Nani anaelewa mbinu ya huyu askari aliyepigwa risasi?

Nani anaelewa mbinu ya huyu askari aliyepigwa risasi?

Watu wameshiba ugali maharage basi wapo nyuma ya keyboard zao wanatema ujinga. Muulize mtu kama ameshawahi kusikia mlio wa risasi just 20m away.

He did what he did, hongera kwake!
Nina imani wengi wapo katika kundi hili mkuu(hawakuwahi kuskia mlio wa risasi live).
 
Ni rahisi kuiona target wakati wa mafunzo(katika uwanja wa range) ila sio katika bettle field mkuu
yeah sure mkuu,
ila kwa pale kusema walikua hawaioni target sio kwel mkuu,

kama umetazama video ambayo Muuaji anajitokeza,n imecheki pale ni sekunde 15 alikua barabarani, na bado Police walikua hawamwoni,
police zaidi ya 10 hawamwoni, wanarenga pembeni tuu,

jamaa anavimba tuu uku anajipiga kifua.
 
We nae si uwe unasoma comments na kuelewa,unaambiwa yupo hai Muhimbili anatibiwa wewe unakurupuka na kejeli zako za “kafa kwa uzembe”.Huwa mna haraka gani ya ku comment?
Hawa ndio wale raia wakakamavu.
 
yeah sure mkuu,
ila kwa pale kusema walikua hawaioni target sio kwel mkuu,

kama umetazama video ambayo Muuaji anajitokeza,n imecheki pale ni sekunde 15 alikua barabarani, na bado Police walikua hawamwoni,
police zaidi ya 10 hawamwoni, wanarenga pembeni tuu,

jamaa anavimba tuu uku anajipiga kifua.
Hizo ni individual errors mkuu ila kimkakati hamza angekufa mapema sana. Pale alipotoa kichwa tu alitakiwa kuisha( kipindi anamuangalia/kumshangaa yule jamaa mwenye bastora)
 
Hizo ni individual errors mkuu ila kimkakati hamza angekufa mapema sana. Pale alipotoa kichwa tu alitakiwa kuisha( kipindi anamuangalia/kumshangaa yule jamaa mwenye bastora)
Yeah,
apo umenena mkuu,

natumai Police wetu wamejifunza kitu, nawame tambua kipi inabidi waongezee katika mazoezi yao.

Mungu awabariki sana, waweze kuliona hilo nawalifanyie kazi bana,

We Need Them..
 
Hamza katubeba sana leo
Kwa nini mkuu??
Kama sio gaidi unahisi ni nani??
Siyo kweli. Inaonekana wewe hata JKT hujapitia. Siyo kazi ya askari kujipeleka peleka ovyo. Wamejifunza mbinu za kivita/mapambano/kukabiliana na adui. Siku nyingine ukitaka kuandika kiingereza, andika hivi "He is a national hero. He did what a true soldier is expected to do. Kilangila.
Nishaona bado askari wetu wanaigiza film za kibongo
 
hakuna hero hapo mzee,
he was like 3 meters from him, and hakuonwa,
ka shoot mara 3 kama sio 4, na alikua na bastola, na bado kamduku,

hadi anapigwa yeye kizembe sana,
af cheki askali wa4 wapo upande wa kwenye rami huku,
nabado wakashindwa kumcover mwenzao asidunguliwe na jamaa,
daaaH askari wetu bado sana aisee..

kwa hili, wameonyesha uzembe mkubwa sana ndani ya jeshi la polisi upande wa shabaha,

embu cheki zile sekunde 15, jamaa kajitoa kabisa yupo sehem wazi na risasi zimemwishia,
nabado wakawa wana mkosa kwa sekunde 15 wana piga risasi pembeni,

na ujue sio Askari mmoja,
nizaidi ya askari 14 wana mshambulia Mtu mmoja kwa sekunde 15 nawana mkosa.

