Nani ana akili kuliko wote JF?

Nani ana akili kuliko wote JF?

Wajameni nina swali.
Who is the smartest person on JF?
Yani genius, akili mingi, great thinker..kuliko wote.
Nataka nimjue kipanga wetu.
Akili za kishule za kushindanisha wanafunzi Zina athiri mpaka uraiani ama kwenye maisha. Maisha sio mashindano Wala kufaulu mtihani. Set your goals to achieve or compet you vs you and not you vs me.
Mana huwezi shindanisha samaki na ndege kwa uwezo wa kupaa angani ama kuogelea majini.
Ama tumbili na mbuzi kukwea miti.
Namaanisha Kama Jana ulikuwa umepanga Basi angalau Leo uwe kwako ndio mashindano halisi hayo.
Kila mtu Ana namna alivyoumbwa hujasoma kuwa Kuna eight areas of human intelligence sema shuleni wanapima Aina mbili tu mkuu.
So zingine sita shule haizitambui.
Kumbuka huu mfumo wa shule ulianzishwaga ili kutengeneza vibarua wa kufanya kazi viwandani vya wajanja wachache na ndio hao hao waliosema work hard badala ya work smart,jiulize mbona mabaamedi na wafanyakazi wa viwandani wanaofanya kazi hawapumziki labda nusu saa tu ya kula Ila hawana mafanikio, so walitageti kuku brainwash na wakafanikiwa.
Pia wakaambiwa kuwa asiyefanya kazi na asile ili kila mtu akatafute kazi awafanyie. Mbona wazee na watt na disabled hawafanyi kazi Ila wanakula mkuu na je wagonjwa na wao wasile ama.

Elon musk akaanzisha shule yenye mfumo ambao sio huu uliozoea watt wake wote na wengine wajanja wachache wameanza kupeleka watt wao kwa shule yake.
Mana anadai hajasomea havard Ila anaajiri waliosomea havard.
Pia watu wanachanganya intelligence na elimu. Watu huwa hawajui tofauti ama elimu na akili kwa lugha rahisi.
Ndio Mana inatakiwa mtt asipimwe kwa mitihani.
Mana hapa mtaani hatushindani kuwa leo Nimekula samaki jirani akala dagaa Basi naye kesho ale samaki ili anijibu kuwa uwezo anao.
Ishi maisha yako unavyowaza na sio kuigaiga ama kushindana,Basi kashindane na bolt ronado Jordan Mayweather Warren bill gate Jack ma tata Benzos na Elon utakufa unashindana na hutoishi hata siku moja.
 
Back
Top Bottom