FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Owner huyoSimuonagi kuchangia mijadala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Owner huyoSimuonagi kuchangia mijadala
🙏🙏🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Shukrani Sana Mdogo wangu
Hao sidhani kama wana account humu JFD😀😀
mtoe mzee Sunday na mzee Msoga.
Hao sidhani kama wana account humu JF
Huyo kaishafungiwa huko TFF kwaku misbehave ataweza ku handle hisia humu kwenye ban nyingi za kukera kama chenga za chama?Hahah ngoja tumshtue bwana Haji afungue akaunti, ili upqte mtu wa kupambana naye jukwaa la soka...
Huyo kaishafungiwa huko TFF kwaku misbehave ataweza ku handle hisia humu kwenye ban nyingi za kukera kama chenga za chama?
Club house mnaingiajePale CLUB HOUSE kuna mtu anaitwa Panyar yaani ni Google ,,hatareeee
Nakazia hapa..
Mwanangu sana...!![emoji1431][emoji1431][emoji1431]
Shukrani Sana Mkuu
Car Enthusiast😀Sijawahi kuwaza kwamba kuna member ambaye anaweza kuwa kipanga in general lakini natambua kwamba humu ndani kuna vichwa ni msaada mkubwa sana katika field zao so kwa upande fulani ni magenious lemme appreciate them:
Wa kwanza ni CHIEF MKWAWA huyu jamaa kwenye masuala ya Information technology yupo juu sana hakuna tatizo ambali hana solution nalo ni msaada mkubwa sana kwa watu
Kwenye field ya magari na vyombo vya usafiri kuna ndugu yangu Extrovert na jamaa yangu JITU LA MIRABA MINNE
Binafsi Pascal Mayalla Humble African @Da'vinci na yule jamaa kwenye jukwaa la international forum anayechambua Silaha huwa nawachukulia magenious kwa mtindo fulani hivi bila kusahau Mshana Jr na LIKUD..Halafu kuna mwamba anaitwa Nguruvi3 nae naweza kumuweka kama genious...@Scars nae naweza kumuweka kwenye list ingawa si muanzishaji wa thread sana ila michango yake nae imejaa nondo nikiendelea kuwakumbuka watu nitaupdate comment..Ila hata mimi ni genious lakini sio kwa jamii forums maana nikiri wazi jamiiforums imenifanya nijue vitu vingi sana yaan mada yoyote itakayoanzishwa sehemh nilipo basi ntakuja na nondo kali sana na hii yoe ni kutokana na Jf,kwenye vijiwe vya kahawa wananikubali kinoma lakini hii ni kutokana na mchangi wa jamiiforums,hata Melo nilishwahi kumwambia hii tulipokuwa tunachati facebook