Nani anabisha kuwa kupambana hadi ushindi wa Yanga SC jana kulichangiwa na kubezwa mno na mashabiki wa Simba SC?

Saa 7 mchana wa leo uende kuwapokea wananchi! Siyo unabwekabweka tu na kuweweseka humu kuhusu Yanga.
 
Mbumbumbu sisi hatushindi kwa maneno yenu hii spirit ya ushindi ipo kwa kila mwanayanga na ndio maana huku bongo hakuna anaeweza kutufunga

Hiyo spirit ilikuwa wapi hadi mkafurushwa CAFCL??acha kubwabwaja mkuu
 

Ko na nyie mlishinda kwa bahati??hakuna bahati kwenye soka its either umefanya kosa au umecheza chini ya kiwango..bahati ni kwenye kubet tu sio kwenye soka
 
Ko na nyie mlishinda kwa bahati??hakuna bahati kwenye soka its either umefanya kosa au umecheza chini ya kiwango..bahati ni kwenye kubet tu sio kwenye soka
Kama kubeti ni bahati basi na mpria ni bahati. Bahati ipo kotekote.
 
Ina maana yanga haina malengo Bali inafuata upepo unavumia wapi? Usajili mkubwa wote uliofanyika Kasi kuelekea mfumo wa mabadiliko ambao Jirani alianza na sasa kaachwa Mbali vyote hivi ni bure ila kejeli za Jirani ndiyo kichocheo hapo una potosha umma, ni mipango mikakati, malengo waliojiwekea, umoja na mshikamano, uongozi madhubuti chini ya rais hersi na bench la ufundi bora kabisa kwa sasa hapa Tz ndiyo chachu
 
We miss you Genta hasa kipindi hiki Madame kamwaga mwanyanga njoo hata na ile ID yako ya Might Fighter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…