Nani anafaa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu baada ya Zuhura Yunus kuondolewa?

Anatakiwa mtu anayejuana na media za Tanzania vizuri
Msigwa Yuko vizuri

Zuhura Yunus was a foreigner na ki ukweli sio mtanzania alizaliwa uingereza na sijui kama alishawahi kuukana uraia wa uingereza alipofikisha miaka 18
Duh!
 
Apewe Lucas Mwashambwa anajua kusifia hadi anapitiliza labda shule ndiyo itamuangusha,lakini jamaa anajua kujitoa ufahamu katika kusifia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…