Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
- #21
Leo umekuwa na akili.Godbless Lema aliwahi kuwa waziri wa mambo ya ndani ( kivuli ) labda atusaidie kupendekeza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo umekuwa na akili.Godbless Lema aliwahi kuwa waziri wa mambo ya ndani ( kivuli ) labda atusaidie kupendekeza!
Hahahaaaa......nadhani Lema atampendekeza Hamduni!Leo umekuwa na akili.
Acha upuuzi wako.Hapo Chadema hakuna kamanda anayefaa?
chadema ni polisi?Hapo Chadema hakuna kamanda anayefaa?
nafikiri hizi mada sio za kujadiliwa jf. kuna vyombo vinavyofanya vetting hao ndio kqzi yao. sisi tujadili but itabakia irrelevantIwapo Raisi Samia ataridhia kufanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi kwa kumuondoa IGP Sirro, unadhani ni nani atafaa kukabidhiwa mikobo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini?
Inawezekana tunaona wengi wao ni tatizo, ila ukweli ni kwamba kuna mmoja,wawili au watatu miongoni mwao wanaweza kuwa na afadhali au hata kufaa kabisa kwa nafasi hiyo.
Hivyo, wadau kupitia hapa JF, tutoe mapendekezo ya nani anafaa kumrithi Sirro iwapo ataondoka, ataondolewa au kustaafu kwa mujibu wa sheria.
Kwa mnaowajua vizuri vigogo wa hili Jeshi, msaidieni Mama kujua ni yupi anafaa kuwa IGP baada ya Sirro(tumshauri).
Karibuni kwa mapendekezo (vetting isiyo rasimi).
Iwapo Raisi Samia ataridhia kufanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi kwa kumuondoa IGP Sirro, unadhani ni nani atafaa kukabidhiwa mikobo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini?
Inawezekana tunaona wengi wao ni tatizo, ila ukweli ni kwamba kuna mmoja,wawili au watatu miongoni mwao wanaweza kuwa na afadhali au hata kufaa kabisa kwa nafasi hiyo.
Hivyo, wadau kupitia hapa JF, tutoe mapendekezo ya nani anafaa kumrithi Sirro iwapo ataondoka, ataondolewa au kustaafu kwa mujibu wa sheria.
Kwa mnaowajua vizuri vigogo wa hili Jeshi, msaidieni Mama kujua ni yupi anafaa kuwa IGP baada ya Sirro(tumshauri).
Karibuni kwa mapendekezo (vetting isiyo rasimi).
Mutafungwa ni jipu, Muslim ni mlevi mbwaMurilo.
Mutafungwa.
Kamanda Muslim.
Hamduni.
Amduni (mkuu wa takukuru kwa sasa)Iwapo Raisi Samia ataridhia kufanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi kwa kumuondoa IGP Sirro, unadhani ni nani atafaa kukabidhiwa mikobo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini?
Inawezekana tunaona wengi wao ni tatizo, ila ukweli ni kwamba kuna mmoja,wawili au watatu miongoni mwao wanaweza kuwa na afadhali au hata kufaa kabisa kwa nafasi hiyo.
Hivyo, wadau kupitia hapa JF, tutoe mapendekezo ya nani anafaa kumrithi Sirro iwapo ataondoka, ataondolewa au kustaafu kwa mujibu wa sheria.
Kwa mnaowajua vizuri vigogo wa hili Jeshi, msaidieni Mama kujua ni yupi anafaa kuwa IGP baada ya Sirro(tumshauri).
Karibuni kwa mapendekezo (vetting isiyo rasimi).
Hivyo vyombo vinavyofanya vetting ndio vinatulete hawa wanaolalamikiwa, hivyo tuwasaidie.nafikiri hizi mada sio za kujadiliwa jf. kuna vyombo vinavyofanya vetting hao ndio kqzi yao. sisi tujadili but itabakia irrelevant
Hii ndio faida ya kuwajadili hawa watu.Tutawajua vizuri.Mutafungwa ni jipu, Muslim ni mlevi mbwa
CP Hamduni ndiye IGP ajaye?
Waheshimiwa wana jf, habari hii ni tetesi na muda ndio una majibu kamili. Kama wrngi wetu tujuavyo kuwa muda wa ukomo wa utumishi wa IGP Sirro kwa mujibu wa sheria uko ukingoni kufikia ukomo. Hivyo ndani ya jeshi la polisi kumekuwa na tetesi za hapa na pale kuwa mrithi wa Sirro huenda akawa...www.jamiiforums.com
mpaka watakapoomba msaada until then chochote kitakachojadiliwa kitaishia hapa tu.Hivyo vyombo vinavyofanya vetting ndio vinatulete hawa wanaolalamikiwa, hivyo tuwasaidie.
Akiridhia kwani kaombwa Mkuu(Rais/amtoe/Nani) ..?Hilo nalijua ,ila tupendeleze wa afadhali maana lazima tu atoke humo humo.
Naamini humu wako watu wanaowaju vizuri sana viongozi wa hili Jeshi hivyo wanaweza kusaidia.
Hawezi Sadia lolote , katiba mpya ndo mwarobain ya yote, IGP Kuna vitu anafanya na akilala au pumzika anajua amefanya Jambo ambapo sio sawa,ila atafanyaje, wakati alikienda tofauti , nje ya kupigwa chini lakini itakuaje mbele yakeGodbless Lema aliwahi kuwa waziri wa mambo ya ndani ( kivuli ) labda atusaidie kupendekeza!
Ya magereza yanaweza kutokeaHao ambao wengi wao wana stashahada na elimu ya kidato cha sita(wajeda) ila wanavyeo vikubwa hawawezi kupata hiyo bahati.
Iwapo Raisi Samia ataridhia kufanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi kwa kumuondoa IGP Sirro, unadhani ni nani atafaa kukabidhiwa mikobo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini?
Inawezekana tunaona wengi wao ni tatizo, ila ukweli ni kwamba kuna mmoja,wawili au watatu miongoni mwao wanaweza kuwa na afadhali au hata kufaa kabisa kwa nafasi hiyo.
Hivyo, wadau kupitia hapa JF, tutoe mapendekezo ya nani anafaa kumrithi Sirro iwapo ataondoka, ataondolewa au kustaafu kwa mujibu wa sheria.
Kwa mnaowajua vizuri vigogo wa hili Jeshi, msaidieni Mama kujua ni yupi anafaa kuwa IGP baada ya Sirro(tumshauri).
Karibuni kwa mapendekezo (vetting isiyo rasimi).