GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Kutoka kwa Juha na Mla Mihogo Wewe.hustahili pongezi yoyote ile
Ukuelewa nini mkuu, au nimekukumbusha mbaliHivi ni Manura kama ulivyoandika hapa au ni Manula kama anavyojulikana?
Huna Akili.
Saa 7 mchana wa leo uende kuwapokea wananchi! Siyo unabwekabweka tu na kuweweseka humu kuhusu Yanga.Kwa lugha nyingine ni kwamba badala ya kutushangaa na kututukana hadi kutudhihaki watu wa Simba SC GENTAMYCINE nikiwa kinara wao hapa JamiiForums, basi mngetupongeza! Kwani kwa 60% tumechangia kuwajaza ndimu (upepo) wachezaji wenu na wao kuamua kujitoa vile mpaka kushinda na kutinga makundi CAFCC.
Hivi mnadhani kweli GENTAMYCINE nisingekuwa nawacheka Yanga SC, nawatania hadi kuwakera huku muda mwingi nikiwasakama akina Rais Injinia Hersi Said na Msemaji Ally Kamwe wangeweza kujaa upepo na kujitoa kwa ajili ya timu?
Na kila wakikutana na wachezaji wa Yanga SC huwajaza ndimu (hasira), hali ambayo imekuwa ni kichocheo kikuu kwa wao kujituma kule na kuipambania jezi ya Yanga SC na bendera ya nchi (Tanzania).
Nasubiri sasa pongezi zenu nyingi tu kwangu kwani kuwasema kwangu nina uhakika kumechangia wachezaji wenu wote kuipambania timu hadi jana mkashinda vile, japo kwa ushindi kiduchu na wa kubahatisha kutokana na uzembe wa kipa wa Club Africaine ya nchini Tunisia.
Thanks for the sincere Credits Chief!!!Smart as always [emoji1487][emoji1487][emoji1487]
Thanks for the sincere Credits Chief!!!
Mbumbumbu sisi hatushindi kwa maneno yenu hii spirit ya ushindi ipo kwa kila mwanayanga na ndio maana huku bongo hakuna anaeweza kutufunga
Hamna kitu kama hicho, yaani mnataka mjishikize kwenye ushindi wetu. Hatutaki, nyie komaeni mtoe draw na ihefu.
Ushindi wa yanga hauihusu simba ni mipango kabambe na ya akili kubwa. Hata Al hilal walishinda kwa bahati tu ila kimchezo tuliwazidi sana.
Kama kubeti ni bahati basi na mpria ni bahati. Bahati ipo kotekote.Ko na nyie mlishinda kwa bahati??hakuna bahati kwenye soka its either umefanya kosa au umecheza chini ya kiwango..bahati ni kwenye kubet tu sio kwenye soka
We miss you Genta hasa kipindi hiki Madame kamwaga mwanyanga njoo hata na ile ID yako ya Might FighterKwa lugha nyingine ni kwamba badala ya kutushangaa na kututukana hadi kutudhihaki watu wa Simba SC GENTAMYCINE nikiwa kinara wao hapa JamiiForums, basi mngetupongeza! Kwani kwa 60% tumechangia kuwajaza ndimu (upepo) wachezaji wenu na wao kuamua kujitoa vile mpaka kushinda na kutinga makundi CAFCC.
Hivi mnadhani kweli GENTAMYCINE nisingekuwa nawacheka Yanga SC, nawatania hadi kuwakera huku muda mwingi nikiwasakama akina Rais Injinia Hersi Said na Msemaji Ally Kamwe wangeweza kujaa upepo na kujitoa kwa ajili ya timu?
Na kila wakikutana na wachezaji wa Yanga SC huwajaza ndimu (hasira), hali ambayo imekuwa ni kichocheo kikuu kwa wao kujituma kule na kuipambania jezi ya Yanga SC na bendera ya nchi (Tanzania).
Nasubiri sasa pongezi zenu nyingi tu kwangu kwani kuwasema kwangu nina uhakika kumechangia wachezaji wenu wote kuipambania timu hadi jana mkashinda vile, japo kwa ushindi kiduchu na wa kubahatisha kutokana na uzembe wa kipa wa Club Africaine ya nchini Tunisia.