Nani anaelewa mbinu ya huyu askari aliyepigwa risasi?

Nani anaelewa mbinu ya huyu askari aliyepigwa risasi?

Nakuona unakusanya taarifa kidwanzi, ndugu mchangiaji.
 
Hapo ndo naona Kuna tatizo, Police hawakujiandaa au mafunzo ya kutosha hafifu.
Askari yule Kama Kuna Askari mwenzake angefanya Cover ya kutosha Risasi kwenye kibanda mfululizo, naamini huyo angekua wa kwanza kumdungua huyo Msomali!
But kapigwa Risasi coz muda mwingi alikua anaomba Cover kwa Ishara ya mikono, mpaka anapigwa Risasi.

Hawa Police hata Movie hawaangalii? Namba unaweza kufanya Cover kwa mwenzako aliyesogea front....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli inaonekana hawaangalii movie hawa
 
Hana mbinu wala mipanngo alienda kizembe saana, alitaka kufanya mambo ya anodi shoziniga wakati akili na uwezo wa j plus.. [emoji23]

Halafi piia askarri wetu shabaha ni 'NDUHU, sifuri kabisa, jamaa alijitokeza wakapiga risasi kibao wakamkosa
Hapo ndipo niliona police shabaha zero. Kuna wake walikuwa nyuma ya ukuta walikuwa wanarusha risasi zinagonga katikati ya barabara
 
Hawakukimbia ila shuhuda, ndugu yangu huyu anayeishi hapo mjini Dar' salaam alinambia kwamba Hamza alishuka kwenye boda akaelekea kwenye kibanda ambacho askari walikuwepo,akajifanya mtu salama anayehitaji msaada wa kipolisi suddenly akatoa pisto na kuwashambulia.Achana na sudden attack(ambushi) aisee mbinu zote huwa zinapotea.Poleni sana polisi wetu.
Wewe ni muelewa, hata uwe komandoo ukishtukizwa unauawa ndio maana hata makomandoo wa Marekani wanauawa na wanamgambo wa kiislamu maana huwa ni ambush, by the way tusifurahie kifo cha mpigaji wala mpigwaji, hapo kuna yatima wameachwa, kuna wajane wameachwa, kuna wagane, achaneni na kifo aisee.
 
Swali la kizushi, walipokonywa au walikimbia na kuziacha silaha ? Kama walikimbia na kuacha silaha basi hawafai kuitwa askari na wavuliwe vyeo vyote, anaytakiwa kupnadishwa vyeo ni waliojitolea mhanga kupambana face to face na mhalifu haswa yule aliyemsogelea mhalifu kwa ukaribu zaidi, japo ilikua ni njia ya hatari sana na hakuifanya kwa umakini, japo ilizaa matunda kwa mhalifu kutoka nje ya kibanda kwa kuzidiwa na tear gas.
Hivi hiyo tear gas aliirusha saa ngapi?
 
Polisi ndio wahusika wakuu ktk drama hii. Ndugu wa huyo kijana watapata shida kubwa ktk juhudi ya polisi kuficha uhusika wao. Mwanamke shuhuda wa tukio hili anasimulia mtuhumiwa aliuawa akiwa amepiga magoti na amenyanyua mikono juu kuonesha amesalimu amri.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hapo umedanganywa alikuwa amesimama
 
Polisi ndio wahusika wakuu ktk drama hii. Ndugu wa huyo kijana watapata shida kubwa ktk juhudi ya polisi kuficha uhusika wao. Mwanamke shuhuda wa tukio hili anasimulia mtuhumiwa aliuawa akiwa amepiga magoti na amenyanyua mikono juu kuonesha amesalimu amri.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hata huhitaji ushuhuda wa mwanamke. Kuna video ipo inaonesha risasi ikimpata ilhali amesimama katikati ya barabara bado akiwa yuko tayari kufyatua bunduki, ilipompata akaelekea kuinama huku anarudi kinyume na akaangukia mgongo. Siwezi iweka clip hapa.
 
Sijamwelewa kabisa huyu askari hii mbinu ya kumsogelea mhalifu hatari bila kuchukua tahadhari, utafikiri anamvizia mtu mwenye kisu ndio maana akatandikwa.

View attachment 1908287

View attachment 1908288
huyu alikuwa sawa! wa kulaumiwa ni kampuni yake cha kwanza kwa kutompa bullet proof jacket.Lakini pia sheria za makampuni Binafsi za Ulinzi Tanzania zimepitwa na wakati.na kingine Tanzania bado atujawa na Ugaidi au Ujambazi kama Sauz na Kenya! lakini Kamanda was doing his Job kisawasawa na alikuwa anawasiliana kwa Ishara zote kama askari alie kwenye uwanja wa vita.Pitia Video yake na angalia alitumia ishara ngapi kati ya hizi

images (9).jpeg


images (8).jpeg
 
huyu alikuwa sawa! wa kulaumiwa ni kampuni yake cha kwanza kwa kutompa bullet proof jacket.Lakini pia sheria za makampuni Binafsi za Ulinzi Tanzania zimepitwa na wakati.na kingine Tanzania bado atujawa na Ugaidi au Ujambazi kama Sauz na Kenya! lakini Kamanda was doing his Job kisawasawa na alikuwa anawasiliana kwa Ishara zote kama askari alie kwenye uwanja wa vita.Pitia Video yake na angalia alitumia ishara ngapi kati ya hizi

View attachment 1909973

View attachment 1909974
Huyo ni askar polisi acha kuongopea watu, SGA pistol anaitolea wapi? Polisi wetu wa ovyo tu wamezoea kupambana na wapinzani wasiokuwa hata na mawe, kwnye matukio kama haya ndio tunawajua kuwa ni empty set kabisa
 
Swali la kizushi, walipokonywa au walikimbia na kuziacha silaha ? Kama walikimbia na kuacha silaha basi hawafai kuitwa askari na wavuliwe vyeo vyote, anaytakiwa kupnadishwa vyeo ni waliojitolea mhanga kupambana face to face na mhalifu haswa yule aliyemsogelea mhalifu kwa ukaribu zaidi, japo ilikua ni njia ya hatari sana na hakuifanya kwa umakini, japo ilizaa matunda kwa mhalifu kutoka nje ya kibanda kwa kuzidiwa na tear gas.
Waliuawa mkuu hawakukimbia.
 
Huyo ni askar polisi acha kuongopea watu, SGA pistol anaitolea wapi? Polisi wetu wa ovyo tu wamezoea kupambana na wapinzani wasiokuwa hata na mawe, kwnye matukio kama haya ndio tunawajua kuwa ni empty set kabisa
sawa Police wetu wana swetaz nyeus na suruwali Blackz
 
Tabu ya kuangalia sinema za Marekani na kujiribu kufanya kama walivyoona kwa Rambo na Arnold Swchazziniger
 
Watu wameshiba ugali maharage basi wapo nyuma ya keyboard zao wanatema ujinga. Muulize mtu kama ameshawahi kusikia mlio wa risasi just 20m away.

He did what he did, hongera kwake!
 
He is the Nation Hero.He did what a true soldier expected to do
Ni ujinga sio ushujaa,kuwa close namna ile na mhalifu aliwapa ugumu hata askari wenzie waliokua wanashoot kutokea upande wa pili wasije kumzuru na yeye,huyo askari na huyo mhalifu wote wajinga,wamejianika hivyo wakidhani wanacheza grand thief auto (gta) ya ps 5 vile,that was real sio gta
 
Back
Top Bottom