Nani anaestahili kuchukua nafasi ya IGP kumrithi Sirro endapo mabadiliko yakitokea?

Nani anaestahili kuchukua nafasi ya IGP kumrithi Sirro endapo mabadiliko yakitokea?

Iwapo Raisi Samia ataridhia kufanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi kwa kumuondoa IGP Sirro, unadhani ni nani atafaa kukabidhiwa mikobo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini?

Inawezekana tunaona wengi wao ni tatizo, ila ukweli ni kwamba kuna mmoja,wawili au watatu miongoni mwao wanaweza kuwa na afadhali au hata kufaa kabisa kwa nafasi hiyo.

Hivyo, wadau kupitia hapa JF, tutoe mapendekezo ya nani anafaa kumrithi Sirro iwapo ataondoka, ataondolewa au kustaafu kwa mujibu wa sheria.

Kwa mnaowajua vizuri vigogo wa hili Jeshi, msaidieni Mama kujua ni yupi anafaa kuwa IGP baada ya Sirro(tumshauri).

Karibuni kwa mapendekezo (vetting isiyo rasimi).
nafikiri hizi mada sio za kujadiliwa jf. kuna vyombo vinavyofanya vetting hao ndio kqzi yao. sisi tujadili but itabakia irrelevant
 
Iwapo Raisi Samia ataridhia kufanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi kwa kumuondoa IGP Sirro, unadhani ni nani atafaa kukabidhiwa mikobo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini?

Inawezekana tunaona wengi wao ni tatizo, ila ukweli ni kwamba kuna mmoja,wawili au watatu miongoni mwao wanaweza kuwa na afadhali au hata kufaa kabisa kwa nafasi hiyo.

Hivyo, wadau kupitia hapa JF, tutoe mapendekezo ya nani anafaa kumrithi Sirro iwapo ataondoka, ataondolewa au kustaafu kwa mujibu wa sheria.

Kwa mnaowajua vizuri vigogo wa hili Jeshi, msaidieni Mama kujua ni yupi anafaa kuwa IGP baada ya Sirro(tumshauri).

Karibuni kwa mapendekezo (vetting isiyo rasimi).
 
Murilo.
Mutafungwa.
Kamanda Muslim.
Hamduni.
Mutafungwa ni jipu, Muslim ni mlevi mbwa
 
Iwapo Raisi Samia ataridhia kufanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi kwa kumuondoa IGP Sirro, unadhani ni nani atafaa kukabidhiwa mikobo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini?

Inawezekana tunaona wengi wao ni tatizo, ila ukweli ni kwamba kuna mmoja,wawili au watatu miongoni mwao wanaweza kuwa na afadhali au hata kufaa kabisa kwa nafasi hiyo.

Hivyo, wadau kupitia hapa JF, tutoe mapendekezo ya nani anafaa kumrithi Sirro iwapo ataondoka, ataondolewa au kustaafu kwa mujibu wa sheria.

Kwa mnaowajua vizuri vigogo wa hili Jeshi, msaidieni Mama kujua ni yupi anafaa kuwa IGP baada ya Sirro(tumshauri).

Karibuni kwa mapendekezo (vetting isiyo rasimi).
Amduni (mkuu wa takukuru kwa sasa)
 
nafikiri hizi mada sio za kujadiliwa jf. kuna vyombo vinavyofanya vetting hao ndio kqzi yao. sisi tujadili but itabakia irrelevant
Hivyo vyombo vinavyofanya vetting ndio vinatulete hawa wanaolalamikiwa, hivyo tuwasaidie.
 
Mutafungwa ni jipu, Muslim ni mlevi mbwa
Hii ndio faida ya kuwajadili hawa watu.Tutawajua vizuri.
 
Hilo nalijua ,ila tupendeleze wa afadhali maana lazima tu atoke humo humo.

Naamini humu wako watu wanaowaju vizuri sana viongozi wa hili Jeshi hivyo wanaweza kusaidia.
Akiridhia kwani kaombwa Mkuu(Rais/amtoe/Nani) ..?
 
Godbless Lema aliwahi kuwa waziri wa mambo ya ndani ( kivuli ) labda atusaidie kupendekeza!
Hawezi Sadia lolote , katiba mpya ndo mwarobain ya yote, IGP Kuna vitu anafanya na akilala au pumzika anajua amefanya Jambo ambapo sio sawa,ila atafanyaje, wakati alikienda tofauti , nje ya kupigwa chini lakini itakuaje mbele yake

Mfano ile kitu ya mh lissu , wenda IGP anajua mengi , na niseme kiroho, WENDA IGP anaiyona KAZI yake kuwa ngum Sana , ila anafanyaje Sasa?

Ndugu zangu tusimlaum IGP , huyu sio Mungu ,ila tumuambie tu , akawaeleze vijana wake umuhim wa KATIBA MPYA
 
Iwapo Raisi Samia ataridhia kufanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi kwa kumuondoa IGP Sirro, unadhani ni nani atafaa kukabidhiwa mikobo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini?

Inawezekana tunaona wengi wao ni tatizo, ila ukweli ni kwamba kuna mmoja,wawili au watatu miongoni mwao wanaweza kuwa na afadhali au hata kufaa kabisa kwa nafasi hiyo.

Hivyo, wadau kupitia hapa JF, tutoe mapendekezo ya nani anafaa kumrithi Sirro iwapo ataondoka, ataondolewa au kustaafu kwa mujibu wa sheria.

Kwa mnaowajua vizuri vigogo wa hili Jeshi, msaidieni Mama kujua ni yupi anafaa kuwa IGP baada ya Sirro(tumshauri).

Karibuni kwa mapendekezo (vetting isiyo rasimi).

Huyu atafaa sana namshauri mama amteue
 
Back
Top Bottom