Nani anaelewa mbinu ya huyu askari aliyepigwa risasi?

Askari wazembe sana huyo jamaa alifanikiwa kutoka akiwa salama
 
Wewe endelea na kejeli za nyuma ya keyboard ila ipo siku utatamani hata huyo unaemuona boya ajitokeze kukuokoa.

askari wataenda wakute mimavi kibao[emoji23][emoji23][emoji23].
 
Mitandao inachangiwa na wahibga wengi sana au watoto wa shule.
2030 nakamata inchi bwashee mtaisoma . Keyboard warriors wengi ni fyekeleaa
 
Katika principal za matumizi ya silaha za moto
1. Tumia silaha yako katika muda sahihi kwako
2 . Usipoteze focus ya target yako

alipigwa risasi sababu alipoteza focus ta target
Kama angekuwa on target yule jamaa alivyotoa kichwa tuu angemshuti kirahisi

kosa kosa jingine alivyoshutiwa akatoka na kukaa sehemu ya wazi kabisa
Kama yule jamaa ange toka kidogo tu angemshuti kirahis
Ilitakiwa abaki kwenye fence na macho yake on target again ready for action
 
Sijamwelewa kabisa huyu askari hii mbinu ya kumsogelea mhalifu hatari bila kuchukua tahadhari, utafikiri anamvizia mtu mwenye kisu ndio maana akatandikwa.

View attachment 1908287

View attachment 1908288
Hawa si wamezoea kuwakamata kina Mbowr?
Wale askari kama ulisikia wamazingira nyumba ya Lema Mara wamazingira nyumba ya Gwajima. Mara wamevamia hoteli wamewabeba kina mbowe.
Ndio hawa sasa.

Hapo kakutana na kidume
 
Kuanzia leo jua hivi mwenye mapaja kuna mishipa ya damu mikubwa ingeguswa hiyo hata Emergency asingefika na lile sehemu kungekuwa na mafuriko ya Damu
Sikujui Hilo ila mbona wanasema huyo police alikufa maskini
 
Sijamwelewa kabisa huyu askari hii mbinu ya kumsogelea mhalifu hatari bila kuchukua tahadhari, utafikiri anamvizia mtu mwenye kisu ndio maana akatandikwa.

View attachment 1908287

View attachment 1908288
Hakuna Cha ushujaaa Wala Nini Hamza alichanganywa na mirindimo ya risasi kutoka pande zote alimojificha.Sasa ndio akamshindwa kumtandika huyo soja na angepigwa Chuma angekufa angelaumiwa mwaka mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…