Nani anafaa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu baada ya Zuhura Yunus kuondolewa?

Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu na Msemaji wa Serikali ni Cheo kidogo kuliko mtendaji Mkuu wa mahakama?
 
Mheshimiwa Dr Balozi Mindi Kasiga anafaa kuwa Mkurugenzi Mawasiliano Ikulu kumrithi Dr Zuhra Yusuf. Asanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…