MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 8,063
- 6,405
Hamna loote mnampaisha bure tu yule jamaa pale alikaa kindezi sanaKama haujapita hata mafunzo ya skauti kaa kimya!
The guy real played as a hero! Kudos askari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna loote mnampaisha bure tu yule jamaa pale alikaa kindezi sanaKama haujapita hata mafunzo ya skauti kaa kimya!
The guy real played as a hero! Kudos askari
OMG, mimi namuombea aishi miaka mingi ili aone ukuu wa Mungu.inasemekana aliyeamuru Lissu apigwe risasi amekata moto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli inaonekana hawaangalii movie hawaHapo ndo naona Kuna tatizo, Police hawakujiandaa au mafunzo ya kutosha hafifu.
Askari yule Kama Kuna Askari mwenzake angefanya Cover ya kutosha Risasi kwenye kibanda mfululizo, naamini huyo angekua wa kwanza kumdungua huyo Msomali!
But kapigwa Risasi coz muda mwingi alikua anaomba Cover kwa Ishara ya mikono, mpaka anapigwa Risasi.
Hawa Police hata Movie hawaangalii? Namba unaweza kufanya Cover kwa mwenzako aliyesogea front....
Hapo ndipo niliona police shabaha zero. Kuna wake walikuwa nyuma ya ukuta walikuwa wanarusha risasi zinagonga katikati ya barabaraHana mbinu wala mipanngo alienda kizembe saana, alitaka kufanya mambo ya anodi shoziniga wakati akili na uwezo wa j plus.. [emoji23]
Halafi piia askarri wetu shabaha ni 'NDUHU, sifuri kabisa, jamaa alijitokeza wakapiga risasi kibao wakamkosa
Wewe ni muelewa, hata uwe komandoo ukishtukizwa unauawa ndio maana hata makomandoo wa Marekani wanauawa na wanamgambo wa kiislamu maana huwa ni ambush, by the way tusifurahie kifo cha mpigaji wala mpigwaji, hapo kuna yatima wameachwa, kuna wajane wameachwa, kuna wagane, achaneni na kifo aisee.Hawakukimbia ila shuhuda, ndugu yangu huyu anayeishi hapo mjini Dar' salaam alinambia kwamba Hamza alishuka kwenye boda akaelekea kwenye kibanda ambacho askari walikuwepo,akajifanya mtu salama anayehitaji msaada wa kipolisi suddenly akatoa pisto na kuwashambulia.Achana na sudden attack(ambushi) aisee mbinu zote huwa zinapotea.Poleni sana polisi wetu.
Hivi hiyo tear gas aliirusha saa ngapi?Swali la kizushi, walipokonywa au walikimbia na kuziacha silaha ? Kama walikimbia na kuacha silaha basi hawafai kuitwa askari na wavuliwe vyeo vyote, anaytakiwa kupnadishwa vyeo ni waliojitolea mhanga kupambana face to face na mhalifu haswa yule aliyemsogelea mhalifu kwa ukaribu zaidi, japo ilikua ni njia ya hatari sana na hakuifanya kwa umakini, japo ilizaa matunda kwa mhalifu kutoka nje ya kibanda kwa kuzidiwa na tear gas.