IVI ASKARI WETU WANA MAZOEZI ENDELEVU UPANDE WA SHABAHA, KAMA VILE ILIVO JESHINI.?
Mimi nina maoni tofauti kidogo.....
askari wa kibongo huenda walikuwa wanapiga risasi pembeni makusudi......
Ili nae Hamza ajibu amalize risasi wamkamate....
sasa askari mmoja akaona isiwe tabu akajiongeza akamnyuka ya kichwa.....
angalia baada ya Hamza kudondoka alinyukwa kama sita za mkyunduni ile sio shabaha kweli!!!?
pyu pyu pyu pyu on the same angle
 
Mimi nina maoni tofauti kidogo.....
askari wa kibongo huenda walikuwa wanapiga risasi pembeni makusudi......
Ili nae Hamza ajibu amalize risasi wamkamate....
sasa askari mmoja akaona isiwe tabu akajiongeza akamnyuka ya kichwa.....
angalia baada ya Hamza kudondoka alinyukwa kama sita za mkyunduni ile sio shabaha kweli!!!?
pyu pyu pyu pyu on the same angle
hahaha.!
nishabaha mkuu,
ila ni shabaha zakujifurahisha..
 
Mimi nina maoni tofauti kidogo.....
askari wa kibongo huenda walikuwa wanapiga risasi pembeni makusudi......
Ili nae Hamza ajibu amalize risasi wamkamate....
sasa askari mmoja akaona isiwe tabu akajiongeza akamnyuka ya kichwa.....
angalia baada ya Hamza kudondoka alinyukwa kama sita za mkyunduni ile sio shabaha kweli!!!?
pyu pyu pyu pyu on the same angle
Acha kutega watu mkuu.
 
Mi naona kosa sio la huyo Askar alikuwa na nia nzuri na plan ilikuwa nzur kosa lilikuwa watoa cover wali delay sana na hakukua na mashambuliz mfululizo .. na walipashwa welenge ndan ya kibanda kumlazimisha jamaa alale chini.. ila wao walikuwa wanapiga ukutan nje na pembeni .. had jamaa ananyanyuka na kumshoot jamaa

unaona kabisa kwenye clip jamaa had anamchungulia askar ili ampige.. Askari wa kutoa cover wetu ndo kidogo waliteleza au cordination kati yao haikuwa nzuri
Mapolisi ni WALEVI, watawezaje kulenga shabaha vizuri wakiwa katika hali ya tilalila?
 
ni vema kushangilia kwa kejeli kwasababu magaidi ua wanachagua raia wa kuua ni wanachama wa ccm pekee.chadema sijawahi sikia mmekufa kwenye matukio kama haya
Nasikia huyo gaidi alikuwa ni kada wa ccm ni kweli?

Na kama ni kweli,Je ccm imeanza kufuga magaidi?
 
Huyu Sio atakua huyo wanayedai mlinzi wa kampuni binafsi aliyeuwawa?

Watu Chuma sijui wanaichukuliaje, kama ni hio badge wanivue tuu ila mbele ya chuma Sitaki unifundishe uzalendo bora nionekane kunguru..kaacha Dona kizembe sana...

Nishauri kotee ila Ikifika mahala options ni kifo au uhai, sitaki ushauri.
Tatizo hujala kiapo
 
Tatizo hujala kiapo
Tataizo Sio kiapo.
Tatizo ni umepewa mbinu za kum attack adui huku wewe ukijilinda halafu huzitumii..

Katika Mafunzo yao Sheria namba Moja ni kulinda usalama wako kwanza, Maana Askari asipokua salama tayari amehatarisha Maisha yake yeye Mmoja na Raia zaidi ya 1000(Kutokana na ratio)..

Sasa yule anamfuata adui Mwenye Miguu ya kuku Minne, as if kashika magunzi na mbaya zaidi katika open space kama ile na zaidi huna protection yoyote ile kama bullet proof n.k, No wonder alikua anaita wenzake waje hawakwenda.
Hakuna kiapo cha kumfuata adui kichwa kichwa na kufa kizembe.
 
Mimi nilichoona ni kwamba inawezekana kabisa huyo "Gaidi" alikuwa na Bullet Proof ndo maana walikuwa wanamkosa. Pia yule Askari alikuwa na Bullet proof pia namwona ni shujaa kabisa kwa jinsi alivyokwenda pale. Lakini pia kwa kuwa jamaa alikuwa ktk kibada iilikuwa sawa kutumia mabomu ya machozi kupamba na yule ili atoke. Kejeli za baadhi yenu zinanifanya niamini utafiti kuwa katika kila waTZ watano wanne wana jalada la matibabu Milemba
Bomu la machozi ni lazima ulipeleke kwa mikono?
 
Back
Top Bottom