tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Kapigwa za tumbo kadha mpka akakaa chini,alijua hamza kabeba kisuHawezii kufa risasi ya upaja kudanja ngumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapigwa za tumbo kadha mpka akakaa chini,alijua hamza kabeba kisuHawezii kufa risasi ya upaja kudanja ngumu
Kabla hajapigwa na yeye si alikua amesharusha kadhaa au wewe sema haujaona
hilo jamaaa ni lijinga sanaa ....kafa kwa uzembe hata FBI au polisi kokote hawawez fanya hyo mbinu ...yani unapiga risasi km vile hamza ana maweMkuu hivi unafikiri askari wengi wana shabaha ya kufanya covering.? huyo askari angeweza kuuawa na wenzake.. maana walikuwa wanarusha off target
Wewe ungeweza?ni bwege cjawahi ona open fire technique kama hii ...
Ila naye alienda as if Hamza ana runguKapigwa za tumbo kadha mpka akakaa chini,alijua hamza kabeba kisu
We ni kizibo kweliAcha uongo wewe. Alimrushia saa ngap wakati alikuwa ashalambwa ya mguu anaugulia maumivu amekaa ametuliaa. Usitufanye wajinga bana
fala wewe... 😆 😆 😆[emoji23] [emoji23] Yawezekana walimpiga wenzake maana zile risasi zilikuwa kama mashuti ya Sarpong na Yikpe
Kwani analipwa mshahara kwa kazi gani na kwaajili ya nani???Wewe endelea na kejeli za nyuma ya keyboard ila ipo siku utatamani hata huyo unaemuona boya ajitokeze kukuokoa.
Sio kwamba lile gari lililo enda pale na kugeuza ndo lilitupia moshi wa kuwasha?I agree with you, huyu baada ya kushoot kitu ka tear gas jamaa ndo akatoka kwenye kila kichumba
Sio kwamba lile gari lililo enda pale na kugeuza ndo lilitupia moshi wa kuwasha?Ndiye aliyemrushia tear gas ndo akatoka kwenye kibanda baada ya kuzidiwa na moshi.
Mkuu haya machadema utayaweza?Kama haujapita hata mafunzo ya skauti kaa kimya!
The guy real played as a hero! Kudos askari
Ushujaa/kujiamini..... 100%Katika Jeshi, huyu ni Hero....!
Yeye ndiye aliemtoa mhalifu alikojificha kwa kumrushia Bomu la machozi (Disgusting/Tear gas)
Mwanajeshi kufa au kuua vitani ni ushindi sio Woga, angekuwa mwoga angelala nyumbani au angegoma kuingia katika mapambano
THINK
Tear gas inarushwa na bunduki yake sio kwa mikono kama picha ya kihindi.Ndiye aliyemrushia tear gas ndo akatoka kwenye kibanda baada ya kuzidiwa na moshi.
Ungekuwa wewe ungetumia mbinu gani tupe maelezo!Ushujaa/kujiamini..... 100%
Weledi/Mbinu .... 0%
Ila akipatiwa mafunzo he will make a good police
Alikuwa anakunogesha sana ee?Hamza mwanaume n nusu
mzee magufuli ndiye aliyeleta mgawanyiko na chuki baina ya ccm na chadema...lakini saizi hayupo tena..basi nakushauri tuachane na hii chuki mbaya aliyoileta magufuli[emoji2][emoji2][emoji2]Huyu atakua marehem sahiv maana alidhani anapambana na Chadema
mzee wewe mwanajeshi nini?Ila ilikuwa ni reckless move, hata alipoanza kukimbia, jamaa angekuwa serious kidogo, huyo shujaa asingekuwepo sasa.
Waliokuwa wanamfanyia covering walikuwa wanapiga off-target by far na pengine wakimlenga yeye wakidhani ndo wanam-cover[emoji28]