Hapo umedanganywa alikuwa amesimamaPolisi ndio wahusika wakuu ktk drama hii. Ndugu wa huyo kijana watapata shida kubwa ktk juhudi ya polisi kuficha uhusika wao. Mwanamke shuhuda wa tukio hili anasimulia mtuhumiwa aliuawa akiwa amepiga magoti na amenyanyua mikono juu kuonesha amesalimu amri.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hata huhitaji ushuhuda wa mwanamke. Kuna video ipo inaonesha risasi ikimpata ilhali amesimama katikati ya barabara bado akiwa yuko tayari kufyatua bunduki, ilipompata akaelekea kuinama huku anarudi kinyume na akaangukia mgongo. Siwezi iweka clip hapa.Polisi ndio wahusika wakuu ktk drama hii. Ndugu wa huyo kijana watapata shida kubwa ktk juhudi ya polisi kuficha uhusika wao. Mwanamke shuhuda wa tukio hili anasimulia mtuhumiwa aliuawa akiwa amepiga magoti na amenyanyua mikono juu kuonesha amesalimu amri.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Huyo ni askari mlizi kumbuka wanalipwa laki na nusu hadi laki mbili kwa mwezi kwahiyo aliona ajitoe ufahamu mbele ya chuma iliapandishwe cheo na mshahara
Polisi wanapiga hovyo kama mavetnam ya kwenye muvi za wamarekani[emoji23]Hapo ndipo niliona police shabaha zero. Kuna wake walikuwa nyuma ya ukuta walikuwa wanarusha risasi zinagonga katikati ya barabara
Polisi Tanzania ni wachache, hivyo hawagawiki kwa wengine kwenda mafunzo kazini na wengine kuendelea na kazi. Mafunzo pekee ni kuzunguka na magari ya maji washa na kutoa mabomu ya machozi karibu na uchaguzi.Jamaa shabaha wako shallow sana
Sijamwelewa kabisa huyu askari hii mbinu ya kumsogelea mhalifu hatari bila kuchukua tahadhari, utafikiri anamvizia mtu mwenye kisu ndio maana akatandikwa.
View attachment 1908287
View attachment 1908288
huyu alikuwa sawa! wa kulaumiwa ni kampuni yake cha kwanza kwa kutompa bullet proof jacket.Lakini pia sheria za makampuni Binafsi za Ulinzi Tanzania zimepitwa na wakati.na kingine Tanzania bado atujawa na Ugaidi au Ujambazi kama Sauz na Kenya! lakini Kamanda was doing his Job kisawasawa na alikuwa anawasiliana kwa Ishara zote kama askari alie kwenye uwanja wa vita.Pitia Video yake na angalia alitumia ishara ngapi kati ya hiziSijamwelewa kabisa huyu askari hii mbinu ya kumsogelea mhalifu hatari bila kuchukua tahadhari, utafikiri anamvizia mtu mwenye kisu ndio maana akatandikwa.
View attachment 1908287
View attachment 1908288
Huyo ni askar polisi acha kuongopea watu, SGA pistol anaitolea wapi? Polisi wetu wa ovyo tu wamezoea kupambana na wapinzani wasiokuwa hata na mawe, kwnye matukio kama haya ndio tunawajua kuwa ni empty set kabisahuyu alikuwa sawa! wa kulaumiwa ni kampuni yake cha kwanza kwa kutompa bullet proof jacket.Lakini pia sheria za makampuni Binafsi za Ulinzi Tanzania zimepitwa na wakati.na kingine Tanzania bado atujawa na Ugaidi au Ujambazi kama Sauz na Kenya! lakini Kamanda was doing his Job kisawasawa na alikuwa anawasiliana kwa Ishara zote kama askari alie kwenye uwanja wa vita.Pitia Video yake na angalia alitumia ishara ngapi kati ya hizi
View attachment 1909973
View attachment 1909974
Waliuawa mkuu hawakukimbia.Swali la kizushi, walipokonywa au walikimbia na kuziacha silaha ? Kama walikimbia na kuacha silaha basi hawafai kuitwa askari na wavuliwe vyeo vyote, anaytakiwa kupnadishwa vyeo ni waliojitolea mhanga kupambana face to face na mhalifu haswa yule aliyemsogelea mhalifu kwa ukaribu zaidi, japo ilikua ni njia ya hatari sana na hakuifanya kwa umakini, japo ilizaa matunda kwa mhalifu kutoka nje ya kibanda kwa kuzidiwa na tear gas.
sawa Police wetu wana swetaz nyeus na suruwali BlackzHuyo ni askar polisi acha kuongopea watu, SGA pistol anaitolea wapi? Polisi wetu wa ovyo tu wamezoea kupambana na wapinzani wasiokuwa hata na mawe, kwnye matukio kama haya ndio tunawajua kuwa ni empty set kabisa
Ni ujinga sio ushujaa,kuwa close namna ile na mhalifu aliwapa ugumu hata askari wenzie waliokua wanashoot kutokea upande wa pili wasije kumzuru na yeye,huyo askari na huyo mhalifu wote wajinga,wamejianika hivyo wakidhani wanacheza grand thief auto (gta) ya ps 5 vile,that was real sio gtaHe is the Nation Hero.He did what a true soldier expected to do