2020?kuna mwamba mmoja (nimesahau ID yake), miaka ya nyuma alikuwa anaandika na kuchambua mambo magumu sana yanayohusu astronomy(sayansi ya anga).
kwangu yule jamaa ni genius kwasababu alikuwa ana dedicate mda wake kushare na sisi knowledge ambayo wengi wetu hatuna uelewa nayo. na alikuwa anaelezea kwa lugha nyepesi ya kiswahili ili kila mtu apate kuelewa.
astronomy ni moja ya field ngumu and very contradicting, ndio maana baadhi ya waajiriwa wa NASA ni ma genius kweli kweli wa hisabati na fizikia.
Akili ni ule uwezo wa kuchambua maarifa mbalimbali ili kupata ufumbuzi..Mwenye akili hata akiwa na maarifa kidogo, anaweza kutumia akili yake kuleta ufumbuzi ambao umewashinda waliokariri maarifa mengi juu ya hiko kitu.Mkuu hivi waweza kuwa na maarifa usiwe na akili??? Ufafanuz kidogo hapa
sijiui aliootelea wapi?..may be alibadili ID.Alipotea? Miaka ya nyuma kwenye 2007 ivi au kwenye 2020?
Kuna mwingine pia au labda ni yeye anaitwa Utingokuna mwamba mmoja (nimesahau ID yake), miaka ya nyuma alikuwa anaandika na kuchambua mambo magumu sana yanayohusu astronomy(sayansi ya anga).
kwangu yule jamaa ni genius kwasababu alikuwa ana dedicate mda wake kushare na sisi knowledge ambayo wengi wetu hatuna uelewa nayo. na alikuwa anaelezea kwa lugha nyepesi ya kiswahili ili kila mtu apate kuelewa.
astronomy ni moja ya field ngumu and very contradicting, ndio maana baadhi ya waajiriwa wa NASA ni ma genius kweli kweli wa hisabati na fizikia.
Umelielewa swali uliloliuliza?😂😂😂😂Wajameni nina swali.
Who is the smartest person on JF?
Yani genius, akili mingi, great thinker..kuliko wote.
Nataka nimjue kipanga wetu.
Kiasi chakeUmelielewa swali uliloliuliza?😂😂😂😂
Unawaza ushirikina tu?Mmh! Hadi wewe unaamini ushirikina?! Kweli third world hakuna kitu.
Sasa si ndiyo fani ya uliyesema kwamba ana akili.Unawaza ushirikina tu?
Ili umsumbue kumuombaomba hela?! 😀🤔Antumia ID gan?