The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Usitufanye wajinga bhanaHuyu bwana simfahamu ila nimekuwa namfuatilia mara nyingi akitoa speech zake
Ujinga wa nini?Usitufanye wajinga bhana
Yuko Vizuri sana tu kabobea kwenye Marketing anajua sana branding kui brand Ikulu Vizuri anaweza Tena sana ila hiyo post ya usemaji Kwa level yake itakuwa kama demotionHuyu bwana simfahamu ila nimekuwa namfuatilia mara nyingi akitoa speech zake Kwa waandishi wa habari akielwzea masuala mbalimbali yanayoendelea kuhusu Mahakamani ya Tanzania.
Licha ya kwamba huyu ni Profesa ila anatumia Lugha rahisi kabisa na ni mahiri sana wa kujenga hoja na kuiwasikisha Kwa Lugha simple na Kwa wajihi mzuri kiasi Kila mtu anamuelewa.
Nadhani Serikali imchukue huyu badala ya huyu Makoba .
Msikilize hapa 👇👇
View: https://youtu.be/lnUPUyvaidU?si=FWdAt-bQnEEewbxz
MpokiPDF mmelishuhudia bibie Zuhra OUT. Sasa ni zamu ya Kikeke.
Pia soma
Hana uwezo wa kukabiliana Maswali na waandishi wa habari ana mihemuko hakawii kuchukiaPale wamweke Haji Manara, tutastarehe.
Waandishi wenyewe wepi wa kumbabaisha Haji?Hana uwezo wa kukabiliana Maswali na waandishi wa habari ana mihemuko hakawii kuchukia
Elimu yake?Waandishi wenyewe wepi wa kumbabaisha Haji?
Unamtazama kwa uoga?
Ana elimu kubwa kuliko unavyofikiria, ogopa sana mtu aliyesoma Madrassa. Madrassa haziitwi "chuo" kwa kubahatisha.Elimu yake?
Kumbe naye ni mjinga kama weweAna elimu kubwa kuliko unavyofikiria, ogopa sana mtu aliyesoma Madrassa. Madrassa haziitwi "chuo" kwa kubahatisha.
Tanzania hii nani ni asiye mjinga, wakati nyerere alishasema adui ujinga tunae. Lini ilifutwa kauli yake?Kumbe naye ni mjinga kama wewe
Hilo lipo wazi.Sahivi nafasi nyingi ni ajili ya watu wa Ijumaa
Mtakatifu ni MUNGU pekee, Nyerere hakuwa mpuuzi wakujiita majina ya kijinga kama Mhe, Mtukufu, Mtakatifu, PhD ya matope sijui Pro aliitwa Mwaliimu pekee, pamoja na madhaifu yake ya kibinadamu hakutaka kujikweza kijinga, ndiyo maana wakati wake mawaziri wote waliitwa ndugu na siyo waheshimiwa. Kwao hakupendelea wala familia yake haikuwa na mtumishi wa umma zaidi yake yeye, angalia ndugu zako wanavyojazana na kuiba mali za umma, wewe pamoja na kwamba ni mzanzibar lakini ulisoma bure za shule bara. Shame on youTanzania hii nani ni asiye mjinga, wakati nyerere alishasema adui ujinga tunae. Lini ilifutwa kauli yake?
Au huyaamini maneno ya "mtakatifu"?
Maza anajitahidi nchi kuibadili iwe ya ijumaa pekeeHilo lipo wazi.
Msigwa alijitahidi lakini alipwaya sana kipindi cha mfungo na akipita katika Corridor za jumba jeupe akinukia harufu ya yule mnyama haramu.